Mbowe ndiye anayewafanya Wajinga na siyo Spika Tulia au CCM!

Mbowe ndiye anayewafanya Wajinga na siyo Spika Tulia au CCM!

Mbowe na wenzie wasijidanganye kuwa watapewa katiba na tume mpya kwa njia za amani. Hili halijawezekana tangu 1992 mfumo wa chama kimoja ulipoanza. Halitawezekana hadi mwisho. CCM wanajua wanavyo "shinda" chaguzi. Hawawezi kukubali mfumo wa haki. Inabidi walazimishwe. Mbowe bado hajalijua hilo.
Yes ..Peace was NEVER an option.
 
Hizo sheria zitaenda kuangaliwa mahakamani.

Anachotaka mwanzilishi wa huu uzi ni Mheshimiwa Rais kuingilia mhimili huru wa mahakama in favour of CHADEMA.

Does anything justify this barbarism?
Kabla ya kwenda mahakamani, kuna jambo Tulia analotakiwa kulifanya kwa nafasi yake, kuwafukuza kina Mdee kwasababu uwepo wao bungeni mpaka sasa ni kinyume cha sheria.

Badala ya kutimiza jukumu lake hili, anakimbilia kuiachia mahakama iamue, hizi ndio delaying tactics zenyewe, hapa Tuloa anaonesha vile hazijui taratibu za mhimili anaouongoza.
 
Ni wazi haya anayoyafanya Spika kuhusu akina Halima Ni delaying tactics. Hiyo kesi kamwe haitaisha mpàka 2025.
The only solution Ni Mwenyekiti Freeman Mbowe kumuona Samia kuhusu upuuzi huu wa Tulia na Ni deliberate move to block justice na kuiweka Chadema katika mgogoro. Short of that Ni ubatili mtupu na huo mkutano wenu msipoteze muda maana majibu ya Samia kuhusu hili la akina Mdee yana predict future trend!
Ulivyo sema ndio ukweli, japo si kweli rais hajui nini kina endelea. Hao wabunge ni karata ya serikali ili kupata ruzuku toka wafadhili. Aliyo yasema spika ndio msimamo wa serikali. Na kesi haita isha mpaka uchaguzi ujao.
 
Ndiyo mchezo wa Siasa huo, rejea kesi ya Zitto Kabwe miaka ile. Na kama hawakuwapa nafasi ya kusikilizwa kujieleza wakakimbilia kupiga kura tu basi majamaa hawa lazima washinde bila kupepesa macho. Rejea hukumu ya akina Sabaya hivi karibuni ambapo ilifutwa miaka 30 hadi 0 kwa sababu washitakiwa watatu hawakupewa haki ya kusikilizwa. Hii itacheza hadi miezi ya Agosti 2025. Baada ya hapo majamaa yatavuta kilicho chao na kuhamia vyama vingine, na hapo mchezo utakuwa umeisha!
Nafasi ya kusikilizwa walipewa wakakimbia hawakuonekana, na hata juzi kwenye Baraza Kuu wamepewa tena nafasi nyingine ya kusikilizwa, wote wakanyama kimya.
 
Awamu ya 5 haikuwajali sana hawa manjagu wetu wanaotumika kuutangazia umma kuwa tuna Demokrasia. Badala yake iliamua kuwatesa na hapa ndipo ushamba wa awamu ile na kuitwa waporipori ulipoanzia.

Mwachini DJ ale kwa urefu wa kamba yake after all yuko smart sana kucheza na akili za misukule.
 
🗣️ Eti Mbowe, kweli huna maslahi ya uwepo wa kina Mdee huko Bungeni?
 
Ni wazi haya anayoyafanya Spika kuhusu akina Halima Ni delaying tactics. Hiyo kesi kamwe haitaisha mpàka 2025.
The only solution Ni Mwenyekiti Freeman Mbowe kumuona Samia kuhusu upuuzi huu wa Tulia na Ni deliberate move to block justice na kuiweka Chadema katika mgogoro. Short of that Ni ubatili mtupu na huo mkutano wenu msipoteze muda maana majibu ya Samia kuhusu hili la akina Mdee yana predict future trend!

