Mbowe must go, hatukutaki!

Mbowe must go, hatukutaki!

Kwani mwenyekiti si anapatikana kwa kupigiwa kura? Kama ndio Sasa yeye anamakosa gani? Kwa maana kama ni kugombea ni haki ya kila mwanachama na yeye ni mwanachama kwahiyo anagombea ili kutimiza haki yake ya kikatiba ila kinachotokea ni kwamba ninyi wenyewe ndio mnaempa kura zenu zinazomfanya aendelee kuwa pale alipo.

Kwahiyo hizi movement za must go ni zakitoto sana coz hakujiweka mwenyewe na wote tunaamini chadema ni chama kikongwe cha upinzani na ndio chama kinachoamini kwenye uchaguzi wa uhuru na haki so kila kinachotokea kwenye uchaguzi wa chama tunaamini kwa asilimia zote kwamba kimenyooka.

So "Mbowe must go" is a childish movement coz hata ingekua mimi ndio Mbowe wala nisingeondoka as long as kila nikigombea wananchi bado wanaendelea kunichagua, hii inaonesha kwamba wanaona value yangu kwa chama na wanataka waendelee kuongozwa na mimi.
Muulize kama na yeye ni mwanachama wa CHADEMA!Kakunja mgongo kama anakuna nazi kwa kuanzisha uzi kumbe bure beleshi kabisa.
 
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.

Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.

Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.

#MboweMustGo
Ondoka wewe
 
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.

Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.

Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.

#MboweMustGo
Acha uzwazwa we Lumumba buku 7
 
Mbowe must go.

Umeme ghali,unakatika katika Mbowe ni sababu.Mbowe must go.

Msafara wa Bi Tozo magari ya kufahari V8 147.Mbowe ndiye mnunuzi mkuu wa magari ya serekali [ Procurement Commissioner].Mbowe must go.

Ukosefu wa ajira,vijana wetu wamemaliza vyuo vikuu Medical Doctors, Nurses,Accountants,Marketing consultants,Financial consultants,Logistics management consultants......... wote hawana ajira tatizo ni Mbowe.Mbowe must go.


Reports mbaya za matumizi mabaya ya walipa kodi yamebainishwa na ofisi ya CAG hakuna aliyefungwa,hakuna aliyeshtakiwa,hakuna hatua za maana za kinidhamu zilizochukuliwa.Ukienda mbali Mbowe ndiye mtetezi mkuu wa wabadhirifu wa mali ya umma.Mbowe must go.

Mbowe kauza Ngorongoro,Kilimanjaro International Airport,Bandari,Misitu.........Mbowe must go.

Mbowe katuletea tozo za miamala ya simu,bill za Tanesco.....Mbowe must go.

Hali ya uchumi ni mbaya fedha za kigeni ni haba usd hazionekani mitaani.Usd zote Mbowe kazificha huko kwao Machame.Mbowe must go.

Maendeleo hakuna kwasababu ya Mbowe.Mbowe must go.

Aliyetuloga Watanganyika kazikwa wapi,tumfukue labda ataturejeshea akili na maarifa.
Huyu atakua Msigwa katika kandarasi yake mpya,ila jamaa ni zwazwa haswa amejua kujianika
 
Mbowe aliingia kwa kura atatoka kwa kura.
Ila tu ni busara sasa h wamnyime kura ili chama kiongozwe na Lisu au Heche .
Kwa sasa Mbowe hawezi kumwachia Mtu kwa sababu Wanachama wengi nje ya Wale wenye asili ya kabila lake larafiki ni zao la Dr. Slaa.
Zao la Dr. Slaa halikubali kamwe ufisadi na wizi wa mali za u0mma.

Mbowe sio tishio kwa wezi walioko CCM. Majizi ndani ya CCM ni marafiki wakubwa wa Mbowe.


Kwa hali iliyopo na misukosuko alitoipitia Mbowe ni wazi kuwa mbowe hapendi Lisu agombee Urais wala Mwabukusi wala Mpina.
Kwa mtizamo wa Mbowe ni bora mama aendelee kuliko Lisu au Mwabukusi au Dr Slaa ashinde ni bora Mama ashinde na kuendelea . Mbowe hataki tena Rais mwenye misimzmo mikali
 
Yaani mnataka mumfukuze mwenye taasisi! Haya ni maajabu. Mnataka amuachie nani chama kilichoanzishwa na baba yake pamoja na baba mkwe? CDM bila Mbowe ingekuwa ilishakufa. Jamaa ni kiongozi hasa.
 
