Pre GE2025 Mbowe ndiye aliyepambania Uhai wa Lissu kwa Jasho na Damu Mpaka Kumvushia Nairobi Kenya lakini leo Lissu anampaka matope na kumuona hafai

Pre GE2025 Mbowe ndiye aliyepambania Uhai wa Lissu kwa Jasho na Damu Mpaka Kumvushia Nairobi Kenya lakini leo Lissu anampaka matope na kumuona hafai

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Tenda Wema nenda zako na wala usisubiri shukurani,ni bora Umfadhili Mbuzi kuliko Mwanadamu.Duniani hapa Watu wanaumizwa na Wameumizwa sana na watu wale wa karibu sana yaani wale ambao waliwasaidia kwa jasho na Damu lakini Mwisho wa siku wamegeuka na kubakia Maadui wakubwa sana.

Watu wengi sana wameingia matatizoni na kupata majuto mazito kutoka kwa watu waliowasaidia.watu wengi sana wameumizwa na wema wao .Wapo watu leo wanabubujikwa na machozi yasiyokata usiku na mchana kwa sababu ya majeraha na vidonda visivyopona vilivyo sababishwa na watu waliowasaidia na kujitoa na kujitolea kwao.

Mwamba wa kaskazini na Jabali la siasa za Upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe leo anapakwa matope, kuchafuliwa, kuzushiwa uongo, kusemwa vibaya kusingiziwa kila aina ya uongo, kutukanwa, kubezwa kudharauliwa na hata kutupiwa kila aina ya shutuma kutoka kwa watu aliowakuza, kuwalea na kuwasaida kwa jasho na Damu.

Leo anaumizwa,kuzushiwa uongo na kuchafuliwa na watu walio ndani ya CHADEMA au ambao wapo nje ya CHADEMA lakini walipita mikononi mwake na yeye ndiye akawasaidia mpaka kupata Uongozi kama vile Ubunge japo walikuwa Makapuku na choka Mbaya na wasiofahamika kabisa kwa watanzania lakini Leo ndio wamegeuka kuwa maadui zake wenye kuongoza mashambulizi ya kumchafua, kumpaka matope na kumzushia kila aina ya uchafu.

Ni haohao aliowabeba na kuwasaida na kuwatambulisha mbele ya macho ya watanzania licha ya Umasikini wao, kuchoka kwao kimwili na kupoteza nuru hata ya macho kutokana na njaa zao lakini Leo ndio wapo mstari wa mbele kumrushia mishale ya kila aina kutaka kumuangamiza.

Kwa hakika inaumiza sana kibinadamu,inatia sana hasira, inaleta uchungu na kusononesha sana na kwa hakika kwa mtu mwenye akili Timamu na unayejitambua kamwe na katu huwezi hata kidogo kuwaamini watu wa aina hiyo wanaomshambulia Mbowe kwa sasa wakati unajua kuwa wamefika hapo walipofika na kutambulika hapa Nchini kupitia Mabega na mikono na Msaada wa Mbowe mwenyewe.

watu hao hawapaswi kuaminika wala kuwaamini popote pale wala kuwakaribisha chumbani kwako au hata kuwaonyesha funguo za nyumba yako zinapokaa. Haupaswi hata kuwaacha watoto wako kwao maana ipo siku utakuta wamefanyiwa ukatili na unyama usiomithirika.

Kama wewe mwenye akili Timamu unatambua mchango wa Mbowe kuwasaidia watu hao lakini Leo ndio wanamchafua Mbowe.je wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa huwezi kusalitiwa na kuja kutukanwa na watu hao? Wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa hao watu au huyo mtu hawezi kuja kukugeuka na kukusaliti?

Mbowe ndiye mtu aliyepambana kwa jasho na Damu kupambania uhai wa Lissu.ndiye aliyefanya juhudi zote kuhakikisha Lissu anapata ndege ya dharura itakayo msafirisha Lissu kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ni Mbowe ndiye aliyeweka kambi Nairobi Kenya kusimamia matibabu ya lissu lakini leo Mbowe analipwa kwa mabaya, leo anaonekana hafai,leo anaonekana ni mtu wa hatari ,leo anaonekana hafai kwa lolote lile .Leo Mbowe anaambulia kejeli,dharau,matusi ,kuchafuliwa na kupakwa Matope ya kila aina.

