Mbowe ni mtu wa system toka zamani. Alipelekwa jela kunyooshwa kidogo kwa sababu alijaribu kucheza nje ya script!
Soma ulichoandika tena, umepaniki au siyo?
Ukiondoa hivyo vi degree na Masters zisizokusaidia kitu zaidi ya kukugeuza mbusu makalio ya watawala, wewe ni mweupe sana.
Njaa zitakuua, njaa tupu kama jina lako.
Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa hawaivi na Magufuli basi, hivyo mnapoteza muda wenu bure.
Mbowe, Tundu Lisu, Yusufu & Co. wako kuilinda CCM dhidi ya genuine Upinzani na ndiyo maana unaona yoyote atakayeikosoa Serikali vijana wa Mboww na Tundu lisu watamjia juu.
Wachaga siku zote huuzwa na Viongozi wao, walianza akina Mareale, …
Hawajui kama Chadema ipo liwale MPAKA TARIME kigoma MPAKA karatu dar mpaka tunduru iringa mpaka ukerewe yaani Chadema imeenea kote mpaka imevuka mpaka ya jamhuri ya Mzee mchonga (NYERERE)tundu lisu ni mchaga heche ni mchaga msigwa ni mchaga acha ukabila acha ubaguzi ndugu
Straits ulimaanisha traits ?Sio lazima kila mwana wa nyoka ni nyoka, kuna mambo ya genetics na mutations, sio kila mwana wa nyoka ni nyoka, sometimes nyoka ana mutatate kwa kufanya mutations na kuangua mjusi, ila mjusi huyo anakuwa na straits za unyoka. Moja ya sifa kubwa za nyoka ni uwezo wa kupenya popote!, hivyo mjusi mwenye straits za nyoka ni mzuri kwa kupenya, laiti wale manyoka, wangemsikiliza yule mjusi, labda wangeweza hata kumuokoa yule Baba yao ile siku walipoelezwa haya na haya na haya, kiukweli yale manyoka ni manyoka majinga ajabu, yameelezwa jambo la maana sana na mjusi wakalipuuzia, matokeo yake naamini unayajua!.
Sasa tuko kwenye safari kuelekea 2025, manyoka wanaongoza kikundi cha nyimbo, kwaya, bendi na sasa kazi ni moja tuu, ni mwendo wa kusifu, na mapambio kuwa 2025 ni Mama! Mama! Mama!, mjusi kama kawaida yake ametoa angalizo la 2025, sasa anasubiria muda ufike kama watampuuza tena kwa vile ni mjusi!.
Inaendelea...
P
Neno uwivu halipo kwenye lugha ya kiswahili.Sio kweli uwivu wako kwa wachaga ndio unakuleteeni umaskini kwenye family zenu mnazo uza ngombe kutetea kesi ya kuku totally poverty mind!
Mtaishia hivyo hivyo na umaskini wenu wa kufuta mavi kwa wahindi mpaka mfe walahi nakuapia! Uwivu wenu umewaponza wana wa laana walahi [emoji2959]
Huu ndio uzuri wa JF, tunajibishana na wote wa akili za daasa 7, vilaza, vipanga, vichwa,, ma GT, hadi madebe matupu, wote tunajichanganya as one JF family, hili bandiko CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? sio size yako kabisa, nakushauri lipitie mbali, kisha nenda yale mabandiko ya saizi yako!.
P
Kwenye interview hakuna sehemu kaongea hayo maneno?Unataka akikiri akupigie simu au??
Hutaki kuamini kuwa mtu wenu hayupo vile wengi wanavyomwona yupo??
Acheni kukuza mambo DOLA ipo chini ya Rais so usitake kutenganisha na hizo conspiracy zenu. In fact Ili uwepo kwenye Dola basi lazima uwe aligned na chama tawala no wonder mtu ni mwanajeshu ghafla anateuliwa ukuu wa mkoa anaingia vikao vya CCM!! Mtu jaji mkuu ghafla anagombea Uspika unajiuliza kadi alipewa lini??Mkuu
Sio lazima move za the state zipate Baraka kwa CCM, WAKATI mwingine the state inakinzana na chama kutokana na aliyeshika HATAMU ana MASLAHI Gani na hoja inayoletwa na the state!
Mfano,hoja ya katiba Mpya ni ya the state ccm hawaitaki coz itaondoa power ya kulamba asali kwa NAMBA MOJA, Hivyo anaetumiwa na state lazima
alipe gharama ya utumishi huo,JAPO atalindwa na Hao waliomtuma!!
Ccm na The state sio wamoja bali ccm imeaminiwa na DOLA kushika hatamu!!!
Hoja ya Mbowe na ugaidiugaidi ilianzishwa na ccm Ili kumdhibiti,sio DOLA!
HIVYO tu
Asante sana unaendelea kulitendea haki swali langu.Sio lazima kila mwana wa nyoka ni nyoka, kuna mambo ya genetics na mutations, sio kila mwana wa nyoka ni nyoka, sometimes nyoka ana mutatate kwa kufanya mutations na kuangua mjusi, ila mjusi huyo anakuwa na straits za unyoka. Moja ya sifa kubwa za nyoka ni uwezo wa kupenya popote!, hivyo mjusi mwenye straits za nyoka ni mzuri kwa kupenya, laiti wale manyoka, wangemsikiliza yule mjusi, labda wangeweza hata kumuokoa yule Baba yao ile siku walipoelezwa haya na haya na haya, kiukweli yale manyoka ni manyoka majinga ajabu, yameelezwa jambo la maana sana na mjusi wakalipuuzia, matokeo yake naamini unayajua!.
