Mbowe ni trojan Horse, siyo Mpinzani ni sehemu ya Utawala!

Mbowe ni trojan Horse, siyo Mpinzani ni sehemu ya Utawala!

Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.

Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.

Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, …
tundu lisu ni mchaga heche ni mchaga msigwa ni mchaga acha ukabila acha ubaguzi ndugu
Hawajui kama Chadema ipo liwale MPAKA TARIME kigoma MPAKA karatu dar mpaka tunduru iringa mpaka ukerewe yaani Chadema imeenea kote mpaka imevuka mpaka ya jamhuri ya Mzee mchonga (NYERERE)
 
Sio lazima kila mwana wa nyoka ni nyoka, kuna mambo ya genetics na mutations, sio kila mwana wa nyoka ni nyoka, sometimes nyoka ana mutatate kwa kufanya mutations na kuangua mjusi, ila mjusi huyo anakuwa na straits za unyoka. Moja ya sifa kubwa za nyoka ni uwezo wa kupenya popote!, hivyo mjusi mwenye straits za nyoka ni mzuri kwa kupenya, laiti wale manyoka, wangemsikiliza yule mjusi, labda wangeweza hata kumuokoa yule Baba yao ile siku walipoelezwa haya na haya na haya, kiukweli yale manyoka ni manyoka majinga ajabu, yameelezwa jambo la maana sana na mjusi wakalipuuzia, matokeo yake naamini unayajua!.

Sasa tuko kwenye safari kuelekea 2025, manyoka wanaongoza kikundi cha nyimbo, kwaya, bendi na sasa kazi ni moja tuu, ni mwendo wa kusifu, na mapambio kuwa 2025 ni Mama! Mama! Mama!, mjusi kama kawaida yake ametoa angalizo la 2025, sasa anasubiria muda ufike kama watampuuza tena kwa vile ni mjusi!.

Inaendelea...

P
Straits ulimaanisha traits ?
 
Sio kweli uwivu wako kwa wachaga ndio unakuleteeni umaskini kwenye family zenu mnazo uza ngombe kutetea kesi ya kuku totally poverty mind!
Mtaishia hivyo hivyo na umaskini wenu wa kufuta mavi kwa wahindi mpaka mfe walahi nakuapia! Uwivu wenu umewaponza wana wa laana walahi [emoji2959]
Neno uwivu halipo kwenye lugha ya kiswahili.

Jielimishe zaidi.
 
Unataka akikiri akupigie simu au??

Hutaki kuamini kuwa mtu wenu hayupo vile wengi wanavyomwona yupo??
Kwenye interview hakuna sehemu kaongea hayo maneno?

Mwaka Jana si TAKUKURU walimchunguza Tena retrospectively mpaka miamala ya benki from 2010!! Mbona hamkumpeleka mahakamani? Maana mliona hakuna Cha ushahidi wa kuiba ruzuku Wala kujikopesha kama mlivyokua mnaropoka humu jf.

So wewe kama mwanasheria embu jitahidi kuwa na nidhamu, usiongeee mambo bila evidence au basis. Yaani ukiona tu screenshot ya Twitter basi ni taarifa halali?

Kwa akili hizi no wonder CCM inatawala miaka 60 Sasa licha ya kufeli Kila kitu
 
Mkuu

Sio lazima move za the state zipate Baraka kwa CCM, WAKATI mwingine the state inakinzana na chama kutokana na aliyeshika HATAMU ana MASLAHI Gani na hoja inayoletwa na the state!

Mfano,hoja ya katiba Mpya ni ya the state ccm hawaitaki coz itaondoa power ya kulamba asali kwa NAMBA MOJA, Hivyo anaetumiwa na state lazima
alipe gharama ya utumishi huo,JAPO atalindwa na Hao waliomtuma!!

Ccm na The state sio wamoja bali ccm imeaminiwa na DOLA kushika hatamu!!!

Hoja ya Mbowe na ugaidiugaidi ilianzishwa na ccm Ili kumdhibiti,sio DOLA!

HIVYO tu
Acheni kukuza mambo DOLA ipo chini ya Rais so usitake kutenganisha na hizo conspiracy zenu. In fact Ili uwepo kwenye Dola basi lazima uwe aligned na chama tawala no wonder mtu ni mwanajeshu ghafla anateuliwa ukuu wa mkoa anaingia vikao vya CCM!! Mtu jaji mkuu ghafla anagombea Uspika unajiuliza kadi alipewa lini??

