ngendabanka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2020
- 252
- 314
Andika vizuri basi jombaaaJamani hukuma tayari au bado?
Akiachiwa umati wa watu utapagawa na huenda furaha ikasababishwa uvunjifu wa amani, hapa inabidi polisi wengi kudhibiti wafuasi.Ikionekana tu idadi ya manjagu ni wengi eneo la mahakama, basi majibu ya Jaji yatakuwa Mbowe ana kesi ya kujibu...
Duuuuh kumbe nimekosea kuandika.An
Andika vizuri basi jombaaa
Duh kwamba unatania au ndo uwezo wako wa fikra?
Subiri muda ufike ndio utajua natania au laaDuh kwamba unatania au ndo uwezo wako wa fikra?
Duuuuuuh hii kali aiseee
Hivi kumbe leo ndio hukumu?
Kwahiyo leo ni hukumu?
Kupitia Maria space?Leo ccm watapata jibu kuwa Chadema Ina wafuasi wa kweli na hawateteleki kabisa na watajua upinzani ni upenzi kama ilivyo uyanga na usimba.