TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Sijakupata Mkuu.Januare Mikamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakupata Mkuu.Januare Mikamba
[emoji28][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] aiseeeJanuare Mikamba
Duh!...!. Kiukweli hawa vilaza wa humu, ukiisha wajua, hawakupi taabu!. Unadhani mtu kuelimika ni mpaka uajiriwe na kuteuliwa kuwa fulani, hivyo vilaza hawa wa humu wanadhani mimi nafukuzia teuzi!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!Soma ulichoandika tena, umepaniki au siyo?
Ukiondoa hivyo vi degree na Masters zisizokusaidia kitu zaidi ya kukugeuza mbusu makalio ya watawala, wewe ni mweupe sana.
Njaa zitakuua, njaa tupu kama jina lako.
Sio lazima kila mwana wa nyoka ni nyoka, kuna mambo ya genetics na mutations, sio kila mwana wa nyoka ni nyoka, sometimes nyoka ana mutatate kwa kufanya mutations na kuangua mjusi, ila mjusi huyo anakuwa na straits za unyoka. Moja ya sifa kubwa za nyoka ni uwezo wa kupenya popote!, hivyo mjusi mwenye straits za nyoka ni mzuri kwa kupenya, laiti wale manyoka, wangemsikiliza yule mjusi, labda wangeweza hata kumuokoa yule Baba yao ile siku walipoelezwa haya na haya na haya, kiukweli yale manyoka ni manyoka majinga ajabu, yameelezwa jambo la maana sana na mjusi wakalipuuzia, matokeo yake naamini unayajua!.Mtoto wa kuku ni kifaranga, je Mtoto wa. Nyoka anaitwaje?
Kuna tofauti za mtu wa akili za daasa saba na mtu aliyeishia darasa la 7, au hata mtu ambaye hakusoma kabisa!.Kijijini kwenu huwa mnaambiana mtu aliyeishia darasa la saba kwamba hana akili?😂😂😂😂
Ukweli makini,hao rushia furushi la mafaranga umemalizaKama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, …
Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, …
Vyuo vya kata ndiyo vyuo gani?Vyuo vya kata vifutwe huko Tanzania ,UDSM,UDOM,SUA kama akili ndio hizi
Wachaga wote ni wazee wa fursa , kwenye maslahi hata wao Kwa wao hugeukana
Amekuzuoa kuwa Mpinzani? Unawaza kwa kutumia utumbo mpana? Kwa hio Mbowe kazaliwa kuja kuku semea wewe mwanamkeKama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, …
Kuna sehemu wewe unazuiwa kufanya siasa? Au hao ubao wataja wamezaliwa kuja kukusemea wewe Mwanamke?Wachaga wote ni wazee wa fursa , kwenye maslahi hata wao Kwa wao hugeukana
Ndio hapo nashangaaaJITOKEZE WEWE KUWA MPINZANI BASI
Kuna sehemu unazuiwa kuwa mtu wa syteam?Mbowe ni mtu wa system toka zamani. Alipelekwa jela kunyooshwa kidogo kwa sababu alijaribu kucheza nje ya script!
Hawa ndio wali zaliwa kuja kusifia wanaume wenzao, hakuna kitu kibaya unshinda kusifia mwanaume mwenye makende sawa na wewe na ndio kazi huyo anayo ifanyaUmeambiwa ili upewe uDC ni uhakikishe unamchafua Mbowe na Lissu kwa kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa hao ni virus?
CHADEMA huwa haingalii sura, Mbowe akiwa kirusi au Lissu wataondoka asubuhi na mapema.
Lakini kwa sasa hao ni viongozi wa CHADEMA na tunatuata dira wanayoitoa, mengine mtajuana huko CCM.
P unaposema sio saizi yake una maana gani? Huoni kwamba una namna unaona kama wewe ndio mmiliki wa maarifa pekee yako? Kipimo cha aliye saizi wa uzi wako na asiye anakifanya nani?Huu ndio uzuri wa JF, tunajibishana na wote wa akili za daasa 7, vilaza, vipanga, vichwa,, ma GT, hadi madebe matupu, wote tunajichanganya as one JF family, hili bandiko CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? sio size yako kabisa, nakushauri lipitie mbali, kisha nenda yale mabandiko ya saizi yako!.
P
Wewe CCM ya CDM yana kuhusu nin? Si ndio vyema kama kuna kirusi ili CDM ife?Huu ndio uzuri wa JF, tunajibishana na wote wa akili za daasa 7, vilaza, vipanga, vichwa,, ma GT, hadi madebe matupu, wote tunajichanganya as one JF family, hili bandiko CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? sio size yako kabisa, nakushauri lipitie mbali, kisha nenda yale mabandiko ya saizi yako!.
P
Mbowe kalipiwa safari na nani? Nionyeshe video akisema hayo. Kwenye interview video hakuna hilo suala sijui mnazusha kwa Nini.Angekuwa zitto ndiye kasema kalipiwa safari ya nje na serikali, Wallah angeshambuliwa kila kona.
Kweli the dunia is not fair