Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sihitaji katiba mpya sijui nini, ninachohitaji ni maendeleo. Huyo Mbowe aache bla bla zake.Mpaka wewe umeibuka leo!!!!
Nimeamini UVCCM huwa mnaambiwa nini cha kufanya kwenye mitandao.
Poleni kwa kushikiwa akili.
Poleni kwa kuwa misukule.
Poleni kwa kutobarikiwa akili ya kujipatia kipato kwa jasho.
Poleni.