Kama CCM, imekuwepo zaidi ya Mika 60 Toka TANU-CCM, wizi ufisadi, na mambo mengi hovyo, Leo mnahangaika na CHADEMA na Umwenyeki wa Mbowe.

Mbowe kamanda wa kikosi Cha anga ,Bado yupo sana, CHADEMA ipo sana, JIWE kambale alishindwa kuimaliza, KIZIMKAZI na MBOGAMBOGA wote hakuna wa kumuondoa Mbowe,.

Kazi mnayo sana 2025 .
Mbowe must go
 
Mbowe must go.

Umeme ghali,unakatika katika Mbowe ni sababu.Mbowe must go.

Msafara wa Bi Tozo magari ya kufahari V8 147.Mbowe ndiye mnunuzi mkuu wa magari ya serekali [ Procurement Commissioner].Mbowe must go.

Ukosefu wa ajira,vijana wetu wamemaliza vyuo vikuu Medical Doctors, Nurses,Accountants,Marketing consultants,Financial consultants,Logistics management consultants......... wote hawana ajira tatizo ni Mbowe.Mbowe must go.


Reports mbaya za matumizi mabaya ya walipa kodi yamebainishwa na ofisi ya CAG hakuna aliyefungwa,hakuna aliyeshtakiwa,hakuna hatua za maana za kinidhamu zilizochukuliwa.Ukienda mbali Mbowe ndiye mtetezi mkuu wa wabadhirifu wa mali ya umma.Mbowe must go.

Mbowe kauza Ngorongoro,Kilimanjaro International Airport,Bandari,Misitu.........Mbowe must go.

Mbowe katuletea tozo za miamala ya simu,bill za Tanesco.....Mbowe must go.

Hali ya uchumi ni mbaya fedha za kigeni ni haba usd hazionekani mitaani.Usd zote Mbowe kazificha huko kwao Machame.Mbowe must go.

Maendeleo hakuna kwasababu ya Mbowe.Mbowe must go.

Aliyetuloga Watanganyika kazikwa wapi,tumfukue labda ataturejeshea akili na maarifa.
Mbowe must go
 
Wenye maamuzi hayo ni wanachama? Ww ni mwanachama?
Siasa Siyo uadui wakati wote.Mbowe amejitahidi sana kupambana, amefungwa,amefilisiwa na amevunjwa mguu lakini hakukata tamaa,wengine wanashabikia nyuma ya keyboard,hawajui uchungu wa kupambana na CCM uso kwa uso. Lissu mwenyewe aliitisha maandamano 2020 baada ya kushindwa uchaguzi nchi nzima ikashindikana. wananchi wakamsaliti. Mapambano ya ukombozi siyo rahisi ki hivyo. Kinacho mshinda Mbowe na chadema ni CCM -chama dola. mapambano ni mchakato na ni dynamic. Sasa hivi Chadema elekezeni nguvu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa msiwajibu waliotumwa na wadaka vyeo.
 
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.

Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.

Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.

#MboweMustGo
Mnakumbuka shuka kumekucha?

Miaka yote tulivyokuwa tunawaambia hiyo ni NGO ya kifamilia, nini mlikuwa hamkielewi?
 
Mmh! Uzi umekaa ki-uvccm.
Mbowe
Siasa Siyo uadui wakati wote.Mbowe amejitahidi sana kupambana, amefungwa,amefilisiwa na amevunjwa mguu lakini hakukata tamaa,wengine wanabikia nyuma ya keyboard,hawajui uchungu wa kupambana na CCM uso kwa uso. Lissu mwenyewe aliitisha maandamano 2020 nchi nzima ikashindikana. Mapambano ya ukombozi siyo rahisi ki hivyo. kinacho mshinda Mbowe na chadema ni CCM chama dola. mapambano ni mchakato.
Mbowe must go
 
Back
Top Bottom