Pre GE2025 Mbowe ndiye aliyepambania Uhai wa Lissu kwa Jasho na Damu Mpaka Kumvushia Nairobi Kenya lakini leo Lissu anampaka matope na kumuona hafai

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shida ya mbowe ni mjinga sana na chawa wake wamejua hilo sasa wanamjaza Ujinga ili wale pesa zake kiulaini, Lisu anashukuru chawa kula pesa za mbowe kwani mbowe huwa ni mchoyo kwenye pesa za chama, sasa angalau chawa wanamlia pesa hizo kidogo na yeye ainje machungu ya ufisadi wake
 
Lisu mnamuona ana akili timamu, au mnamsingizia tu mambo sio yake. Huyu tauari dishi lishayumba kitambo, tunasumbuliwa na chizi mmoja asie na shukurani. Lisu anamtukana hata rais wetu ila ndo alomfuata alikokua amekimbilia rais akajishusha na kumrudisha nyumbani bila masharit yoyote ila bado anamyea bila huruma
 
Mbowe kaiba pesa nyingi za chama alikuwa mchoyo na ubinafsi mwingi sasa chawa wake kuleni pesa za mbowe ni mda wenu kula pesa za mtu mchoyo mungu hujua kujibu Dhuluma kwani mbowe kawadhulu wenzake wee lakini sasa chawa wanakula pesa yake bila kupenda
 
Wewe ndiyo huna Akili Timamu hujui hata maana ya upinzani hujui hata maana ya haki za kikatiba, yaani haki za Lisu ni fadhila? ni sawa na kuishukuru ATM kwa kutoa pesa zako, Maana ya Upinzani ni kuikosoa Serikali siyo kuwa chawa kama wewe umekula pesa ya mbowe na kujitoa fahamu zote ukazani una Akili timamu kumbe huna
 
Eti wewe nae ni mshauri wa mbowe? Kwa kweli Mbowe kafeli idara ya washauri wake
 
Kitengo Cha propaganda lumumba mmechoka sana

Yaani mnatupia takataka Kila bandiko

Ule ni uchaguzi siyo vita
 
Wewe lini umewahi kuwa na akili? Sifa kubwa ya kuwa chawa ni kujitoa akili. Mpumbavu mkubwa wewe unadandia dandia wanaume kama changudoa sasa umeweka kambi kwa Mbowe unafikiri ndiyo atakutoa kimaisha? Utakufa masikini kwa ujinga wako.
Hili toto jinga jinga aisee
 
Hii siyo justification ya yeye kutawala maisha. Ulikuwa wajibu wake kufanya vile mana analipwa mshahara kwa ajiri hiyo.
 
Acha ujinga wako hapa wewe
 
Tukimalizana na mbowe tutataka na uchaguzi wa mgombea wa uraisi wa CCM uwe wa kidemokrasia watu waruhusiwe kugombea na mama kwenye box la kura.
 
Naomba connection ya kuwa Chawa ilii niwee chawa maarufu JF kama wewe ndugu yangu Lucas mwashabwaa nipo tayarii kujitoa akiliii kama wewe.nakuahidii nitafanyaa hii kazi ya uchawaa kwa uweledii mkubwaa saana na nitahakikisha nailindaa hii taasisi ya uchawaa kwa wivu mkubwaa mno.Nitumaini ombi langu utalifanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…