Mbowe sio part ya state ingekua hivyo angekua kama Mbatia au Seif waliojisalimisha kabla ya uchaguzi. Mfano kama state inamtumia Mbowe kudai katiba obviously na huko CCM watu wote wanaotumika na state wangeanzisha vuguvugu so inakua rahisi kufanikiwa.

Unless uniambie hiyo state nao vilaza tu yaani wategemee katiba ipatikane kupitia Mbowe pekee? Sasa huko bungeni Pamejaa maCCM wataipitishaje?

So logic haikubali kabisa, Mbowe ni opposition maana alipoingia Chadema ilikua zero kabisa ila kaipaisha so hata hao TISS hakuna aliyewahi Dhani Chadema ingefika hapa ilipo Cha kushangaza wamefika hapa ndio mnataka mchukue credit kuwa Mbowe ni mtu wenu?

Acheni utani
 
Sio lazima kila mwana wa nyoka ni nyoka, kuna mambo ya genetics na mutations, sio kila mwana wa nyoka ni nyoka, sometimes nyoka ana mutatate kwa kufanya mutations na kuangua mjusi, ila mjusi huyo anakuwa na straits za unyoka. Moja ya sifa kubwa za nyoka ni uwezo wa kupenya popote!, hivyo mjusi mwenye straits za nyoka ni mzuri kwa kupenya, laiti wale manyoka, wangemsikiliza yule mjusi, labda wangeweza hata kumuokoa yule Baba yao ile siku walipoelezwa haya na haya na haya, kiukweli yale manyoka ni manyoka majinga ajabu, yameelezwa jambo la maana sana na mjusi wakalipuuzia, matokeo yake naamini unayajua!.

Sasa tuko kwenye safari kuelekea 2025, manyoka wanaongoza kikundi cha nyimbo, kwaya, bendi na sasa kazi ni moja tuu, ni mwendo wa kusifu, na mapambio kuwa 2025 ni Mama! Mama! Mama!, mjusi kama kawaida yake ametoa angalizo la 2025, sasa anasubiria muda ufike kama watampuuza tena kwa vile ni mjusi!.

Inaendelea...

P
Asante sana unaendelea kulitendea haki swali langu.
 
Mlimuita gaidi mara sahivi mtu wa state.

Kipindi anamkosoa JPM mkamuita mtetezi wa mafisadi.

Alipopinga approach ya JPM kwenye COVID 19 mkamuita anatumika na mabeberu.

Mbona hamueleweki, akianza mikutano ya hadhara na kuikaanga CCM msirudi hapa kulialia kuwa ni gaidi.
Sasa ulitaka awe anaisifia ccm?

Kumbe hamjui mambo mengi sana
 
CDM ikisema shida, ikizungumza shida. Sio wapinzani wanaona raha kukaa ndani na mateso yake miezi 8 au kupigwa kedekede. Naona tumefika mwisho wa kufikiri.
 
Sasa ulitaka awe anaisifia ccm?

Kumbe hamjui mambo mengi sana
Ndio nakuuliza si ulikua unashabikia ni gaidi? Leo hii ndio unamtambua ni mtu wa Dola kisa tu amekubali maridhiano? Ila kipindi anapinga chanjo oooh mkasema anatumika na mabeberu?

Sasa which is which? Kwa akili hizi ndio maana mwenyekiti wenu anawazidishia tozo na mgao!! Maana kaona wote mbumbumbu tu
 
Acheni kukuza mambo DOLA ipo chini ya Rais so usitake kutenganisha na hizo conspiracy zenu. In fact Ili uwepo kwenye Dola basi lazima uwe aligned na chama tawala no wonder mtu ni mwanajeshu ghafla anateuliwa ukuu wa mkoa anaingia vikao vya CCM!! Mtu jaji mkuu ghafla anagombea Uspika unajiuliza kadi alipewa lini??

Mbowe sio part ya state ingekua hivyo angekua kama Mbatia au Seif waliojisalimisha kabla ya uchaguzi. Mfano kama state inamtumia Mbowe kudai katiba obviously na huko CCM watu wote wanaotumika na state wangeanzisha vuguvugu so inakua rahisi kufanikiwa.

Unless uniambie hiyo state nao vilaza tu yaani wategemee katiba ipatikane kupitia Mbowe pekee? Sasa huko bungeni Pamejaa maCCM wataipitishaje?

So logic haikubali kabisa, Mbowe ni opposition maana alipoingia Chadema ilikua zero kabisa ila kaipaisha so hata hao TISS hakuna aliyewahi Dhani Chadema ingefika hapa ilipo Cha kushangaza wamefika hapa ndio mnataka mchukue credit kuwa Mbowe ni mtu wenu?

