JITOKEZE WEWE KUWA MPINZANI BASIKama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akima Marealle, β¦
Duh...!. CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, β¦
Umeambiwa ili upewe uDC ni uhakikishe unamchafua Mbowe na Lissu kwa kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa hao ni virus?
Huu ndio uzuri wa JF, tunajibishana na wote wa akili za daasa 7, vilaza, vipanga, vichwa,, ma GT, hadi madebe matupu, wote tunajichanganya as one JF family, hili bandiko CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? sio size yako kabisa, nakushauri lipitie mbali, kisha nenda yale mabandiko ya saizi yako!.Umeambiwa ili upewe uDC ni uhakikishe unamchafua Mbowe na Lissu kwa kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa hao ni virus?
CHADEMA huwa haingalii sura, Mbowe akiwa kirusi au Lissu wataondoka asubuhi na mapema.
Lakini kwa sasa hao ni viongozi wa CHADEMA na tunatuata dira wanayoitoa, mengine mtajuana huko CCM.
Sasa si vitaisha vyoteπVyuo vya kata vifutwe huko Tanzania ,UDSM,UDOM,SUA kama akili ndio hizi
wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wenzio huko ccm unafikir mbowe anamuda wa kuhangaika na mapumbavu yanayolalamika mitandaoni yakiambiwa yaandamane yananyea ndoo tena mbowe shikilia hapohapo mpaka wapumbavu wapate akili.Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, β¦
Soma ulichoandika tena, umepaniki au siyo?Huu ndio uzuri wa JF, tunajibishana na wote wa ajali za daasa 7, vilaza, vichwa hadi ma GT, hili bandiko CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? sio size yako kabisa, nakushauri lipitie mbali, kisha nenda yale mabandiko ya saizi yako!.
P
Kijijini kwenu huwa mnaambiana mtu aliyeishia darasa la saba kwamba hana akili?ππππHuu ndio uzuri wa JF, tunajibishana na wote wa akili za daasa 7, vilaza, vipanga, vichwa,, ma GT, hadi madebe matupu, wote tunajichanganya as one JF family, hili bandiko CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? sio size yako kabisa, nakushauri lipitie mbali, kisha nenda yale mabandiko ya saizi yako!.
P
tundu lisu ni mchaga heche ni mchaga msigwa ni mchaga acha ukabila acha ubaguzi nduguWachaga wote ni wazee wa fursa , kwenye maslahi hata wao Kwa wao hugeukana
Nilikua naenda kukuelewa lkn kuanzia paragraph ya pili ukapoteza akili ghafla na kuweka mahaba ya uchama!!!Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, β¦
Umeamua kuandika upuuzi. Hao wachagga ndio walioanzisha upinzani tangu enzi ya mkoloni na watanzania wakajazwa ujinga kwamba wasiwaunge mkono. Mliwaita wapenda hela leo hii ndio mnagundua hela sio anasa bali ni muhimu kwa maisha na baadaye sana mtagundua upinzani sio chuki ni hitaji la kisiasa popote pale.Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, β¦
Mtoto wa kuku ni kifaranga, je Mtoto wa. Nyoka anaitwaje?
Januare MikambaMtoto wa kuku ni kifaranga, je Mtoto wa. Nyoka anaitwaje?