Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

HUYU CREMIA SIPENDI KUMUONA HUMU MTOENI HUMU
Tunapumua...

Tulionewa sana kwa miaka 5...

Mama anaupiga mwingi...

Sukuma gang wanakiona cha moto...

Mungu fundi kwa kutu9ndolea lile dhalimu sasa tunapumua...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
CDM hawataki kusikia wazo la "msamaha wa Mama Samia" - ni haki yao kuwa na msimamo huo. Lakini wanafahamu fika hukumu ya Tiganga itakuwaje. Mashahidi wa utetezi wanaitwa kutimiza wajibu tu. Mpira upo mkononi mwao: kuafiki intervention ya Mama au kusubiri hukumu ya Tiganga

CC Jasusi
 
Kuwa mpinzani siyo Kinga dhidi ya mashtaka!

Hata hivyo hizi kesi mbili (Sabaya& Mbowe) zimepewa upendeleo sana kwa kusikilizwa mfululizo.

Kuna watu wako mahabusu na kesi hazitajwi for years.
 
Wanachadema tuache siasa za chuki na mambo ya kufurahia pale wanaCCM kama Sabaya wakipata matatizo.

Leo Mbowe ana kesi ya kujibu lakini hii sio sababu kuwa ana hatia tayari.

Tujifunze na kuacha kufurahia watu wakisingiziwa makosa.

20220218_204212.jpg
 
Tunajua hivyo, ila hata kijana wa miaka 12 akisoma mwenendo wote atajua kwamba hakukuwa na keai ya kujibu bali ni kutaka kumchosha Mwenyekiti wa CDM abakie ndani sababu hakutaka kutumia fursa ya kuomba msamaha iliyotolewa na Rais Samia kupitia Zitto Kabwe.

Msimamo wa Mwenyekiti Mbowe ni kutompigia magoti mwanadamu.

Tunaendeleaaa...
 
Kimsingi na uhalsia,chama tawala na vya vya upnzani hukuza uhasimu zaid hat baad ya uchaguz hvo kfany raia wa vyama pinzan ktokukipenda na kuelew sera za cham tawala,kw jnsi hy mtu atokae chama pinzan ama chama tawala yupo tayar hata kushabikia jamb ambalo lnawez kuw ama ktokuw na ushahidi ilmradi t ausafishe upand wake na upande mwngne uonekane n ovu na usio stahili jamb ambalo lnawafny raia siyo wa chama tawala ama chama pinzan ktoa maon yao juu ya kesi za kina MBOWE na SABAYA kwa mihemuko ya ksiasa bla kjuw hat ukwel wa jamb,

ndy maan n rahis sana kukta mtu ambaye hat hajuw kesi inaendaj na imefkia wp kukuambia kuw MBOWE n gaidi au sio gaidi ama SABAYA n mbay au mzur,n kwasabab kna mtu wa upande wake kamwaminisha na kukariri bla kjua mahakaman kunakwendaje,jamb la msing n kuach political emotions na ktafuta ukwel wa mamb ndpo tuhukumu!maan xehem pekee unaweza pata stahk zak kw haki ktka makosa na mazur n mbiguni t.
 
Back
Top Bottom