Jah Sokolo
Senior Member
- Feb 14, 2017
- 112
- 115
Wewe Ni BONGE LA msengerema!!!!huyo mbowe ni punguani tu, anasema watu wanakufa mbona mwanae kapona au yeye alitibiwa america
Uzuri kuhusu wMimi sio CCM lakini kwa maono yangu huyu Mbowe naona kama anawapoteza watu jamani.
Yaani Kiongozi mkuu wa Nchi, Rais aliyeaminiwa na kupewa mamalaka na wananchi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazungumza tena kwa kutumia fact bila kupepesa macho akijaribu kuelezea hali halisi ilivyo katika kujaribu kuwatuliza wananchi na kuleta matumaini.
Mbowe anajitokeza kudai kwamba nchi inaenda kuangamia kwa sababu ya Corona huku kiking'ang'ania Lockdown kwa sababu chenyewe kina uhakika wa kula na kwenda chooni.
Kwani hujatosheka ulivyokaa karantini?
Nchi hii ina wanasiasa Uchwara wenye njaa tu ya madaraka wanaopigia debe matumbo yao kwa kivuli cha kujifanya wanapigania haki za wananchi, hao wananchi unaowapigania hujui maisha yao? unavyong'ang'ania Lockdown lengo lako ni nn? Tufe na njaa ama?... Kuna wanasiasa visambugile kweli [emoji16].
Yawezekana wewe ni kisambugile kuliko. Lockdown sio lazima iwe complete lockdown, kuna mambo yasiyo muhimu ya kulock kama vile ma-baa na vilabu vya pombe. Inashangaza watu bado wapo kwenye mataputapu mpaka sasa hatuwezi kuwa serious na corona namna hii. Namibia walifunga pombe zote hadi kwenye hotel miezi zaidi ya miwili sasa, waliishia kwenye kesi 16 tu na leo wamebaki wagonjwa 3 tu kuachana na corona. Na bado pombe na mikusanyiko ya dini imefungiwa, watu wapo serious and scientific.Mimi sio CCM lakini kwa maono yangu huyu Mbowe naona kama anawapoteza watu jamani.
Yaani Kiongozi mkuu wa Nchi, Rais aliyeaminiwa na kupewa mamalaka na wananchi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazungumza tena kwa kutumia fact bila kupepesa macho akijaribu kuelezea hali halisi ilivyo katika kujaribu kuwatuliza wananchi na kuleta matumaini.
Mbowe anajitokeza kudai kwamba nchi inaenda kuangamia kwa sababu ya Corona huku kiking'ang'ania Lockdown kwa sababu chenyewe kina uhakika wa kula na kwenda chooni.
Kwani hujatosheka ulivyokaa karantini?
Nchi hii ina wanasiasa Uchwara wenye njaa tu ya madaraka wanaopigia debe matumbo yao kwa kivuli cha kujifanya wanapigania haki za wananchi, hao wananchi unaowapigania hujui maisha yao? unavyong'ang'ania Lockdown lengo lako ni nn? Tufe na njaa ama?... Kuna wanasiasa visambugile kweli 😁.
Kwa wasiomjua huyu jamaa alikua ccm kindakindaki Bia yetu atasubiriNimejaribu kujizuia nimeshindwa.
Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.
nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.
tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?
Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?
na wakaanza kupima tena lini?
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
salaam.
Naunga mkono hojaNimejaribu kujizuia nimeshindwa.
Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.
nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.
tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?
Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?
na wakaanza kupima tena lini?
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
salaam.
Aiseee!!!!Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.
Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.
nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.
tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?
Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?
na wakaanza kupima tena lini?
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
salaam.
Corona imemuhamisha chama au?Kwa wasiomjua huyu jamaa alikua ccm kindakindaki Bia yetu atasubiri
Wameshakufa woteTupeni taarifa bado watu wanazikwa usiku na kufa mabarabarani?
Yawezekana wewe ni kisambugile kuliko. Lockdown sio lazima iwe complete lockdown, kuna mambo yasiyo muhimu ya kulock kama vile ma-baa na vilabu vya pombe. Inashangaza watu bado wapo kwenye mataputapu mpaka sasa hatuwezi kuwa serious na corona namna hii. Namibia walifunga pombe zote hadi kwenye hotel miezi zaidi ya miwili sasa, waliishia kwenye kesi 16 tu na leo wamebaki wagonjwa 3 tu kuachana na corona. Na bado pombe na mikusanyiko ya dini imefungiwa, watu wapo serious and scientific.
Rais kwenye hotuba yake amesema waziri wa afya atatoa taarifa ya kamati aliyounda. Hoja zako zitajibiwa au la kama yafuatayo hayatakuwa kwenye taarifa hiyo:Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.
Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.
nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.
tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?
Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?
na wakaanza kupima tena lini?
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
salaam.
Duh!!!Mkuu ni mpumbavu peeke anaweza kukupinga! Upimaji unaofanyika mipakani na nchi jirani ni kiashiria kikubwa kuwa koona imeshika kasi. Imagine kila siku madereva kutoka tz wakipima wanakutwa na koona je huko wanakotoka hao madereva hali ikoje???
Mbowe mbona hatupi takwimu za Corona za ukoo wake wa Mbowe za idadi ya waliopimwa,waliougua,waliopona, waliofariki na rate ya maambukizi imepungua au imeongezeka kwa kiasi gani ? Hizo hazihitaji serikali ni yeye tu kuzitoa
We unadhani Serikali ni kama mji wako nyumbani ambao hata majirani wanaweza kujua unakula nini leo?Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.
Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.
nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.
tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?
Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?
na wakaanza kupima tena lini?
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
salaam.
Hata ukipima kama hauna dawa ya kutibu wanaopatikana positive then what?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upamoja upi unaouandika, unaweza kuufafanua hapa sote tuuelewe?Kwa hilo la Covid 19 mheshimiwa Mbowe angekubali tu matokeo kwamba kazidiwa.Upamoja wa wananchi na raisi Magufuli katika hili ni ushahidi tosha kwamba Raia wapo pamoja na raisi wao.