Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Duh,Mbowe ndiyo anajimaliza hivi kama sadaka ya kujimaliza ya Mwamposa.Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?”
View attachment 3194370
Mnazidi kujivua nguo kumbe yanayosemwa huenda ni kweli mna roho za kiuaji,mlimsingizia sana Magufuli kumbe mlikuwa mnamalizana wenyewe.Alitakiwa amwache atangulie haya yote yasingetokea.
Ikiwa LISSU anaweza kuwatendea watu waliookoa maisha yake vipi sisi asiotufahamu ?.
DuuLissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?”
View attachment 3194370
Mbiwe ndio nani plzzzMbiwe ni pandikizi la CCM ndani ya Chadema
Tutagawana FITONi wakati wa TALView attachment 3194503
Wala punda wanafanana na punda,shukrani Yao ni mateke kakaLissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?”
View attachment 3194370
Nionavyo if this time bado FAM atapita tena basi nafasi hiyo hakuna ataegomvea mbeleni ataishi nayo hadi nature ifanye kazi...au atamrithisha mtu badae huko..maana kushindana na FAM nadhani ni kama CDM kuiondoa CCM madarakaniNa hapa ndipo shida ilipo.
Jamaa agombea tu lakini watu wanang'aka, wana maana Mwenyekiti adumu milele na yeyote atajayegombea anahujumu chama.
Chama cha ovyo sana hiki.
aliyetoa hela ya kukodi ndege alikuwa ni mbunge wa CCM kutoka Zanzibar.Mbowe asione kuwa yeye tu ndio aliyemuokoa LissuAlitakiwa amwache atangulie haya yote yasingetokea.
Ikiwa LISSU anaweza kuwatendea watu waliookoa maisha yake vipi sisi asiotufahamu ?.