Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
unaumia kimoyo moyo na zigo la kodi kichwani.....Huyo ni tapeli tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaumia kimoyo moyo na zigo la kodi kichwani.....Huyo ni tapeli tu.
Nyuma ya jibu lako hilo unajua mwenyewe una maana gani?umeuliza maswali duni sana !
Sio kweli hata kidogo.unaumia kimoyo moyo na zigo la kodi kichwani.....
Huna loloteNyuma ya jibu lako hilo unajua mwenyewe una maana gani?
Rejea madhumuni ya bandiko lako kuu ni nini kwa Jamii ya WanaJFHuna lolote
kwahiyo ?Rejea madhumuni ya bandiko lako kuu ni nini kwa Jamii ya WanaJF
Hatuhitaji kutawaliwa kwa sasa tunahitaji kuongozwaKauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida...
Kauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida .
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi , katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe ...
Asante sana Kuna siku kitaeleweka tu.Kauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida...
Hiyo ni nukuu ya kutoka kwa Aristotle.Kauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh. Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida...
Utashuka weye.Huyo Mbowe ndio ataishusha?
Hapo unamjadili mbowe sasa,ungejikita kwenye hoja aliyotoa kwanza ingesaidia sana .Ni mwanasiasa uchwara awezaye kutoa kauli ya kwaMmbs wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia na wewe unayeitetea ni mtu wa kujipendekeza...
PointKauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh. Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida.
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi, katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe, Mbowe amesema kwamba, wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia.
Mbowe amewakumbusha Watanzania kwamba SIASA NI MAISHA, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kujitenga nayo.
Siasa ni Maisha ya watu.Kauli hii Muhimu imetolewa na Mwamba wa siasa za Tanzania Mh. Freeman Mbowe huko Ikungi Mkoani Singida.
Akihutubia Maelfu ya wananchi wa Ikungi, katika Mkutano unaodhaniwa kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watu kwa mikutano ya hadhara iliyowahi kufanyika Mkoa wa Singida tangu mkoa huo uanzishwe, Mbowe amesema kwamba, wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia.
Mbowe amewakumbusha Watanzania kwamba SIASA NI MAISHA, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kujitenga nayo.
HayaHiyo ni nukuu ya kutoka kwa Aristotle.
Kivipi?Utashuka weye.
Kama weweHuyo ni tapeli tu.