Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Umetoka milembe!!?
Leo kuna rullingWe jamaa hujui utaratibu wa mahakama, leo hakuna hukumu yoyote ya kwenda jela, bali uamuzi wa jaji kutokana na ushahidi uliotolewa na mashahidi 13 wa upande wa mashataka, jaji leo ndio atasema washtakiwa wana kesi ya kujibu au la?
Kama watakuwa na kesi ya kujibu wataanza kujitetea au kama hawatakuwa na kesi ya kujibu wataachiwa huru.
Mkuu mbona hiyo saa 8:55 bado haijafika?Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Februari 18, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na Washtakiwa wengine watatu wana Kesi ya Kujibu au Hapana.
Ile siku iliyosubiriwa ya kutolewa maamuzi kesi Mbowe na wenzake 3 kama wana kesi ya kujibu au hawana ni leo 18 Februari 2022 ambapo Jaji Tiganga anatarajiwa kutoa maamuzi hayo katika mahakama kuu ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.
Kujua kesi ilipoishia fungua kiunganishi hiki: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022
=========
UPDATES
1230hrs: Freeman Mbowe na wenzake, bado hawajafikishwa Mahakamani. Kesi itaanza kusikilizwa saa nane za Mchana.
1330hrs: Freeman Mbowe na Wenzake wamefikishwa mahakani.
=========
Jaji ameingia Mahakamani Saa 8 na Dakika 55.. Yupo Tayari..
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Jamhuri Dhidi ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na
- Wakili Pius Hilla
- Abdallah Chavula
- Jenitreza Kitali
- Nassoro Katuga
- Esther Martin
- Ignasi Mwinuka Mawakili Wa Serikali Waandamizi na
- Wakili Tulimanywa Majige Wakili wa Serikali
Inaonesha ni jinsi gani usivyo na akili. Unajua leo ni hukumu ya nini?
Saa 7:55 siyo 8:55Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Februari 18, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na Washtakiwa wengine watatu wana Kesi ya Kujibu au Hapana.
Ile siku iliyosubiriwa ya kutolewa maamuzi kesi Mbowe na wenzake 3 kama wana kesi ya kujibu au hawana ni leo 18 Februari 2022 ambapo Jaji Tiganga anatarajiwa kutoa maamuzi hayo katika mahakama kuu ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.
Kujua kesi ilipoishia fungua kiunganishi hiki: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022
=========
UPDATES
1230hrs: Freeman Mbowe na wenzake, bado hawajafikishwa Mahakamani. Kesi itaanza kusikilizwa saa nane za Mchana.
1330hrs: Freeman Mbowe na Wenzake wamefikishwa mahakani.
=========
Jaji ameingia Mahakamani Saa 8 na Dakika 55.. Yupo Tayari..
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Jamhuri Dhidi ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na
- Wakili Pius Hilla
- Abdallah Chavula
- Jenitreza Kitali
- Nassoro Katuga
- Esther Martin
- Ignasi Mwinuka Mawakili Wa Serikali Waandamizi na
- Wakili Tulimanywa Majige Wakili wa Serikali
Hizi ndizo akili za kiccm, yaani mshitakiwa atahukumiwa bila kupata fursa ya kujitete😀. Kweli CCM n mapopoma
Unajileta hapa kujiaibisha wote tuone ulivyo mtupu kichwani.
Najua sana ninachosema hata kwa wakati ujao Freeman atabaki kuwa free hata kama rulling ya leo itasema ana kesi ya kujibuUtamfungaje mtu ambaye hajajitetea? Leo ni uamuzi wa jaji kwamba mbowe ana kesi ya kujibu au la?
Kama wewe ndiye msemaji na mtetezi wa CCM, kiwango cha Ujinga huko ni cha kutisha.
Mwenzako kafikia ukomo wake wa kufikiri.Duh kwamba unatania au ndo uwezo wako wa fikra?
Just like his nameFreeman Mbowe is Free