macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kuna siku utakuja kupata hasara kubwa na pengine ufe kifo kibaya kabisa kinachotokana na huu huu ujinga unaofanywa na diktekta, muuaji uchwara na utakuwa umechelewa.Punguani. Yani ufe kwa sababu ya chama cha mwanaume mwenzio mjasiriamali. Manyumbu kazi mnayo.
Najua kama alivyo huyo dikteta ubongo wako ni finyu na hauna msaada zaidi ya kushibisha tumbo lako lakini hata kama haitatokea kwenye kizazi chako cha sasa basi kuna wanaokufuatia.
Mwalimu Nyerere (rip) angekuwa mpumbavu kama wewe au huyo diktekta uchwara wala wewe usingekuwepo hapa leo kuharisha uharo unaohara!