Mbowe ni trojan Horse, siyo Mpinzani ni sehemu ya Utawala!

Mlimuita gaidi mara sahivi mtu wa state.

Kipindi anamkosoa JPM mkamuita mtetezi wa mafisadi.

Alipopinga approach ya JPM kwenye COVID 19 mkamuita anatumika na mabeberu.

Mbona hamueleweki, akianza mikutano ya hadhara na kuikaanga CCM msirudi hapa kulialia kuwa ni gaidi.
 
Mwenyekiti wa kinachojiita chama kikuu cha upinzani anakiri wazi kabisa kulipiwa safari na serikali wanachama wafuasi na wananchi wanabakia kukenua tu meno.

Ni watu wachache sana wanajali principles.
Kakiri wapi? Acheni uzushi UVCCM

Mwanasheria mzima unapotosha, no wonder serikali haiwezi kushinda kesi kwenye international tribunes/dispute settlements!!
 
Malyenge anacheza kwa step.
Kaona dau limepukutishwa hamna cha KUB wala Ubunge kaamua kurudi kundini.
Kumbuka aliulizwa kwa bashasha "Hivi Mbowe unataka nini"
Hakujibu badala yake akaenda mjengo mweupe kupeleka majibu.
Then kapiga kimya
mashoga ya ccm 2025 jiandaen kukimbia mwenye makorido ya lumumba maana serikal yenu fake ya majiz ya kura inaenda kuanguka hizo buku 7 mnazopokea hamtaziona tena.
 
wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wenzio huko ccm unafikir mbowe anamuda wa kuhangaika na mapumbavu yanayolalamika mitandaoni yakiambiwa yaandamane yananyea ndoo tena mbowe shikilia hapohapo mpaka wapumbavu wapate akili.
tangulia wewe kaandamane. Nyau tu wewe.
 
hayo mazezeta ya ccm mitandaon yameshachanganyikiwa na ikifika 2025 yataokota makopo kabisa maana ccm imeshakufa na ukitaka kunua imeshakufa muulize katambi juz juz alifanya mkutano hapa shinyanga aliambulia wajinga wachache tena kwa aibu kubwa
 
tangulia wewe kaandamane. Nyau tu wewe.
kwamba kwa akili yako ya kijinga siwez kuandamana ndio unavyofikiria hebu subir mikutano ya hadhara iliyotangazwa na chama ianze ndo mtaelewa na akili zenu za kijinga by the way nenda kampe pole katambi juz juz alifanya kuwa samia day umuulize hio samia day yake alipata watu wangapi saiv anajambajamba huku anatuma watu wamuombee msamaha arudi chadema.
 
P unaposema sio saizi yake una maana gani? Huoni kwamba una namna unaona kama wewe ndio mmiliki wa maarifa pekee yako? Kipimo cha aliye saizi wa uzi wako na asiye anakifanya nani?
Kipimo kinafanywa na aliyeleta mada, na hilo mbona ni rahisi kujua tu kuwa fulani hiki kipimo ni kikubwa kwake baada ya kujibu ambacho wala hakipo.
 
Kakiri wapi? Acheni uzushi UVCCM

Mwanasheria mzima unapotosha, no wonder serikali haiwezi kushinda kesi kwenye international tribunes/dispute settlements!!
Unataka akikiri akupigie simu au??

Hutaki kuamini kuwa mtu wenu hayupo vile wengi wanavyomwona yupo??
 
sijawahi kuomba kazi popote zaidi ya ile ya kutaka kuwatumikia wananchi na kuitumikia nchi yangu nikakataliwa na yale majinga fulani! ule ujinga fulani!.
Maneno haya yataendelea kukugharimu kwenye jitihada zako za kusaka uwakilishi kupitia Ccm...
 
Waliokukataa sio wapumbavu ila wewe inatakiwa ujitafakali unakwama wapi?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mkuu

Sio lazima move za the state zipate Baraka kwa CCM, WAKATI mwingine the state inakinzana na chama kutokana na aliyeshika HATAMU ana MASLAHI Gani na hoja inayoletwa na the state!

Mfano,hoja ya katiba Mpya ni ya the state ccm hawaitaki coz itaondoa power ya kulamba asali kwa NAMBA MOJA, Hivyo anaetumiwa na state lazima
alipe gharama ya utumishi huo,JAPO atalindwa na Hao waliomtuma!!

Ccm na The state sio wamoja bali ccm imeaminiwa na DOLA kushika hatamu!!!

Hoja ya Mbowe na ugaidiugaidi ilianzishwa na ccm Ili kumdhibiti,sio DOLA!

HIVYO tu
 
Kunyamaza nayo ni hekima.
 

Wewe kuwa mpinzani wa kweli Basi acha zako.
 

Lissu ameanza upinzani lini?. Muulize kikwete anamfahamu na Mkapa. Usiongee usilolijua .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…