Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Kuna kiila dalili kuwa hawa wanasiasa wabovu, walevi na waongo wameanza kumpanda kichwani mama.
Hivyo nakuomba mama yetu kipenzi chetu usiwajibu chochote wewe wakalie kimya tu ila warudishie mbabe wao Sabaya.
Sabaya aliwaweza kabisa, walikuwa hawana uwezo hata wa kukohoa mbele yake kuanzia chairman wa kudumu hadi mfagia ofisi wote waliufyata.
Walikuwa hawana hata muda wa kudai mikutano wala sijui katiba, wao walibali siku nzima kulia tu.
Hawa wanasiasa walevi usije ukawaendekeza hata kidogo hawanaga shukrani.
Ukitaka kuona hizi kelele zao zinaisha wakabidhi Ole sabaya, tena mpe wizara ya mambo ya ndani. Hutaona tena wala kusikia kelele yoyote, wanamuogopa sana sabaya. Walilia kila aina ya kilio
Mwenyekiti wa kudumu alikimbia kwao usiku usiku, hivyo wala usiwajibu hawa dawa yao ni huyo.
Ila sabaya aliwakomesha aisee, hizi kelele mlizoana kuzipiga zisingekuwepo.

Uchumi kwanza.
Katiba hata vikoba wanayo
#kazi iendelee#
Km wewe
 
Waliandamana wakasababisha kifo cha yule binti .....

Wanataka tena yatokee kwa WATOTO WENGINE.....

Mtu ana biashara mpaka nchi za nje(bepari)....huo uchungu kwa watanzania anaupatia wapi?!!!

Wanachama wa kawaida wanatumika katika "SACCOS ZA WATU"......

#KaziIendelee
 
Nakuunga mkono lkn sio Sabaya mwenyewe. Anatakiwa hawa watu watafutiwe mtu Sampuli ya Sabaya.

Muda mwingne tunamlaumu jiwe kuwatandika viboko lkn alikua sahihi. Mama ana siku100 tu ofisini lkn kelele zimekua nyingi nchi haitawaliki sasa. Kwa nn wapinzani hawana mshipa wa aibu kua kwa jiwe waliufyta na sasa wamepewa angalau nafasi ya kupumua.

Kwa nn watumie uhuru waliopewa kutaka kuleta vurugu nchini?

Mama Samia, rais wetu kipenzi usikubali, usikubali na usikubali. Wanakujaribu. Watembezee moto kiasi watambue nafasi yao kweny jamii. Wanataka watumie upole wako na neema uliyowapa kutaka kukutoa kwenye hicho kiti ulichokalia.
 
We jamaa napendekeza ukapimwe mkojo inawezekana malaria Kali imekupanda kichwani soon tutakupoteza!
 
Acha wamfundishe Mama aelewe kuwa JPM hakukosea kuenenda na hawa watu jinsi alivyo enenda nao. Lakini itamsaidia vile vile Mama kujua ushauri wa msoga ni wakummaliza na uliojaa unafiki mtupu.
 
Kuna kiila dalili kuwa hawa wanasiasa wabovu, walevi na waongo wameanza kumpanda kichwani mama.
Hivyo nakuomba mama yetu kipenzi chetu usiwajibu chochote wewe wakalie kimya tu ila warudishie mbabe wao Sabaya.
Sabaya aliwaweza kabisa, walikuwa hawana uwezo hata wa kukohoa mbele yake kuanzia chairman wa kudumu hadi mfagia ofisi wote waliufyata.
Walikuwa hawana hata muda wa kudai mikutano wala sijui katiba, wao walibali siku nzima kulia tu.
Hawa wanasiasa walevi usije ukawaendekeza hata kidogo hawanaga shukrani.
Ukitaka kuona hizi kelele zao zinaisha wakabidhi Ole sabaya, tena mpe wizara ya mambo ya ndani. Hutaona tena wala kusikia kelele yoyote, wanamuogopa sana sabaya. Walilia kila aina ya kilio
Mwenyekiti wa kudumu alikimbia kwao usiku usiku, hivyo wala usiwajibu hawa dawa yao ni huyo.
Ila sabaya aliwakomesha aisee, hizi kelele mlizoana kuzipiga zisingekuwepo.

Uchumi kwanza.
Katiba hata vikoba wanayo
#kazi iendelee#
Tatizo la Sabaya anaumiza zaidi hata wasio wanasiasa maadamu akijua tu unayo pesa
 
UKICHEKA na waliberali walioko katika vyama vya SACCOS za biashara zao BINAFSI ujue utavuna mabua.....

Maslahi ya nchi hii hayashikwi na VISACCOS vya siasa ambavyo vinawatumia VIJANA WASIOJITAMBUA kufanikisha malengo yao.....

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Kwa kifupi ni kwamba hata uwepo wao ni suala la kujadiliwa maaana tulitegemea siasa za maendeleo ya wananchi
 
Mama kaniondolea value retention fee kwenye mkopo wa bodi, kanipandisha daraja, eti shukrani yake niandamane...thubutuu hiyo katiba mpya itaniletea ugali mezani. Mama nimekupa mudaaa tutengenezee uchumi kwanza.
 
Back
Top Bottom