maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,073
Gaidi anaalikwa IkuluHuyu alikamatwa kwa makosa ya ugaidi na Sasa amesamehewa na kuambiwa asirudie wewe katiba mpya umeitoa wapi
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaidi anaalikwa IkuluHuyu alikamatwa kwa makosa ya ugaidi na Sasa amesamehewa na kuambiwa asirudie wewe katiba mpya umeitoa wapi
USSR
Amezeeka hajaolewaWe mwanamke umeshachoka akili, pisha vijana.
Vipi mbona alipata UbungeKama Mungu hataki hamtokikalia kiti cha Urais. Kumbuka hilo.
Mtu mwenye vilabu vya usiku wanaokwenda malaya na mashoga kujiuza leo apewe nchi?
Mnafanya utani na Mungu?
Una matatizo we mpuuzi? Trump aligeuza Usa danguro?Unataka nchi igeuzwe danguro la kujiuza malaya na mashoga?
mbuzi wa kafara!! hilo bakuli ndo starehe ya babayo analia kabisaaaaaa babburicheka weeee!! hujijui!!Wewe malaya wa mtaa gani? Bakuli kubwaa!!
Trump anamiliki danguro la kujiuza malaya na mashoga?Una matatizo we mpuuzi? Trump aligeuza Usa danguro?
Unaishi dunia gani?Trump anamiliki danguro la kujiuza malaya na mashoga?
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!
My opinion
Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?
Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!
Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Hapa nahisi tumepigwaIsije kuwa kanyamazishwa huyo…
Mm nilikuwa nakuheshimu sana faizafoxy ila kwa hapa umenishangaza..kwamba hilo danguro unaongelea lipi? Au unarefer club bilicanas....hebu muogope Mungu kidg...licha ya tofauti za kiitikadi ni vyema kusimamia fact...wale waliokuwa wanaimba mbowe gaidi wako wapi sasa?? Mbona wanaona aibu...sio lazima kuandika ili mradi uandike tuUnataka nchi igeuzwe danguro la kujiuza malaya na mashoga?
Huyu dada amefikia menopause. Muonee hurumaMm nilikuwa nakuheshimu sana faizafoxy ila kwa hapa umenishangaza..kwamba hilo danguro unaongelea lipi? Au unarefer club bilicanas....hebu muogope Mungu kidg...licha ya tofauti za kiitikadi ni vyema kusimamia fact...wale waliokuwa wanaimba mbowe gaidi wako wapi sasa?? Mbona wanaona aibu...sio lazima kuandika ili mradi uandike tu
majambazi walitaka nini??hela za chama au??? na km ni hela!!!.... je Lissu alikuwa mtunza hazina wa chama??..au alikuwa na kapu la mshahara???...na kesi yake iliendaje...baada ya polisi kufuatilia???.......km walishindwa kwa mutu kubwa ivo, mbunge na Rais nusu.....je sisi walal hoi tutakuwa salama??Lissu alipigwa risasi hakukamatwa wala hakutekwa
The difference is clear
Nina stick hapo kwa wanachama wa Chadema vichwa ngumu sababu kuna mifano mingi wanayoonesha walivyo wagumu, wapo wanaopinga hata Mbowe kwenda ikulu juzi, walitaka asuse, hawa kwangu ni vichwa ngumu tu, hakuna politics bila mazungumzo.Ndugu denooJ wanachama vichwa ngumu wa CHADEMA ni wepi kwani...?
Je, unamaanisha huyu mleta mada Leak.....?
Umekosea sana kumpa hadhi ya "mwanachama mwenye kichwa kigumu" kwa sababu huyu siye mwana - CHADEMA....
Huyu ni wa kule kwenye majani ya migomba. Huko hawana HEKIMA wala BUSARA kwa kila jambo...
Amechukia kupigwa chenga ya namna hii na Mwenyekiti. Kwa sababu we all know kwamba mwenyekiti ni gentleman. Haiwezi kufanya mambo kwa tune ya maCCM...
By the way, scenario ya Tundu Lissu kusema mara moja au muda mchache baada ya kuwa amekutana na kuzungumza na Rais iko far different na scenario ya Mwenyekiti Freeman Mbowe....
Kwa scenario ya Tundu Lissu kutoa staement immediately baada ya mazungumzo yake na Rais kule Brussels Ubelgiji, tactically and politically ilikuwa timing moja bab kubwa sana....
Na kwa taarifa tu na hususani wasiojua na wasio na pua za masafa marefu ya kunusa, ni kuwa mazungumzo yale ndiyo yaliyofungua macho na ufahamu wa Rais Samia juu ya kesi ya Freeman Mbowe na kuuona ukweli ambao alifichwa kuuona muda wote kiasi cha yeye wakati mwingine kujikuta anasema uongo kwa sbb mara zote amekuwa akidanganywa na wasaidizi wake....
Kitendo cha TL chapchap kuutangazia ulimwengu walichoongea na Rais, kiliwaudhi sana wahafidhina wa ndani ya CCM na serikalini and from there, they knew exactly what is coming next..
Ndugu Leak tuliza makalio. Politic is a game of number. Calculation za CHADEMA ziko perfect kabisa....
Kumhusu Rais na serikali, ile saa moja ya mazungumzo kule Ubelgiji kati ya Rais Samia vs Tundu Lissu [M/M/Kiti - CHADEMA] ilibadilisha kila kitu hususani mtazamo na ufahamu wa mambo na siasa za Tanzania kwa Rais Samia na matokeo yake ni haya and a lot more is coming....
Freeman Mbowe ataongea tu kwa wakati mwafaka....
The main topic now ni katiba mpya ambayo itapatikana.Cheki hii mb*zi haijui hata ikae wapi,
👇🏿👇🏿👇🏿Mabadiliko ya Kurugenzi CHADEMA Makao Makuu hayatakuwa na tija bila kumng'oa Mbowe
Mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yote.Mungu ajuaye sirini anajua ukweli wake na ukweli wa machozi haya..kama ni ya haki na uonevu awape rehema zake wote waliomfanyia hatia hii baba huyu ....na kama alistahili alichopitia basi Mungu ampe rehema zake.Huu ndio ukweli na kila mtanzania anajua sasa. Katiba mpya lazima ipatikaneView attachment 2141295
Anaabudu wanadamu yaani huyu akija jimboni kwetu ni kumpiga chini tu anapenda ukuuu sana kenge kabisa! na wote waliompa kura nawapeleka motoni!! usiseme nimehukumu bali nimeumbwa kwa mfano wake kwa hiyo nina haki ya kutoa hukumu ya haki!Akishaongea baadae njoo ukejeli tena hapa.
Kwani huyo unaemwita mama ninani si ni maji tu ya manii kama wewe.
Kama mnapenda kutukuza tukuzani nyinyi kama huyu.View attachment 2141286
Nchi yao Kilimanjaro wataipata tu. Hakuna hali ya kudumu duniani.Unafikiri katiba mpya ndio itawapa nchi Wachagga?
Freeman Mbowe siyo kama Tundu LisuIsije kuwa kanyamazishwa huyo…