Mbowe: Mtu yeyote anayepuuza siasa atatawaliwa na wajinga

Kama huu mkutano ulivunja rekodi basi Lissu hakuwa chochote mbele ya Mwamba JPM kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020.
 
Nakubaliana nawe. The big brains should lead the process of development. Not the other way round
 
Demokrasia nayo imekaaje? Mf. Watu 20 wanachagua kiongozi wao kidemokrasia, 5 ni wasomi wengine ni elimu ya KKK tu. Kidemokrasia watampa KKK mwenzao! Wengi wape. Ni kwa nini usifanyike udikteta na kumpa hiyo nafasi msomi? Penda siasa ila usichague mbumbumbu!
 
Yeye mwenyewe mjinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…