Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Aongee nini wakati mama kaenda kule lupango kabla na kumwambia.. 'wewe mangi nimeambiwa unafungwa. Ushahidi upande wa mashitaka wameshaona una hatia makosa manne kati ya matano. Wanasheria wananambia hata ukijitetea vipi huwezi chomoa makosa yote.

Kwa hivyo kama unakubali kufunga domo lako na kujidai wewe ndio unajua haki ni nini kuliko watu wote nchini, kama mkuu wa nchi na serikali nitamuomba dpp akufutie mashitaka. Lakini ujue ukileta ujuaji tunarejesha kesi iendelee ilikoishia. Kama unakubali nijibu hapahapa.

Sijakuja kwa mkutano au mapatano yoyote'. Mbowe akajibu haraka .. 'naam mama nakubali naona maji kina kimezidi nazama niokoe' mama akaondoka.
utazani ulikuwepo meza moja na mama na MWAMBA MBOWE
 
Inabidi aanze kuongea na aliyemtoa rumande,Hao Wa Tanzania wasubiri kwanza
 
[emoji867]
Ushamba mzigo sana na kwa sasa nafurahi sana kwani sukuma gang tumewapiga za shingo.

Sasa hivi mnashinda mnadanga tu mitaani,enzi zenu za kushinda kwenye korido za ofisi za serikale zimekwisha dadeeki na hapo bado.
 
nafikiri hukumuelewa
kuna watu walitaka aongee siku hiyo hiyo lakini akasema kwa kipindi hiki tumuache akutane na familia yake then baada ya hapo atakutana na viongozi wenzake wa chama wapange siku ya yeye kuongea na taifa
 
Mzee wako Nyerere hakutaka vyama vingi. Yeye alipiga marufuku vyama vingi muda mchache tu baada ya kuingia madarakani.

Aliyerudisha vyama vingi ni Mzee Ruksa, Rais Ali Hassan Mwinyi. Kumbuka hilo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Malizia kabisa Rais Ali Hassan Mwinyi muislamu! Maana ndiko unakoelekea.
Kwa taarifa yako Mwinyi na wahafidhina wenzake wa ccm hawakutaka vyama vingi lakini kwa vile Nyerere alikuwa na nguvu sana na alitaka viwepo basi vikawepo.
Yale ya 60's ni historia tuu
 
Ushamba mzigo sana na kwa sasa nafurahi sana kwani sukuma gang tumewapiga za shingo.

Sasa hivi mnashinda mnadanga tu mitaani,enzi zenu za kushinda kwenye korido za ofisi za serikale zimekwisha dadeeki na hapo bado.
🖕🖕
 
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!

My opinion

Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?

Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!

Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Una haraka kama cha kwanza!!! Mwamba kaahidi kuzungumza subiri wakati muafaka ufike ndugu.
 
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!

My opinion

Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?

Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!

Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Mbowe ni kiongozi mwenye kujawa na hekima na weledi wa hali ya juu, ni mtu mstaarabu, mvumilivu, na mwenye subira.

Nadiriki kusema kuwa ktk chama changu pendwa cha CCM HAYUPO mwenye kuwa na sifa za Mbowe. Hakuna, narudi kusema hakuna.

Lissu ni mwanasiasa mzuri na mwenye uelewa mkubwa wa mambo, zaidi ana kipaji (highly gifted), ila bado anapwaya kukabithiwa nchi kwa sababu kama hana mtu wa kumzuia anaweza kuwa dictator mwenye kuumiza watu kwa kutumia sheria. Anafaa sana kuwa kiungo mchezeshaji.

Napigilia msumari, mwaacheni mbowe anyamaze. Kuna wakati wa kunyamaza na wa kusema. Tambueni wakati.
 
Zipo video clips kwa hayo uyatakayo, uwe unapitia na YouTube, au vifurushi vya data za video vinakupiga chenga?

Kishasema kaenda kumshukuru Rais. Unataka nini zaidi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]kwani Samia ndio kamtoa mpaka amshukuru?
 
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!

My opinion

Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?

Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!

Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Akinyamaza mnamchochea aongee,
Akiongea halafu akikamatwa mnasema anatafuta umaarufu.

Kibaya zaidi akikamatwa hata mkiambiwa mchange hela za kulipa mawakili mnasema kajikamatisha wafanye mradi wa kukusanya hela zenu
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Back
Top Bottom