LGE2024 Mbowe na wenzake wamekiuka Kanuni ya 49 (k) ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, adhabu yake ni faini au jela mwaka au vyote viwili

LGE2024 Mbowe na wenzake wamekiuka Kanuni ya 49 (k) ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, adhabu yake ni faini au jela mwaka au vyote viwili

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ccm chukua hii ,ila hamlazimishwi mnaenda pata pigo ambalo mtaulizana kwenye corido msijue nini kimetokea , Mungu ananena kwa sauti kubwa , Tunzeni hii , mtapigwa butwaa , leo Tarehe 22 , tunza hii ndani ya siku 87 zijazo mtaelewa nasema nini.

Mmekua waonevu, mmekua na majivuno ,Mungu anasema atawapukutisha kama mchanga ,thanks
Ni washenzi sn hawa jamaa
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Kwani wewe 1979Magufuli mfano uwe ni TLP na ukakaribishwa kwenye jukwaa la CCM kuhutubia kwenye mkutano wao wa kisiasa wa kampeni hizi zinazoendelea. Je, ukienda na kufanya hivyo unakuwa umevunja sheria ipi...?

Na kwa tukio la Jana kama una akili timamu kweli, hebu jiulize swali hili Moja tu kuwa, polisi walienda kufanya nini kwenye mkutano huo wakati ACT WAZALENDO mkutano wao ulikuwa unaenda vizuri tu na hawakuripoti Polisi wakati wowote kulalamika kuwa CHADEMA wamevuruga au kuingilia tukio/mkutano wao....?

Hawa polisi nia na kusudi lao kwa CHADEMA ni nini hasa kama siyo kuwachokoza tu...?

Huoni kuwa polisi ni kama wamevaa koti la CCM Ili kuwasaidia kupambana na CHADEMA? Ni iweje waende kuwakata kwa kuwavizia porini na kwa kuwapiga watu bila sababu...?

Hii yote maana yake nini hasa kama si hawa polisi ku - incite vurugu tu watu watakaposema hawataki kuonewa tena..?

Yaani Iko hivi: Wewe ni mjinga na polisi wako ni wajinga mara 100 zaidi...!!!
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Pumbavu kwani ACT wamelalamika! Kwa nini Mwenyekiti wa ACT naye amekamatwa?

Huyo RPC hana haya za uso labda masaburi!
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Jopo la mawakilo 2 wa CDM ni mawakili laki 320 wa Jamhuri, how could it be easy?
 
Back
Top Bottom