Mbowe ni trojan Horse, siyo Mpinzani ni sehemu ya Utawala!

Mbowe ni trojan Horse, siyo Mpinzani ni sehemu ya Utawala!

mashoga ya ccm 2025 jiandaen kukimbia mwenye makorido ya lumumba maana serikal yenu fake ya majiz ya kura inaenda kuanguka hizo buku 7 mnazopokea hamtaziona tena.
Tulia we kima miaka yote maneno hayohayo tu
Endelea kukalia Ukuni wa huyo mnamwita mwenyekiti MANYUMBU mafala nyie.
 
Nakuuliza ulitaka awe anaisifia ccm ndio ujue kama ni mtu wa system?
Sio mpaka kusifia lakini huwa akiwapa za uso mfano wa COVID 19 mnadai ni kuwadi wa mabeberu..... Alidai katiba mpya akageuka gaidi.... Ila anapotaka maridhiano ndio eti mtu wa system?

No one is buying this crap
 
Ukiwa kabila kubwa kusemwa vibaya ni sehemu ya mafanikio, karibuni waswahilina muendelee kutuweka nafasi za juu ndugu zenu Wachagga.
Ni ninyi mliozaliwa au kuwahi mjini na ni nyienyei huwa tunanunu nyumba zenu na kubakia mjini. Kuzaliwa tu mchaga, mpemba au mkinga ni bahati.
 
Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.

Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.

Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, …
Unavuta wewe.
1621842341079.jpg
 
Back
Top Bottom