Acheni utani
Umeshindwa kunielewa we jamaa!!

Kama ni hivyo bas marais walioshika hatamu wangeamua atakaeshika hatamu Baada yake,mbona huwa wanafeli!!?

Kuna KITU ina operate very deep wakati mwingine Rais hajui chochote!
 
Maneno haya yataendelea kukugharimu kwenye jitihada zako za kusaka uwakilishi kupitia Ccm...
Kuna type fulani ya mijitu very bold, they call a spade a spade, kwa kuwa mkweli kihivyo srometimes it costs, ila wakweli hao, they don't mind paying the price, as long as unachokisema ni kitu cha kweli.

Nikijiangalia nilivyo and what I stand for, nikijilinganisha na baadhi ya waliopitishwa, kiukweli kabisa kuna majitu majinga na ya hovyo ambayo hayana msaada wowote, lakrini yamepitishwa na watu wazuri wamekatwa kwa sababu za kijinga!. Hiki kinachofanyika ni ujinga na watu wanaofanya ujinga ni majinga.

Kwa vile Mama alipoingia aliukuta huu ujinga upo na yeye anaundeleza bila kujua ni ujinga, s'2 he is excusable kwenye wajinga kwasababu tunajifariji kuwa alikuwa haujui ujinga huo, hivyo cha kwanza tunachofanya ni kunielimisha Mama ili aujue ujinga huo na kwa vile huyu ni mtu wa haki, akiiijua ujinga huo kamwe hataruhusu dhulma hii iendelee ndani ya Tanzania ya Samia na ujinga wenyewe ni huu tulianza kwa kuwaeĺimisha Watanzania maujinga yetu, Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi! na Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.

Mimi kama mwana CCM, nikaemisha wana CCM wenzangu kuwa japo CCM ni chama chetu, kikituletea maujinga, tusikubali Kinondoni na Siha, tusikubali ujinga huu! hata Mwl. Nyerere alikataa ujinga wa CCM, 1995 akachagua upinzani!

Samia alipoingia tukamlilia Je, jicho la Rais Samia litauangazia Ubatili huu ndani ya Katiba yetu unaopora Haki ya Msingi, uliochomekewa kibatili ili kuuhalalisha? kisha tukalia tena Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?

Hatimaye akatupa majibu Samia Mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa Hili, Atabarikiwa!, Taifa Litabarikiwa!. Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania

kitu ambacho hatukipendi ni when paying the price tuko tayari kulipa haraka yoyote except paying for the price of life kwasababu itawagharimu the innocent loved ones kama mke na watoto wa Stan Katabalo, Azory Gwanda na Ben Saanane!, na hata hao who paid by their lives, waliowalipisha nao wamelipwa, hivyo hata Mama baada ya kuujua ukweli akaamua kuacha ujinga huo kuendelea, karma nayo utaendelea na kutimiza wajibu wake mpaka pale viongozi wetu watakapo do the right thing and do it right.

P
 
Wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, Mchana Mbowe yuko na Lowasa, Usiku yuko na akina Mwigulu Nchemba.
Mbowe ni mtu wa mfumo!
 
Umeambiwa ili upewe uDC ni uhakikishe unamchafua Mbowe na Lissu kwa kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa hao ni virus?
CHADEMA huwa haingalii sura, Mbowe akiwa kirusi au Lissu wataondoka asubuhi na mapema.
Lakini kwa sasa hao ni viongozi wa CHADEMA na tunatuata dira wanayoitoa, mengine mtajuana huko CCM.
Hapo kwenye kumtoa Mbowe hebu agalia vizuri labda sivyo ulivyokusudia kuandika. Huyo hamuwezi kumtoa labda atoke mwenyewe
 
wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wenzio huko ccm unafikir mbowe anamuda wa kuhangaika na mapumbavu yanayolalamika mitandaoni yakiambiwa yaandamane yananyea ndoo tena mbowe shikilia hapohapo mpaka wapumbavu wapate akili.
Mbona enzi zile cuf walikuwa wanaandamana.
 
Ndio nakuuliza si ulikua unashabikia ni gaidi? Leo hii ndio unamtambua ni mtu wa Dola kisa tu amekubali maridhiano? Ila kipindi anapinga chanjo oooh mkasema anatumika na mabeberu?

Sasa which is which? Kwa akili hizi ndio maana mwenyekiti wenu anawazidishia tozo na mgao!! Maana kaona wote mbumbumbu tu
Nakuuliza ulitaka awe anaisifia ccm ndio ujue kama ni mtu wa system?
 
Back
Top Bottom