Sasa tuko kwenye safari kuelekea 2025, manyoka wanaongoza kikundi cha nyimbo, kwaya, bendi na sasa kazi ni moja tuu, ni mwendo wa kusifu, na mapambio kuwa 2025 ni Mama! Mama! Mama!, mjusi kama kawaida yake ametoa angalizo la 2025, sasa anasubiria muda ufike kama watampuuza tena kwa vile ni mjusi!.
Inaendelea...
P
Sasa ulitaka awe anaisifia ccm?Mlimuita gaidi mara sahivi mtu wa state.
Kipindi anamkosoa JPM mkamuita mtetezi wa mafisadi.
Alipopinga approach ya JPM kwenye COVID 19 mkamuita anatumika na mabeberu.
Mbona hamueleweki, akianza mikutano ya hadhara na kuikaanga CCM msirudi hapa kulialia kuwa ni gaidi.
Ndio nakuuliza si ulikua unashabikia ni gaidi? Leo hii ndio unamtambua ni mtu wa Dola kisa tu amekubali maridhiano? Ila kipindi anapinga chanjo oooh mkasema anatumika na mabeberu?Sasa ulitaka awe anaisifia ccm?
Kumbe hamjui mambo mengi sana
Umeshindwa kunielewa we jamaa!!Acheni kukuza mambo DOLA ipo chini ya Rais so usitake kutenganisha na hizo conspiracy zenu. In fact Ili uwepo kwenye Dola basi lazima uwe aligned na chama tawala no wonder mtu ni mwanajeshu ghafla anateuliwa ukuu wa mkoa anaingia vikao vya CCM!! Mtu jaji mkuu ghafla anagombea Uspika unajiuliza kadi alipewa lini??
Mbowe sio part ya state ingekua hivyo angekua kama Mbatia au Seif waliojisalimisha kabla ya uchaguzi. Mfano kama state inamtumia Mbowe kudai katiba obviously na huko CCM watu wote wanaotumika na state wangeanzisha vuguvugu so inakua rahisi kufanikiwa.
Unless uniambie hiyo state nao vilaza tu yaani wategemee katiba ipatikane kupitia Mbowe pekee? Sasa huko bungeni Pamejaa maCCM wataipitishaje?
So logic haikubali kabisa, Mbowe ni opposition maana alipoingia Chadema ilikua zero kabisa ila kaipaisha so hata hao TISS hakuna aliyewahi Dhani Chadema ingefika hapa ilipo Cha kushangaza wamefika hapa ndio mnataka mchukue credit kuwa Mbowe ni mtu wenu?
Acheni utani
Kuna type fulani ya mijitu very bold, they call a spade a spade, kwa kuwa mkweli kihivyo srometimes it costs, ila wakweli hao, they don't mind paying the price, as long as unachokisema ni kitu cha kweli.Maneno haya yataendelea kukugharimu kwenye jitihada zako za kusaka uwakilishi kupitia Ccm...
Kwani miungo kama hii unalipwa?Wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, Mchana Mbowe yuko na Lowasa, Usiku yuko na akina Mwigulu Nchemba.
Mbowe ni mtu wa mfumo!
Hapo kwenye kumtoa Mbowe hebu agalia vizuri labda sivyo ulivyokusudia kuandika. Huyo hamuwezi kumtoa labda atoke mwenyeweUmeambiwa ili upewe uDC ni uhakikishe unamchafua Mbowe na Lissu kwa kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa hao ni virus?
CHADEMA huwa haingalii sura, Mbowe akiwa kirusi au Lissu wataondoka asubuhi na mapema.
Lakini kwa sasa hao ni viongozi wa CHADEMA na tunatuata dira wanayoitoa, mengine mtajuana huko CCM.
Mbona enzi zile cuf walikuwa wanaandamana.wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wenzio huko ccm unafikir mbowe anamuda wa kuhangaika na mapumbavu yanayolalamika mitandaoni yakiambiwa yaandamane yananyea ndoo tena mbowe shikilia hapohapo mpaka wapumbavu wapate akili.
Usijibu jibu watu hovyo mtandaoni.Hapo kwenye kumtoa Mbowe hebu agalia vizuri labda sivyo ulivyokusudia kuandika. Huyo hamuwezi kumtoa labda atoke mwenyewe
Nakuuliza ulitaka awe anaisifia ccm ndio ujue kama ni mtu wa system?Ndio nakuuliza si ulikua unashabikia ni gaidi? Leo hii ndio unamtambua ni mtu wa Dola kisa tu amekubali maridhiano? Ila kipindi anapinga chanjo oooh mkasema anatumika na mabeberu?
Sasa which is which? Kwa akili hizi ndio maana mwenyekiti wenu anawazidishia tozo na mgao!! Maana kaona wote mbumbumbu tu