Ni mwanasiasa uchwara awezaye kutoa kauli ya kwamba wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia na wewe unayeitetea ni mtu wa kujipendekeza.
Ukiweza kujibu maswali yafuatayo kwa moyo wa dhati na Uzalendo (kwa maana kuwa msingi wa mwanasiasa yeyote ni uzalendo - kujitoa kwa hali na mali kuendeleza jami - TAIFA), ili hoja zako ziwe na matinki
1) Je, huyo Mbowe akiingia madarakani ataendesha nchi kwa fedha gani?
2) Je, biashara ambazo amekuwa akifanya mtaji amepata wapi?
3) Je, faida katika biashara zake amewapunguzia wangapi umaskini?