Samia hawezi kuingilia mhimili wa mahakama, maana hapo siyo Spika bali ngoma inachezwa mahakamani. Nawashauri CHADEMA watafute agenda nyingine lakini hawa 19 watawatesa sana! Kama waliandaa majina mengine kupeleka bungeni hiyo wasubiri hadi uchaguzi wa 2025. Kwa kifupi ni kuwa wanapolalia wao wenzao waliamkia huko juzi. Hapo ni kumwaga ugali kwa mboga!
 
Kabla ya kwenda mahakamani, kuna jambo Tulia analotakiwa kulifanya kwa nafasi yake, kuwafukuza kina Mdee kwasababu uwepo wao bungeni mpaka sasa ni kinyume cha sheria.

Badala ya kutimiza jukumu lake hili, anakimbilia kuiachia mahakama iamue, hizi ndio delaying tactics zenyewe, hapa Tuloa anaonesha vile hazijui taratibu za mhimili anaouongoza.
Hawezi kuwafukuza wakati bado ni wanachama wa CHADEMA.

Mahakama pekee ndio ina uwezo, kwa sasa, kuamua uanachama wao.

Kama mahakama itajiridhisha mchakato wa kuwaondolea uanachama ulikuwa halali, wataondoka Bungeni mara moja.

Kama mahakama itajiridhisha mchakato wa kuwaondolea uanachama ulikuwa haramu wataendelea na uanachama na Ubunge wao.

Bunge likiwaondoa sasa hivi litaleta mgongano kama mahakama itaamua vinginevyo.

Ndio maana watabakia kuwa Wabunge mpaka mahakama itakapothibitisha vinginevyo.
 
Mbowe alifuata nini Ikulu tena peke yake na yakiwa yamebaki masaa machache kikao kilichowafukuza kina Mdee kufanyika?!

Ni kweli Mbowe hana maslahi ya uwepo wa kina Mdee huko Bungeni?!
Huna namba yake ya simu ukamuuliza? Unadhani sisi tutakuwa na majibu kweli?
 
Ni wazi haya anayoyafanya Spika kuhusu akina Halima Ni delaying tactics. Hiyo kesi kamwe haitaisha mpàka 2025.
The only solution Ni Mwenyekiti Freeman Mbowe kumuona Samia kuhusu upuuzi huu wa Tulia na Ni deliberate move to block justice na kuiweka Chadema katika mgogoro. Short of that Ni ubatili mtupu na huo mkutano wenu msipoteze muda maana majibu ya Samia kuhusu hili la akina Mdee yana predict future trend!
Hivi Chadema mnaumia nini na riziki za watu?

Kama ni chama si mmeishawavua uanachama?

Sasa mnaacha shughuli zenu ili tu muendeleze ligi na wanawake 19?

Yetu macho!
 
Ajabu sana, Spika anasema wakina Mdee wameenda mahakamani kudai uanachama wao waliofukuzwa Chadema.

Sasa kama Spika anakiri wakina Mdee hawana chama wanachokiwakilisha bungeni, kule bungeni wapo wanafanya nini?

Hapa ni wazi kuna mchezo unaochezwa kati ya CCM na hizi taasisi zake, nasisitiza Mbowe ajitafakari na chama chake kuhusu umuhimu wa vile vikao vya maridhiano wanavyofanya ikulu.

Binafsi sioni umuhimu wa kukutana na watu wanaoendelea kuvunja sheria mbele ya macho yenu, hizi ni dharau.

Bungeni walipelekwa na chama chao na ndiyo msingi wa kesi. Sasa tumwachie Jaji ndiye atakayeamua kama walipelekwa na chama au walijipeleka wenyewe, na kesi itatolewa hukumu 2025.
 