Leo maadui zake wakubwa ni wale aliowasaidia na kuwapigania.

Kwa hakika ni bora Mfadhili Mbuzi tuuu kuliko Mwanadamu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kati ya viumbe wa ajabu hapa duniani namba moja ni wanasiasa. Mwanasiasa akiamua jambo lake hana tofauti na mlevi wa dini. Atatukana hata aliyemzaa.
 
Hakuna Mwenye akili Timamu anayeweza kubali kuona akatoa kura yake ya ndio kwa lissu na kumuacha Mbowe.
Genge la kina boni Yai na na nyere na akaunnti zenu za mchongo haziwez wasaidia lolote!
Sasa mbowe ana jipya gani akibakia kuwa mwenyekiti!

Hata kama wewe ni mbumbu wa siasa hujui kusoma inamaana hata picha huoni!
 
Genge la kina boni Yai na na nyere na akaunnti zenu za mchongo haziwez wasaidia lolote!
Sasa mbowe ana jipya gani akibakia kuwa mwenyekiti!

Hata kama wewe ni mbumbu wa siasa hujui kusoma inamaana hata picha huoni!
CHADEMA itaendelea kuongozwa na mtu mwenye akili Timamu maana inahitaji mwenye akili Timamu na anayejitambua kuiongoza.na hivyo Mbowe ndiye atakaye chaguliwa kwa kura nyingi sana na wana CHADEMA
 
Mimi sina njaa dogo.kama wewe una njaa sema usaidiwe tu.
Wewe kapuku umsaidie nani nawe unatembeza bakuli hapa jukwaani. Kila mtu hapa anajua kuwa hizi makala zako za kusifia sifia wanaume ni njaa hiyo unataka utupiwe japo makombo kapuku mkubwa wewe.
 
CHADEMA itaendelea kuongozwa na mtu mwenye akili Timamu maana inahitaji mwenye akili Timamu na anayejitambua kuiongoza.na hivyo Mbowe ndiye atakaye chaguliwa kwa kura nyingi sana na wana CHADEMA
Naona umechukua nafasi ya Dr. Lillian Mtei sasa unajiamanua manua tu kwa Mbowe sasa.
 
Wewe kapuku umsaidie nani nawe unatembeza bakuli hapa jukwaani. Kila mtu hapa anajua kuwa hizi makala zako za kusifia sifia wanaume ni njaa hiyo unataka utupiwe japo makombo kapuku mkubwa wewe.
Wewe sema tu usaidiwe kama unahitaji maana naona njaa imekupanda kichwani .sema tu wala usihofu.
 
CHADEMA itaendelea kuongozwa na mtu mwenye akili Timamu maana inahitaji mwenye akili Timamu na anayejitambua kuiongoza.na hivyo Mbowe ndiye atakaye chaguliwa kwa kura nyingi sana na wana CHADEMA
Kwahiyo chama kilipomteua Lisu kugombea uraisi alikuwa hana akili timamu!?
Yaani wamwamini nafas ya urais halafu asifae kwenye uenyekiti wa chama!
Hivi unaakili sawasawa kweli wewe Nyerere?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tenda Wema nenda zako na wala usisubiri shukurani,ni bora Umfadhili Mbuzi kuliko Mwanadamu.Duniani hapa Watu wanaumizwa na Wameumizwa sana na watu wale wa karibu sana yaani wale ambao waliwasaidia kwa jasho na Damu lakini Mwisho wa siku wamegeuka na kubakia Maadui wakubwa sana.

Watu wengi sana wameingia matatizoni na kupata majuto mazito kutoka kwa watu waliowasaidia.watu wengi sana wameumizwa na wema wao .Wapo watu leo wanabubujikwa na machozi yasiyokata usiku na mchana kwa sababu ya majeraha na vidonda visivyopona vilivyo sababishwa na watu waliowasaidia na kujitoa na kujitolea kwao.

