Hivi ninyi mnadhani Rais Samia ni shetani kama alivyokuwa marehemu? Hata mmshawishi vipi, Rais Samia kamwe hatakubali kumwiga shetani maana ana Roho wa Mungu.Dawa yenu ni sabaya tu, ila hadi mwisho wa mwezi huu atakuwa huru jiandaeni
Ulikoelekeza macho na kifua chako, ndiyo mbele...mbele wapi?
Ila mnamuogoa sana sabaya?Huu sio muda wa zile siasa za kishamba 2015-2020, kamwe huyo sabaya hana nafasi kwa siasa za sasa kwani , Mama hausudu siasa hizo ndugu!!someni alama za nyakati.
Kuna kiila dalili kuwa hawa wanasiasa wabovu, walevi na waongo wameanza kumpanda kichwani mama.
Hivyo nakuomba mama yetu kipenzi chetu usiwajibu chochote wewe wakalie kimya tu ila warudishie mbabe wao Sabaya.
Sabaya aliwaweza kabisa, walikuwa hawana uwezo hata wa kukohoa mbele yake kuanzia chairman wa kudumu hadi mfagia ofisi wote waliufyata.
Walikuwa hawana hata muda wa kudai mikutano wala sijui katiba, wao walibali siku nzima kulia tu.
Hawa wanasiasa walevi usije ukawaendekeza hata kidogo hawanaga shukrani.
Ukitaka kuona hizi kelele zao zinaisha wakabidhi Ole sabaya, tena mpe wizara ya mambo ya ndani. Hutaona tena wala kusikia kelele yoyote, wanamuogopa sana sabaya. Walilia kila aina ya kilio
Mwenyekiti wa kudumu alikimbia kwao usiku usiku, hivyo wala usiwajibu hawa dawa yao ni huyo.
Ila sabaya aliwakomesha aisee, hizi kelele mlizoana kuzipiga zisingekuwepo.
Uchumi kwanza.
Katiba hata vikoba wanayo
#kazi iendelee#
Mtoa mada na genge lako mtupishe
Sababu ni wa mlengo ule wa kushoto ndio uje na upupu wako mbona wakati wa mtangulizi wake mlikuwa kimyaaaa
Nchi si ya kikundi fulani ni nchi ya wote so Katiba Mpya ni sahihi
Punguza mihemko
Samahani nikulize ivi katiba ya chadema inamruhusu mwenyekiti kuongoza bila kuwa na ukomo?Ulikoelekeza macho na kifua chako, ndiyo mbele...
Ur cave becomes more and more lose, so u always looking for a bigger one. U'r welcomePoor thread from a poor mind.
Kwa vyovyote vile mnamuogopaKwa hoja,au kwa ubabe?
Samahani nikulize ivi katiba ya chadema inamruhusu mwenyekiti kuongoza bila kuwa na ukomo?
THUBUTUUUUU[emoji419]Tuko Tayari, tuna nguvu zote. [emoji58]
Kamanda akitangaza tu, tunakichafua. Bila katiba mpya, hata uchumi hautakaa ukue.
Umewapa za uso hawa CHADEMA. Mbowe hana mikakati yenye kuendana na wakati husika, hajabadilika.Wanaukumbi,
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1. Katiba Mpya au kupambana na 2. Janga la Corona na 3. Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe, zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna Mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
THUBUTUUUUU[emoji419]Tuko Tayari, tuna nguvu zote. [emoji58]
Kamanda akitangaza tu, tunakichafua. Bila katiba mpya, hata uchumi hautakaa ukue.
Wewe ni hamnazo?Ya kwako, mkeo/mumeo na watoto wako inakuruhusu uwe baba au mama milele bila ukomo..?
Ukipata jibu lolote la NDIYO au HAPANA, basi likuongoze kupata jibu la swali lako...!
Halafu niulize swali jingine...
Freedom fanya kwako na familia.Kwamba nchi inaendeshwa kwa Rehema na Shukrani kwa Mwenyekiti wa CCM..
Long way to Freedom
Sijui huyu jamaa yupoje
Yeye ni kiki na kiki na yeye
Mama amewajibu kistaarabu kwamba mumpe muda tena amewaomba lakini kiburi kinakupanda
Sasa kama sio kichaa kwanini hamkutaka katiba wakati wa Magufuli?mbona hamkutoa pua zenu nje even kudai kuandamana
Ni kwasababu ni Samia si ndio?Huyu mama kaonyesha njia ya na amerudisha uhuru na haki tulioukosa kwa miaka 6
Muacheni ajenge uchumi kwanza nyie mnamvuruga kwa kutumiwa na watu wa nje
Kwanini mnapanda mama kichwani?kwanini hamkufanya hivyo wakati wa magufuli...mama kaamua kuwa mwema kwetu sisi na tunataka awe hivi hivi halafu kina mbowe mnataka mama abadilike
Dola haichezewi na hata mbowe unalijua hilo, katiba tumpe mama muda kwanza, mwenyewe katiba ya chama imekushinda umetawala chama kwa miaka 20 halafu hatusemi, mpe mama nafasi ashasema tumpe muda
Tunatakiwa tushukuru tuna rais anayesikiliza maoni na anayekosolewa akakubali lakini bado hamulioni hilo mnatakaje?
,Kwanini mnakubali kutumika kwa manufaa ya wazungu?
Mbowe tuli na utulizane maana vuguvugu umelitaka watanzania sisi tunataka maendeo kwanza katiba baadae
Hakuna mjinga atakayeandamana kwa sababu ya mbowe na genge lake mbowe ni mbinafsi na anatumika na wazungu kulivuruga taifa nani amsikilize mtu km yule?
Niandamane kwa sababu ya kina mbowe khaaaaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]labda km nitakua mgonjwa
Kuna wale vijana wa CUF WALIOKUWA wakiandamana miaka ya nyuma.....
Saidi Kakote leo ni MLEMAVU WA MIGUU....
Bashiru Zembwe anatembelea KIBASKELI CHA MIGUU 3 kwao TANDALE.....
UJINGA MTUPU WA VYAMA HIVI VYA SACCOS......
#KaziIendelee
Mnachotakiwa ni kuwakumgusha tu, Ushindani wa kipi bora, Demokrasia na Maendeleo uliamuliwa na wananchi kwenye kampeni za uchaguzi 2020. Wapinzani (Chadema) walinadi Demokrasia, Katiba na Sheria, CCM walinadi Uhuru, Kazi na Maendeleo. Wananchi wakachagua Uhuru, kazi na Maendeleo.Sijui huyu jamaa yupoje
Yeye ni kiki na kiki na yeye
Mama amewajibu kistaarabu kwamba mumpe muda tena amewaomba lakini kiburi kinakupanda
Sasa kama sio kichaa kwanini hamkutaka katiba wakati wa Magufuli?mbona hamkutoa pua zenu nje even kudai kuandamana
Ni kwasababu ni Samia si ndio?Huyu mama kaonyesha njia ya na amerudisha uhuru na haki tulioukosa kwa miaka 6
Muacheni ajenge uchumi kwanza nyie mnamvuruga kwa kutumiwa na watu wa nje
Kwanini mnapanda mama kichwani?kwanini hamkufanya hivyo wakati wa magufuli...mama kaamua kuwa mwema kwetu sisi na tunataka awe hivi hivi halafu kina mbowe mnataka mama abadilike
Dola haichezewi na hata mbowe unalijua hilo, katiba tumpe mama muda kwanza, mwenyewe katiba ya chama imekushinda umetawala chama kwa miaka 20 halafu hatusemi, mpe mama nafasi ashasema tumpe muda
Tunatakiwa tushukuru tuna rais anayesikiliza maoni na anayekosolewa akakubali lakini bado hamulioni hilo mnatakaje?
,Kwanini mnakubali kutumika kwa manufaa ya wazungu?
Mbowe tuli na utulizane maana vuguvugu umelitaka watanzania sisi tunataka maendeo kwanza katiba baadae
Hakuna mjinga atakayeandamana kwa sababu ya mbowe na genge lake mbowe ni mbinafsi na anatumika na wazungu kulivuruga taifa nani amsikilize mtu km yule?
Niandamane kwa sababu ya kina mbowe khaaaaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]labda km nitakua mgonjwa
Unamawazo potofu sana , swaziland wameandamana kwa mara ya kwanza kwenye historia yao .unafuatilia nini kinaendelea Kyle? Watanzania wanaweza kuwa wajinga lakini uvumilivu huwa unakikomo. Jiulize tz kunapolisi wangapi na raia ni wangapiTHUBUTUUUUU[emoji419]
Jibu hoja Taga, mambo ya nchi hayahusiani na familia.. we are tax payersFreedom fanya kwako na familia.
Hii iliyopo kama hikutoshi hamia somalia.