Sio lazima kila mwana wa nyoka ni nyoka, kuna mambo ya genetics na mutations, sio kila mwana wa nyoka ni nyoka, sometimes nyoka ana mutatate kwa kufanya mutations na kuangua mjusi, ila mjusi huyo anakuwa na straits za unyoka. Moja ya sifa kubwa za nyoka ni uwezo wa kupenya popote!, hivyo mjusi mwenye straits za nyoka ni mzuri kwa kupenya, laiti wale manyoka, wangemsikiliza yule mjusi, labda wangeweza hata kumuokoa yule Baba yao ile siku walipoelezwa haya na haya na haya, kiukweli yale manyoka ni manyoka majinga ajabu, yameelezwa jambo la maana sana na mjusi wakalipuuzia, matokeo yake naamini unayajua!.
Sasa tuko kwenye safari kuelekea 2025, manyoka wanaongoza kikundi cha nyimbo, kwaya, bendi na sasa kazi ni moja tuu, ni mwendo wa kusifu, na mapambio kuwa 2025 ni Mama! Mama! Mama!, mjusi kama kawaida yake ametoa angalizo la 2025, sasa anasubiria muda ufike kama watampuuza tena kwa vile ni mjusi!.
Inaendelea...
P