Sijui ni kitu gani kinawafanya muone
Mbowe jinsi mnavyomuona kwamba ni Malaika, sasa mnaamini kabisa ule Mkutano Mlimani ulikuwa real ? Kwa nini hamuulizi maswali ?
Iweje waliofukuzwa Ubunge warudi Bungeni wakati Mbowe yuko karibu sana na Raisi Samia na hata anakwenda kumtembelea muda wowote Ikulu akiamua?
Kama ni kweli Mbowe au sijui ni baraza la chadema alinuia kuwafukuza akina Halima Mdee kwa nini warudi Bungeni bila consequences zozote ?
Aidha Mbowe amewaloga na mnashindwa kuona lolote baya analowafanyia ?
View attachment 2222595