Mwamba wa kaskazini na Jabali la siasa za Upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe leo anapakwa matope, kuchafuliwa, kuzushiwa uongo, kusemwa vibaya kusingiziwa kila aina ya uongo, kutukanwa, kubezwa kudharauliwa na hata kutupiwa kila aina ya shutuma kutoka kwa watu aliowakuza, kuwalea na kuwasaida kwa jasho na Damu.

Leo anaumizwa,kuzushiwa uongo na kuchafuliwa na watu walio ndani ya CHADEMA au ambao wapo nje ya CHADEMA lakini walipita mikononi mwake na yeye ndiye akawasaidia mpaka kupata Uongozi kama vile Ubunge japo walikuwa Makapuku na choka Mbaya na wasiofahamika kabisa kwa watanzania lakini Leo ndio wamegeuka kuwa maadui zake wenye kuongoza mashambulizi ya kumchafua, kumpaka matope na kumzushia kila aina ya uchafu.

Ni haohao aliowabeba na kuwasaida na kuwatambulisha mbele ya macho ya watanzania licha ya Umasikini wao, kuchoka kwao kimwili na kupoteza nuru hata ya macho kutokana na njaa zao lakini Leo ndio wapo mstari wa mbele kumrushia mishale ya kila aina kutaka kumuangamiza.

Kwa hakika inaumiza sana kibinadamu,inatia sana hasira, inaleta uchungu na kusononesha sana na kwa hakika kwa mtu mwenye akili Timamu na unayejitambua kamwe na katu huwezi hata kidogo kuwaamini watu wa aina hiyo wanaomshambulia Mbowe kwa sasa wakati unajua kuwa wamefika hapo walipofika na kutambulika hapa Nchini kupitia Mabega na mikono na Msaada wa Mbowe mwenyewe.

watu hao hawapaswi kuaminika wala kuwaamini popote pale wala kuwakaribisha chumbani kwako au hata kuwaonyesha funguo za nyumba yako zinapokaa. Haupaswi hata kuwaacha watoto wako kwao maana ipo siku utakuta wamefanyiwa ukatili na unyama usiomithirika.

Kama wewe mwenye akili Timamu unatambua mchango wa Mbowe kuwasaidia watu hao lakini Leo ndio wanamchafua Mbowe.je wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa huwezi kusalitiwa na kuja kutukanwa na watu hao? Wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa hao watu au huyo mtu hawezi kuja kukugeuka na kukusaliti?

Mbowe ndiye mtu aliyepambana kwa jasho na Damu kupambania uhai wa Lissu.ndiye aliyefanya juhudi zote kuhakikisha Lissu anapata ndege ya dharura itakayo msafirisha Lissu kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ni Mbowe ndiye aliyeweka kambi Nairobi Kenya kusimamia matibabu ya lissu lakini leo Mbowe analipwa kwa mabaya, leo anaonekana hafai,leo anaonekana ni mtu wa hatari ,leo anaonekana hafai kwa lolote lile .Leo Mbowe anaambulia kejeli,dharau,matusi ,kuchafuliwa na kupakwa Matope ya kila aina.

Leo maadui zake wakubwa ni wale aliowasaidia na kuwapigania.

Kwa hakika ni bora Mfadhili Mbuzi tuuu kuliko Mwanadamu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
So what? Mbowe must go
 
Wewe sema tu usaidiwe kama unahitaji maana naona njaa imekupanda kichwani .sema tu wala usihofu.
Nikupe location uje hapa nyumbani utakaa hadi mwaka mpya nitakufanyia shopping ya maana uachane na huu ujinga wa kujiuza hapa JF unaidhalilisha sana familia yako.
 
Nikupe location uje hapa nyumbani utakaa hadi mwaka mpya nitakufanyia shopping ya maana uachane na huu ujinga wa kujiuza hapa JF unaidhalilisha sana familia yako.
Pata kwanza chakula uponye njaa yako na kurejesha akili
 
Back
Top Bottom