Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Dawa yenu ni sabaya tu, ila hadi mwisho wa mwezi huu atakuwa huru jiandaeni
Hivi ninyi mnadhani Rais Samia ni shetani kama alivyokuwa marehemu? Hata mmshawishi vipi, Rais Samia kamwe hatakubali kumwiga shetani maana ana Roho wa Mungu.
 
Kuna kiila dalili kuwa hawa wanasiasa wabovu, walevi na waongo wameanza kumpanda kichwani mama.
Hivyo nakuomba mama yetu kipenzi chetu usiwajibu chochote wewe wakalie kimya tu ila warudishie mbabe wao Sabaya.
Sabaya aliwaweza kabisa, walikuwa hawana uwezo hata wa kukohoa mbele yake kuanzia chairman wa kudumu hadi mfagia ofisi wote waliufyata.
Walikuwa hawana hata muda wa kudai mikutano wala sijui katiba, wao walibali siku nzima kulia tu.
Hawa wanasiasa walevi usije ukawaendekeza hata kidogo hawanaga shukrani.
Ukitaka kuona hizi kelele zao zinaisha wakabidhi Ole sabaya, tena mpe wizara ya mambo ya ndani. Hutaona tena wala kusikia kelele yoyote, wanamuogopa sana sabaya. Walilia kila aina ya kilio
Mwenyekiti wa kudumu alikimbia kwao usiku usiku, hivyo wala usiwajibu hawa dawa yao ni huyo.
Ila sabaya aliwakomesha aisee, hizi kelele mlizoana kuzipiga zisingekuwepo.

Uchumi kwanza.
Katiba hata vikoba wanayo
#kazi iendelee#

Mawazo haya ni ishara na ni total representation ya UJINGA na UPUMBAVU wa baadhi ya wanadamu, likely wewe ukiwa mmoja wao...

Unawezaje kugombana na kubishana na ukweli ulio dhahiri shayiri mbele za uso wako...???
 
Mtoa mada na genge lako mtupishe
Sababu ni wa mlengo ule wa kushoto ndio uje na upupu wako mbona wakati wa mtangulizi wake mlikuwa kimyaaaa
Nchi si ya kikundi fulani ni nchi ya wote so Katiba Mpya ni sahihi
Punguza mihemko

Ulikoelekeza macho na kifua chako, ndiyo mbele...
Samahani nikulize ivi katiba ya chadema inamruhusu mwenyekiti kuongoza bila kuwa na ukomo?
 
Samahani nikulize ivi katiba ya chadema inamruhusu mwenyekiti kuongoza bila kuwa na ukomo?

Ya kwako, mkeo/mumeo na watoto wako inakuruhusu uwe baba au mama milele bila ukomo..?

Ukipata jibu lolote la NDIYO au HAPANA, basi likuongoze kupata jibu la swali lako...!

Halafu niulize swali jingine...
 
Wanaukumbi,

Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1. Katiba Mpya au kupambana na 2. Janga la Corona na 3. Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?

Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.

Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?

Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.

Nakushauri Mbowe, zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna Mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Umewapa za uso hawa CHADEMA. Mbowe hana mikakati yenye kuendana na wakati husika, hajabadilika.

Corona inaisumbua serikali, uchumi wa dunia nzima umedorora, watu wamepunguzwa makazini halafu Mbowe anakuja na siasa zisizo na kichwa wala miguu.
 
Ya kwako, mkeo/mumeo na watoto wako inakuruhusu uwe baba au mama milele bila ukomo..?

Ukipata jibu lolote la NDIYO au HAPANA, basi likuongoze kupata jibu la swali lako...!

Halafu niulize swali jingine...
Wewe ni hamnazo?
 
Sijui huyu jamaa yupoje

Yeye ni kiki na kiki na yeye

Mama amewajibu kistaarabu kwamba mumpe muda tena amewaomba lakini kiburi kinakupanda

Sasa kama sio kichaa kwanini hamkutaka katiba wakati wa Magufuli?mbona hamkutoa pua zenu nje even kudai kuandamana


Ni kwasababu ni Samia si ndio?Huyu mama kaonyesha njia ya na amerudisha uhuru na haki tulioukosa kwa miaka 6

Muacheni ajenge uchumi kwanza nyie mnamvuruga kwa kutumiwa na watu wa nje

Kwanini mnapanda mama kichwani?kwanini hamkufanya hivyo wakati wa magufuli...mama kaamua kuwa mwema kwetu sisi na tunataka awe hivi hivi halafu kina mbowe mnataka mama abadilike

Dola haichezewi na hata mbowe unalijua hilo, katiba tumpe mama muda kwanza, mwenyewe katiba ya chama imekushinda umetawala chama kwa miaka 20 halafu hatusemi, mpe mama nafasi ashasema tumpe muda

Tunatakiwa tushukuru tuna rais anayesikiliza maoni na anayekosolewa akakubali lakini bado hamulioni hilo mnatakaje?

