Mbowe: Mtu yeyote anayepuuza siasa atatawaliwa na wajinga

Mbowe: Mtu yeyote anayepuuza siasa atatawaliwa na wajinga

Ni mwanasiasa uchwara awezaye kutoa kauli ya kwamba wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia na wewe unayeitetea ni mtu wa kujipendekeza.

Ukiweza kujibu maswali yafuatayo kwa moyo wa dhati na Uzalendo (kwa maana kuwa msingi wa mwanasiasa yeyote ni uzalendo - kujitoa kwa hali na mali kuendeleza jami - TAIFA), ili hoja zako ziwe na matinki

1) Je, huyo Mbowe akiingia madarakani ataendesha nchi kwa fedha gani?
2) Je, biashara ambazo amekuwa akifanya mtaji amepata wapi?
3) Je, faida katika biashara zake amewapunguzia wangapi umaskini?
Mtaji wake wa biashara alipata kwa baba yake tajiri na mpigania uhuru wa Tanganyika.
 
Ningekujibu ila umesukumwa na hisia za kisiasa hadi kunitukana.

Lakini, moja ambalo itapendeza kurejea, ni kuhusu kujihusisha kwake katika siasa amefanikisha yapi, katika majimbo ambayo CHADEMA ilitawala, kwa kutumia rasmali za nchi? Usisahau kwamba hata ofisi za chama hazijajengwa, japo alikuwa akilipwa mabilioni ya ruzuku na michango ya lazima ya Wabunge, mbali ya wanachama wa kawaida km ada!!!
Lakini majimbo hayo yana maendeleo makubwa ukilinganisha na majimbo ambayo hayajawahi kuongozwa na upinzani tangu tupate uhuru.
 
Weee jamaa siku nyingine ficha ujinga wako bhana...

(1) Ataendesha nchi kwa rasimali hizo hizo lkn kwa manufaa ya nchi tofauti na ccm wanaoiba na kuficha ughaibuni

(2) Mhe mbowe hela kaikuta na anaiendeleza . Hivyo hata nchi ataiendeleza kwa ufanisi kama afanyavyo kwenye biashara zake

(3) ameajiri vijana wengi tu hata ww ukitaka sema uajiriwe .. , mm sijaajiriwa lkn niko zangu ifwenkenya nachimba zangu madini ya dhahabu na nalima mpunga bonde la kamsamba
Sasa wakati unachimba madini na kulima ukiwa na amani na utulivu Mbowe ndio yupo madarakani?
 
Siasa ni Maisha ya watu.

Watumishi wa Mungu kujitenga na siasa ni kutolitendea HAKI Taifa.

Waumini makanisani na misikitini ndo hao hao Mawaziri, Wabunge na Marais nk,

Viongozi wawakemee waumini wao ambao wameshika madaraka sehemu mbalimbali.

Wawaambie WASILETE sadaka madhabahuni zilizotokana na RUSHWA na WIZI.

Martin Luther King na Desmond Tutu ni mifano mizuri.

Kada zote wqmulike wanasiasa sababu wamepewa dhamana ya wananchi wote.

Aaamen
Yaani Mungu akubariki.
 
Weee jamaa siku nyingine ficha ujinga wako bhana...

(1) Ataendesha nchi kwa rasimali hizo hizo lkn kwa manufaa ya nchi tofauti na ccm wanaoiba na kuficha ughaibuni

(2) Mhe mbowe hela kaikuta na anaiendeleza . Hivyo hata nchi ataiendeleza kwa ufanisi kama afanyavyo kwenye biashara zake

(3) ameajiri vijana wengi tu hata ww ukitaka sema uajiriwe .. , mm sijaajiriwa lkn niko zangu ifwenkenya nachimba zangu madini ya dhahabu na nalima mpunga bonde la kamsamba
Kaka umenigusa na hiyo point yako ya tatu... Kwamba upo ifwenkenya unachimba dhahabu na kamsamba unalima mpunga...

Nakuja DM kaka, plz nipokee!!
 
Aina kuu za mifumo ya kisiasa ni 1.Demokrasia, 2.Tawala za kifalme, 3.Tawala za kimabavu 4.Tawala za kiimla.
Labda kwa miaka 30 wanahubiri mfumo ambao ni tofauti na ule ambao wengi wanaupenda😂😂sawa nakumpigia🦄🎻
 
Kwa kupuuzia Siasa sometimes ni kuonyesha nguvu ya kuwapiga chini hawa watu......

Unless unaweza kutumika kama mtaji / ngazi ya kuwaweka wengine kwenye ulaji

By the way hatuhitaji kutawaliwa; iwe na wajinga au werevu tunahitaji watumishi wa kututumikia....
CZe6XzGWkAA9R6i.jpg
 
Ni mwanasiasa uchwara awezaye kutoa kauli ya kwamba wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia na wewe unayeitetea ni mtu wa kujipendekeza.

Ukiweza kujibu maswali yafuatayo kwa moyo wa dhati na Uzalendo (kwa maana kuwa msingi wa mwanasiasa yeyote ni uzalendo - kujitoa kwa hali na mali kuendeleza jami - TAIFA), ili hoja zako ziwe na matinki

1) Je, huyo Mbowe akiingia madarakani ataendesha nchi kwa fedha gani?
2) Je, biashara ambazo amekuwa akifanya mtaji amepata wapi?
3) Je, faida katika biashara zake amewapunguzia wangapi umaskini?
Dah hapa basi unaona umeandiiiiiiika anyway ndio ujinga wenyewe huu... kufikiria kuwa mtu atagawa hela yake kwa maskini yaani unaacha kushughulika na mfumo unashughulika na mtu na ndio ujinga
 
Ni mwanasiasa uchwara awezaye kutoa kauli ya kwamba wewe ukijifanya mjanja kwa kudhan kwamba siasa haikuhusu, basi jiandae kwa Tozo, mfumuko wa bei, ugumu wa maisha na taabu zote za dunia na wewe unayeitetea ni mtu wa kujipendekeza.

Ukiweza kujibu maswali yafuatayo kwa moyo wa dhati na Uzalendo (kwa maana kuwa msingi wa mwanasiasa yeyote ni uzalendo - kujitoa kwa hali na mali kuendeleza jami - TAIFA), ili hoja zako ziwe na matinki

1) Je, huyo Mbowe akiingia madarakani ataendesha nchi kwa fedha gani?
2) Je, biashara ambazo amekuwa akifanya mtaji amepata wapi?
3) Je, faida katika biashara zake amewapunguzia wangapi umaskini?
Nikajua kuna maswali, kumbe vijiswali.
 
Back
Top Bottom