Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe amesema kwamba: "Nikiona chama changu kinazama, nitaingia mzigoni".CHADEMA kilikuwepo na itaendelea kuwepo bila yeye, tunachotaka ni Chama Imara ambacho hata Kiongozi akifa hakitetereki.
Kwa hiyo huyu Mzee Mbowe ataishi milele na milele?IPO HIVI. TUNACHOOGOPA NI MWENYEKITI MTEULE KUAMUA KUUNGA JUHUDI KAMA MSIGWA.
MBOYE PAMOJA NA MAPUNGUFU YOTE NA KUFUNGWA JELA HAJAWAHI KUSALITI CDM KWA MIAKA 30
ni wapuuzi, wanadhani wananchi hawajui double standard zaoHili ndio tatizo la upinzani nchi hii , kuna watu wapuuzi ni undercover humo , wanatumika kuharibu juhudi za mageuzi ya kisiasa nchi hii
Hapana tupo wachagga tunaojielewa ila sio wamachema hovyo kabisaMbowe amesema kwamba: "Nikiona chama changu kinazama, nitaingia mzigoni".
Tafsiri yake: Bila yeye (Mbowe) hakuna Chadema imara. Hicho Ni chama cha Mbowe; kwa hiyo, si chama kama taasisi Bali ni chama cha kutegemea nguvu ya mtu. Hii Ni hatari Sana.
Tanbihi: mpaka hapo siwapingi wanaosema Chadema Ni Saccoss ya mtu, wengine wanasema Ni Saccoss ya wachaga.
Ulimaanisha Wamachame. alright!Hapana tupo wachagga tunaojielewa ila sio wamachema hovyo kabisa
ametoa kauli mbaya sana hivi ingetokea mwana ccm mstaafu atamke kuwa akiona chama chake kinazama ataingia mzigoni ataeleweka vipi? Huo ni uhaini
Mboye aache utani , eti chama changu . Kumbe CHADEMA ni mali yake? Vijana wengi wameumizwa kwa kipigo kupitia mali ya mtu binafsi? Niliwaamini sana chadema kumbe nilikuwa sijui kilichoko nyuma ya paziaMwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Umeshaambiwa chama chake unauliza nini tena?Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Kwa hiyo ndi wanamwambia Mzee Mbowe asiondoke madarakani?ni wapuuzi, wanadhani wananchi hawajui double standard zao
Kwa hiyo kwa miaka yake 63 Mbowe bado ni kijana ,basi yule mwanae anaitwa Dude ni chekechea ehe?Mbowe ni Mzee?
NdioUlimaanisha Wamachame. alright!
Mshenzi sana huyu mchagakatoa kauli iliyojaa kiburi kuwa chadema ni mali yake, cha ajabu nyumbu watampa kura ili waendelee kulambalamba sahani
Na jina libadikishwe, kiitwe chama cha Mbowe na familia yakena aongoze mpaka afie madarakani
Itafika mahala sisi wananchi tujipiganie bila kutegemea Wanasiasa!inasikitisha kwa kweli. Act wazalendo wajiandae kupata wabunge wawili watatu pahala pa chadema, chadema ndio basi tena kama mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti
Sasa hivi watakaobaki na CHADEMA ni wale ambao wana Maslahi nayo, Sikiliza Speech ya Boniphace Jacob mbele ya Mbowe, Hapo ndipo utaona sura halisi ya CHADEMA, Kisha mtazame tena Kigaila!ametoa kauli mbaya sana hivi ingetokea mwana ccm mstaafu atamke kuwa akiona chama chake kinazama ataingia mzigoni ataeleweka vipi? Huo ni uhaini
Kwa mawazo haya, Kenneth Kaunda, (Zambia ) Jomo Kenyatta (Kenya) Julius Nyerere (Tanzania), nk,, wangesema sisi ndio waasisi tumeleta uhuru hatutaki mwingine atuharibie nchi. Walikaa kando na nchi zao zinasonga. Pia anaharibu kusema chama chake kwani anatembeza nacho mfukoni kama leso au pochi ? Chama kinatakiwa kuwa cha wanachama.Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha