johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Ulitaka akimbilie Kwa Mumeo Masanja Mkandamizaji? ππNiko ndani kabisa yeye si anadai Mbowe wa jela nk tofauti na aliyetoka?
Mbona yeye alikimbilia Kwa mume wake Amsterdam alipotaka Kukamatwa aende jela na Shujaa wako uchwara? Kwa nini asingewnda Ili atoke jela alikuwa Lisu yule yule badala yake kageuka kuwa kibaraka?
ππ Imekolea Sasa ππππUlitaka akimbilie Kwa Mumeo Masanja Mkandamizaji? ππ
Halafu umkill kama katibu ππππππ Imekolea Sasa ππππ
Waslamu bwana. Mbowe ni Mlutheri, then labda kulikuwa na baba askofu wa Catholic ambao ndio real engine behind the running of this country na labda na yule Mwamakula wa "sisi askofu".Kwanini maaskofu wawe watatu na Mufti awe peke yake ?
πππ Mashujaa wako ππHalafu umkill kama katibu ππππ
Chidodo ππkwa mazingira ya maisha ya gerezani hata ingekuwa mimi ningekubsli jamaniiii .
Naona mmepewa Sadaka 20m ππππππ Mashujaa wako ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DEpBn_kt2AO/?igsh=MXZ4ZmdlOHlwMjh2aQ==π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ulishawahi kukaa jela?wali-bargain ningekuwa Mimi mbowe ningejibu afute ila kuonana nae mpaka nikakae kwanza na kamati kuu
Kibaraka mwingine kutoka Kanisa Takatifu la mitume Yuko ndani ππNaona mmepewa Sadaka 20m πππ
.....Alitakiwa kukataa.....Maana Rais alimwita GAIDI mbele za Watu.....Sisi tuliokuwa tunalia naye Tulitakiwa kuona KESI inaishajeMwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Mbowe ndo alikuwa jela au kamati kuu?? Nanani alikuwa anaonja machungu ya jela mbowe au kamati kuu?wali-bargain ningekuwa Mimi mbowe ningejibu afute ila kuonana nae mpaka nikakae kwanza na kamati kuu
Maana yakeKwanini maaskofu wawe watatu na Mufti awe peke yake ?
Kule mama wachungaji hawauwi ππKibaraka mwingine kutoka Kanisa Takatifu la mitume Yuko ndani ππ
Yuko kunywa debe mengine sijui,Bado Kitima.Kule mama wachungaji hawauwi ππ
Angekataa angefungwa, Mahakama ilishamkuta na KESI ndio sababu Viongozi wa Dini wakaenda kutubu ikulu Kwa niaba yake πΌ.....Alitakiwa kukataa.....Maana Rais alimwita GAIDI mbele za Watu.....Sisi tuliokuwa tunalia naye Tulitakiwa kuona KESI inaishaje
Hao ndio wenye watu
Wakristo wana madhehebu matatu yenye mamilioni ya waumini na wapiga kura
Madhehebu hayo ni katoliki ,protestant na walokole
Waislamu dhebu kubwa lenye mamilioni ya waumini ni Bakwata tu iliyo chini ya Mufti hao wengine wachache sana wakiwemi hai Answar suna ni wachache mno
Uongozi hasa ni majority ndio huweka serikali madarakani sio minority
Bakwata ni majority kwenye dini ya uislamu Tanzania hao wengine akina Answar Sunna wanajiita Baraza kuu hamna kitu na kiofisi chao uchwara pale magomeni ugaidi tu
Vile Wewe mama ila Wanaume hawaogopi kunyea debe πYuko kunywa debe mengine sijui,Bado Kitima.