,Kwanini mnakubali kutumika kwa manufaa ya wazungu?

Mbowe tuli na utulizane maana vuguvugu umelitaka watanzania sisi tunataka maendeo kwanza katiba baadae


Hakuna mjinga atakayeandamana kwa sababu ya mbowe na genge lake mbowe ni mbinafsi na anatumika na wazungu kulivuruga taifa nani amsikilize mtu km yule?

Niandamane kwa sababu ya kina mbowe khaaaaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]labda km nitakua mgonjwa

Hawataandamana kwa kuhofia kuuwawa, ila sio kwakuwa hawataki katiba mpya, au kuujua umuhimu wake. Mzungu gani anataka kumtumia Mbowe wakati ccm wameshawapa raslimali zote?
 
Kuna wale vijana wa CUF WALIOKUWA wakiandamana miaka ya nyuma.....

Saidi Kakote leo ni MLEMAVU WA MIGUU....

Bashiru Zembwe anatembelea KIBASKELI CHA MIGUU 3 kwao TANDALE.....

UJINGA MTUPU WA VYAMA HIVI VYA SACCOS......

#KaziIendelee

Watu Kibao wana ulemavu kutokana na ajali za vyombo vya usafiri, na bado wanatumia vyombo hivyo hivyo kusafiria. Ni hivi, katiba mpya ni lazima fullstop.
 
Sijui huyu jamaa yupoje

Yeye ni kiki na kiki na yeye

Mama amewajibu kistaarabu kwamba mumpe muda tena amewaomba lakini kiburi kinakupanda

Sasa kama sio kichaa kwanini hamkutaka katiba wakati wa Magufuli?mbona hamkutoa pua zenu nje even kudai kuandamana


Ni kwasababu ni Samia si ndio?Huyu mama kaonyesha njia ya na amerudisha uhuru na haki tulioukosa kwa miaka 6

Muacheni ajenge uchumi kwanza nyie mnamvuruga kwa kutumiwa na watu wa nje

Kwanini mnapanda mama kichwani?kwanini hamkufanya hivyo wakati wa magufuli...mama kaamua kuwa mwema kwetu sisi na tunataka awe hivi hivi halafu kina mbowe mnataka mama abadilike

Dola haichezewi na hata mbowe unalijua hilo, katiba tumpe mama muda kwanza, mwenyewe katiba ya chama imekushinda umetawala chama kwa miaka 20 halafu hatusemi, mpe mama nafasi ashasema tumpe muda

Tunatakiwa tushukuru tuna rais anayesikiliza maoni na anayekosolewa akakubali lakini bado hamulioni hilo mnatakaje?

,Kwanini mnakubali kutumika kwa manufaa ya wazungu?

Mbowe tuli na utulizane maana vuguvugu umelitaka watanzania sisi tunataka maendeo kwanza katiba baadae


Hakuna mjinga atakayeandamana kwa sababu ya mbowe na genge lake mbowe ni mbinafsi na anatumika na wazungu kulivuruga taifa nani amsikilize mtu km yule?

Niandamane kwa sababu ya kina mbowe khaaaaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]labda km nitakua mgonjwa
Mnachotakiwa ni kuwakumgusha tu, Ushindani wa kipi bora, Demokrasia na Maendeleo uliamuliwa na wananchi kwenye kampeni za uchaguzi 2020. Wapinzani (Chadema) walinadi Demokrasia, Katiba na Sheria, CCM walinadi Uhuru, Kazi na Maendeleo. Wananchi wakachagua Uhuru, kazi na Maendeleo.
Kulazimisha ghafla CCM ibadili muelekeo wa sera na Ilani yake ni sawa na kulazimisha CCM iwasaliti wapiga kura waliopendezwa na Ilani yao. Lakini ni ukweli pia mchakato wa Katiba ni mamilioni ya Pesa ambazo lazima zitafutwe, ziidhinishwe na kutungiwa sheria na Bunge. Mchakato wa Katiba si suala la kutamkwa liwe na likawa.
 
THUBUTUUUUU[emoji419]
Unamawazo potofu sana , swaziland wameandamana kwa mara ya kwanza kwenye historia yao .unafuatilia nini kinaendelea Kyle? Watanzania wanaweza kuwa wajinga lakini uvumilivu huwa unakikomo. Jiulize tz kunapolisi wangapi na raia ni wangapi
 
Back
Top Bottom