Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Uzuri wa watanzania ni wazuri kusapoti katika kusema.

Lakini sio kusapoti ati kuandamana.

Siasa za tanzania sasa hivi na watanzania tulipofikisha na siasa ni kwamba ishu kama hii ya katiba mpya watakaokuwa na muamko wa kuandamana ni vyama pinzani.

Lakini kuna watanzania wengi ambao sio wanasiasa hawatoona umuhimu wa kuandamana.
Ikianza na mimi
 
Watoto wa MBOWE tuwaone katika MAANDAMANO hayo yajayo.....

Waache kula bata na kuishi "kikwasi".....

Tuwaone wakipambana na FFU....

Nikiwaona nami nitajiunga na BAVICHA.....

#KaziIendelee
#WanaSiasaWaChademaNiWaigizaji
 
Nakuunga mkono lkn sio Sabaya mwenyewe. Anatakiwa hawa watu watafutiwe mtu Sampuli ya Sabaya.

Muda mwingne tunamlaumu jiwe kuwatandika viboko lkn alikua sahihi. Mama ana siku100 tu ofisini lkn kelele zimekua nyingi nchi haitawaliki sasa. Kwa nn wapinzani hawana mshipa wa aibu kua kwa jiwe waliufyta na sasa wamepewa angalau nafasi ya kupumua.

Kwa nn watumie uhuru waliopewa kutaka kuleta vurugu nchini?

Mama Samia, rais wetu kipenzi usikubali, usikubali na usikubali. Wanakujaribu. Watembezee moto kiasi watambue nafasi yao kweny jamii. Wanataka watumie upole wako na neema uliyowapa kutaka kukutoa kwenye hicho kiti ulichokalia.
Umeongea point sana, hawa hawana shukrani hata uwafanyie jambo gani. Hivyo dawa yao ni sabaya tu, chama chote walimuogopa sana na kumheshimu
 
Kuna wale vijana wa CUF WALIOKUWA wakiandamana miaka ya nyuma.....

Saidi Kakote leo ni MLEMAVU WA MIGUU....

Bashiru Zembwe anatembelea KIBASKELI CHA MIGUU 3 kwao TANDALE.....

UJINGA MTUPU WA VYAMA HIVI VYA SACCOS......

#KaziIendelee
 
Kuna kiila dalili kuwa hawa wanasiasa wabovu, walevi na waongo wameanza kumpanda kichwani mama.
Hivyo nakuomba mama yetu kipenzi chetu usiwajibu chochote wewe wakalie kimya tu ila warudishie mbabe wao Sabaya.
Sabaya aliwaweza kabisa, walikuwa hawana uwezo hata wa kukohoa mbele yake kuanzia chairman wa kudumu hadi mfagia ofisi wote waliufyata.
Walikuwa hawana hata muda wa kudai mikutano wala sijui katiba, wao walibali siku nzima kulia tu.
Hawa wanasiasa walevi usije ukawaendekeza hata kidogo hawanaga shukrani.
Ukitaka kuona hizi kelele zao zinaisha wakabidhi Ole sabaya, tena mpe wizara ya mambo ya ndani. Hutaona tena wala kusikia kelele yoyote, wanamuogopa sana sabaya. Walilia kila aina ya kilio
Mwenyekiti wa kudumu alikimbia kwao usiku usiku, hivyo wala usiwajibu hawa dawa yao ni huyo.
Ila sabaya aliwakomesha aisee, hizi kelele mlizoana kuzipiga zisingekuwepo.

Uchumi kwanza.
Katiba hata vikoba wanayo
#kazi iendelee#
Huu sio muda wa zile siasa za kishamba 2015-2020, kamwe huyo sabaya hana nafasi kwa siasa za sasa kwani , Mama hausudu siasa hizo ndugu!!someni alama za nyakati.
 
Katiba ya chama ndiyo inamruhusu hiyo angekaa bila utaratibu wa chama ndiyo ingekuwa kosa, mbona hamsemi kuhusu uenyekiti wa Prof. Lipumba, Mrema, Cheyo au Mbatia? Tuwe na katiba yenye kujenga misingi ya utawala bora.

Magufuli alidai ananyosha nchi lakini uchumi umeanguka ktk kipindi chake toka asilimia 7 hadi 4, . Rais Samia anataka kukuza uchumi, je nani anajua Corona itaisha lini? Je akishidwa kupandisha uchumi? Mchakato uanze uende awamu kwa awamu tupate katiba nzuri
Katiba ya Chadema inamruhusu kutawala maisha Chadema na nyie wafuasi wake mnakubali?
 
wananchi wangapi,unauwakika mimi nahitaji hiyo katiba jiseme nafsi yako
Mimi ndiye mwananchi mmoja wa hao. Nina uhakika, ninaihitaji..!

Bahati mbaya wewe hauhitaji. Ni wewe na baki hivyo hivyo utatukuta sisi mbele
 
Mtoa mada na genge lako mtupishe
Sababu ni wa mlengo ule wa kushoto ndio uje na upupu wako mbona wakati wa mtangulizi wake mlikuwa kimyaaaa
Nchi si ya kikundi fulani ni nchi ya wote so Katiba Mpya ni sahihi
Punguza mihemko
 
Kuna kiila dalili kuwa hawa wanasiasa wabovu, walevi na waongo wameanza kumpanda kichwani mama.
Hivyo nakuomba mama yetu kipenzi chetu usiwajibu chochote wewe wakalie kimya tu ila warudishie mbabe wao Sabaya.
Sabaya aliwaweza kabisa, walikuwa hawana uwezo hata wa kukohoa mbele yake kuanzia chairman wa kudumu hadi mfagia ofisi wote waliufyata.
Walikuwa hawana hata muda wa kudai mikutano wala sijui katiba, wao walibali siku nzima kulia tu.
Hawa wanasiasa walevi usije ukawaendekeza hata kidogo hawanaga shukrani.
Ukitaka kuona hizi kelele zao zinaisha wakabidhi Ole sabaya, tena mpe wizara ya mambo ya ndani. Hutaona tena wala kusikia kelele yoyote, wanamuogopa sana sabaya. Walilia kila aina ya kilio
Mwenyekiti wa kudumu alikimbia kwao usiku usiku, hivyo wala usiwajibu hawa dawa yao ni huyo.
Ila sabaya aliwakomesha aisee, hizi kelele mlizoana kuzipiga zisingekuwepo.

Uchumi kwanza.
Katiba hata vikoba wanayo
#kazi iendelee#
Poor thread from a poor mind.
 
Sawa hilo lipo wazi Rais juzi kasemaje?
Kwani Rais ni nani na ni kitu gani...?

Katiba ni KUU KULIKO Rais. Katiba ndiyo inayomfanya mtu awe Rais...

Wananchi hawahitaji ruhusa ya Rais kuitaka serikali ipange bajeti ya kugharamia mchakato huu...

Kama hataki kwa HIARI YAKE kuruhusu mchakato huu, basi NYAKATI na MAJIRA yatamlazimisha kwa lazima...

Mwendazake alikuwa kichwa maji kuliko huyu mama. Yuko wapi..?

Msimfanye mama wa watu afuate nyayo hatari za yule mtu (Mwendazake), mtu ambaye hakuwa hata na chembe ya adabu na heshima kwake mwenyewe, sheria za nchi na kwa wananchi wake....
 
Back
Top Bottom