Tanzania imecheza pata potea kuruhusu mihimili muhimu ya nchi kuongozwa na wakina mama katika zama hizi. Sina maana ya kuwa mimi ni mbaguzi wa kijinsia, ila namaanisha wanamke wa Kitanzania licha ya usomi wao, ama kuaminika kwao kushika nafasi nyeti za uongozi, halikuwa jambo lenye afya kuwaruhusu kuongoza taasisi nyeti za urais na bunge.

Tutajitoa ufahamu na kuwamwagia sifa kemkem, lakini ukweli unabakia kuwa bado maamuzi yao mengi yanakosa busara ni yenye ukakasi mwingi. Bado wanatawaliwa na munkari na mihemuko ya kike zaidi.

Pasipokuwa hata na sababu yoyote ile ya maana, wanawake wenye madaraka hupenda kuleta mapambano yasiyokuwa na tija ama kupiga chini maamuzi ama matamko ya wanaume.
 
Ni wazi haya anayoyafanya Spika kuhusu akina Halima Ni delaying tactics. Hiyo kesi kamwe haitaisha mpàka 2025.

The only solution Ni Mwenyekiti Freeman Mbowe kumuona Samia kuhusu upuuzi huu wa Tulia na Ni deliberate move to block justice na kuiweka Chadema katika mgogoro.

Short of that Ni ubatili mtupu na huo mkutano wenu msipoteze muda maana majibu ya Samia kuhusu hili la akina Mdee yana predict future trend!
nasema sis bawacha mkit wetu ni mdee.full stop

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hawezi kuwafukuza wakati bado ni wanachama wa CHADEMA.

Mahakama pekee ndio ina uwezo, kwa sasa, kuamua uanachama wao.

Kama mahakama itajiridhisha mchakato wa kuwaondolea uanachama ulikuwa halali, wataondoka Bungeni mara moja.

Kama mahakama itajiridhisha mchakato wa kuwaondolea uanachama ulikuwa haramu wataendelea na uanachama na Ubunge wao.

Bunge likiwaondoa sasa hivi litaleta mgongano kama mahakama itaamua vinginevyo.

Ndio maana watabakia kuwa Wabunge mpaka mahakama itakapothibitisha vinginevyo.
Kumbe hata hujui unachoandika kwa huo mstari wako wa kwanza tu niliousoma.
 
Bungeni walipelekwa na chama chao na ndiyo msingi wa kesi. Sasa tumwachie Jaji ndiye atakayeamua kama walipelekwa na chama au walijipeleka wenyewe, na kesi itatolewa hukumu 2025.
Una ushahidi gani walipelekwa na chama chao?
 
Mmejifanya wajuaji sasa Ngoja tuone!

Chama kimejaa uhuni, Kimejaa matusi , Chama kimejaa ujanja ujanja!

Haitawezekana tena !!!!!!!
 
Msitupigie kelele, tuko bize na calculations za ongezeko la 23.3% ili tujue ki.a mmoja anapata nini!
 
Sijui ni kitu gani kinawafanya muone Mbowe jinsi mnavyomuona kwamba ni Malaika, sasa mnaamini kabisa ule Mkutano Mlimani ulikuwa real ? Kwa nini hamuulizi maswali ?

Iweje waliofukuzwa Ubunge warudi Bungeni wakati Mbowe yuko karibu sana na Raisi Samia na hata anakwenda kumtembelea muda wowote Ikulu akiamua?

Kama ni kweli Mbowe au sijui ni baraza la chadema alinuia kuwafukuza akina Halima Mdee kwa nini warudi Bungeni bila consequences zozote ?

Aidha Mbowe amewaloga na mnashindwa kuona lolote baya analowafanyia ?

View attachment 2222595
Kwa hiyo mbowe ndo anavunja katiba ya nchi, tumia akili kidogo tu
 
Back
Top Bottom