Hata Kilimanjaro ilikuwa sehemu ya Zanzibar.Nchi yao Kilimanjaro wataipata tu. Hakuna hali ya kudumu duniani.
Zamani Tanganyika yote hadi East ya Congo DRC ilikuwa mali ya Zanzibar. Leo Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika na inalia kutawaliwa/kunyonywa na Tanganyika
majambazi walitaka nini??hela za chama au??? na km ni hela!!!.... je Lissu alikuwa mtunza hazina wa chama??..au alikuwa na kapu la mshahara???...na kesi yake iliendaje...baada ya polisi kufuatilia???.......km walishindwa kwa mutu kubwa ivo, mbunge na Rais nusu.....je sisi walal hoi tutakuwa salama??
ina maana jeshi la polisi ni bogus makamanda wote wapigwe chini sasa hivi navoongea maana hatuko salama ki viile km al shababa wameingia mpaka kwenye makaazi ya wabunge! je nyie walal hoi?? Rais na team yake yuko salama??
Mkinichagua mie Urais haya yooote nitaweka wazi!! kuanzia mipango ilivo sukwa nani ni nani na kwa nini........nitaweka wazi zaidi mnipe kura zenu mie smaki naanz akampeni rasmi make shapa chikwa jina huku
Kwa hiyo unakubali hamna hali ya kudumu siyo?Hata Kilimanjaro ilikuwa sehemu ya Zanzibar.
Unaonekana Utakuwa na umri Mkubwa Sana, lakini akili za ndezi.Unafikiri katiba mpya ndio itawapa nchi Wachagga?
Kuna nchi hazina kabisa katiba na zipo vizuri sana kuliko sisi kwenye kila nyanja. DSiuoni umuhimu wa katiba kabisa. Ikiwepo ipo, ikiwa hakuna, hakuna.Unaonekana Utakuwa na umri Mkubwa Sana, lakini akili za ndezi.
Wewe hujui umuhimu wa katiba Mpya kwa Taifa hili?
Ataongea rasmi kama kiongozi baada ya muda fulani, kama una mazungumzo binafsi na yeye nenda nyumbani kwake au ofisini. Kwa sasa endelea kuongea na mbunge na diwani wako waliopatikana kwa uchaguzi wa kihayawani.
Brother inaonekana hujawahi kukaa jela ndiyo maana unaongea tu kisa una mdomo wa kufanya hivyo.Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!
My opinion
Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?
Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!
Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Mkuu hakuna mwana cdm anaweza kubwabwaja huo upuuzi.Nakumbuka Lissu alitoa taarifa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii baada ya kutoka kuongea na Samia, wengine mkaanza kudai Lissu amekosa hekima hakutakiwa kuongea yote aliyozungumza na Samia.
Juzi Mbowe katoka kuongea na Samia, baada ya hapo hajasema chochote mpaka atakapokaa na viongozi wenzake ndio waje na msimamo mmoja, hili nalo nashangaa wengine hamjaridhika, wakati simply anaonesha sifa ya kiuongozi - collective responsibility.
Kutokana na hizo scenario mbili tofauti hapo juu zinaonesha vile baadhi yenu msivyoridhishwa na chochote, hata mfanyiwe nini bado mtalalamika tu, na hapo ndipo napata picha vile viongozi wa CDM wanavyowaongoza wanachama vichwa ngumu na watanzania kwa ujumla.
Hao ndiyo sukuma gang tunaowasemaga kuwa ni adui nambari moja wa umoja wetuNinyi watu mna shida kubwa sana. Mdomo ni wa kwake, lakini mnalazimisha uwe wa kwenu!
Nina stick hapo kwa wanachama wa Chadema vichwa ngumu sababu kuna mifano mingi wanayoonesha walivyo wagumu, wapo wanaopinga hata Mbowe kwenda ikulu juzi, walitaka asuse, hawa kwangu ni vichwa ngumu tu, hakuna politics bila mazungumzo.
Kuhusu idea ya Lissu kuongea na watz baada ya kuonana na Samia, na Mbowe kugoma kuongea mpaka wakae chamani kwao, kwangu naona hata Mbowe angeweza kufanya alichofanya Lissu tofauti na unavyofikiria.
Zaidi naona matukio ya Mbowe na Lissu kukutana na Samia yanafanana, labda ajenda moja tu ya Mbowe kuachiwa huru ndio inabadilika, nyingine zote zinabaki pale pale.
Mbowe angemaliza kuongea na Samia angeweza atoke pale aje aseme nimemwambia tunataka Katiba Mpya, Tume Huru, na mikutano ya siasa, lakini hakufanya hivyo, hii kwangu ni move tofauti kwenye same scenario kama ya Lissu.
Ila kama kuna motive behind iliyomfanya Lissu aongee vile na Samia aka react kwa kumuachia Mbowe na akawaudhi wahafidhina ndani ya chama chao hiyo siijui.
Brother inaonekana hujawahi kukaa jela ndiyo maana unaongea tu kisa una mdomo wa kufanya hivyo.
Tatizo bado hujaelewa nini nimemaanisha hapo.[emoji44][emoji44][emoji44].
Kwa hyo mtesi wetu amefanikiwa?
ila tangu mwanzo niliwaambia mapema HAKUNA FREE YA BURE.
sijui Kama mlinielewa?
Kuna nchi hazina kabisa katiba na zipo vizuri sana kuliko sisi kwenye kila nyanja. DSiuoni umuhimu wa katiba kabisa. Ikiwepo ipo, ikiwa hakuna, hakuna.
Tatizo bado hujaelewa nini nimemaanisha hapo.
Bado hujaelewa tu.Wao wana tumia akili na sisi hivyo tunatumia akili.Alaah kumbe.
Sasa mtapunguza matusi humu.
Maana nilikuwa nawaambia ukweli lakini mkaniona MJINGA.
huu mchezo wenzenu wamecheza kiakili sana.
Ila mbaya zaidi uwa hamtaki kueleweshwa
Bado hujaelewa tu.Wao wana tumia akili na sisi hivyo tunatumia akili.