Mbowe na genge lako mliomchukia hayati Magufuli, mtaanza kwenda kula krismasi mkipita juu ya daraja la wami ambalo mlidai ni megastructure ovyo

We muuza bajia wa Tandika acha kiherehere. Hujui maana usimamizi wa pesa za umma? Subiri kula kwenda moshi na Mbowe huku mkipita juu ya daraja jipya.
Nasikia mikutano yenu ya kichawi siku hizi mnafanyia chato airport.
 
Alijenga na hela za mamake mjinga wewe
 
Kweli waTanzania ni misukule haswa , huyo mwendakuzimu hizo pesa alitoa mfukoni mwake ?
Mjaa laana wewe
 

Acha akili potofu kujenga daraja sio hisani. Ni wajibu wa serikali
 
John joseph Magufuli (PhD)
Kama unamchukia huyu mwamba bila shaka una matatizo makubwa sana

Wewe utakuwa unatumia kichwa aidha kufugia nywele au kubebea meno

Magufuli nilimchukia kwa mengi. Kwanza aliizimisha taasisi yetu kisa hatukumuunga mkono kwenye urais,mpaka Leo adhari zake zinatutesa. Mtu anayegusa mkate wangu kwa hila Bora afe tu,na kweli akafa.
 
Sio kupita kwenye daraja la wami tu. DIKTETA MAGUFULI hata kama angekuwa anatulipa mshahara bila kufanya KAZI Bado tungemchukia na mkulaani Kila hatua. Operation zake zilijaa UKATILI mkubwa Tena wa kutisha.
Kuna story kwenye bible kuwa aliyepokuzimu na mbinguni wanaweza kuonana.

Haki ya nani nikimuona magufuri hata kama ameungua vip nitamuongezea kuni aungue zaidi.

Magufuri alikuwa zaidi ya shetani.

Fikiria Leo police wanasema wamewakamata na kuwaiwa panya road ndani ya siku moja.

Tundu Lissu tangu apigwe risasi ni miaka mitano hata panya mmoja hajahojiwa.
 
Huyu Mbowe na makamanda uchwara wenzake wa ufipa hawajielewi.
 
Alijenga kwa hela ya mama yako anayolipa kodi. Alisimamia matumizi mazuri ya kodi zetu zikajenga daraja.

Sasa Nani Bora aliyelipa Kodi au anayetumia Kodi. Baadala muwasifu Wanachi kwa kulipa Kodi mmebaki kuwaabudu Viongozi wasioeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…