Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Mimi sio CCM lakini kwa maono yangu huyu Mbowe naona kama anawapoteza watu jamani.
Yaani Kiongozi mkuu wa Nchi, Rais aliyeaminiwa na kupewa mamalaka na wananchi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazungumza tena kwa kutumia fact bila kupepesa macho akijaribu kuelezea hali halisi ilivyo katika kujaribu kuwatuliza wananchi na kuleta matumaini.

Mbowe anajitokeza kudai kwamba nchi inaenda kuangamia kwa sababu ya Corona huku kiking'ang'ania Lockdown kwa sababu chenyewe kina uhakika wa kula na kwenda chooni.
Kwani hujatosheka ulivyokaa karantini?

Nchi hii ina wanasiasa Uchwara wenye njaa tu ya madaraka wanaopigia debe matumbo yao kwa kivuli cha kujifanya wanapigania haki za wananchi, hao wananchi unaowapigania hujui maisha yao? unavyong'ang'ania Lockdown lengo lako ni nn? Tufe na njaa ama?... Kuna wanasiasa visambugile kweli [emoji16].
Uzuri kuhusu w
Watanzania huwa hatupendi shida tumezoea kurelax na kuishi maisha yetu ya kawaida.

Swala la lockdown sio Rais tu hata sisi Wananchi wa kawaida hatutaki kulisikia kabisa kwasababu litaondoa Uhuru wetu wa maisha tuliyoyazoea.

I bet hata tukipiga kura no body can vote to stay inside.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio CCM lakini kwa maono yangu huyu Mbowe naona kama anawapoteza watu jamani.
Yaani Kiongozi mkuu wa Nchi, Rais aliyeaminiwa na kupewa mamalaka na wananchi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazungumza tena kwa kutumia fact bila kupepesa macho akijaribu kuelezea hali halisi ilivyo katika kujaribu kuwatuliza wananchi na kuleta matumaini.

Mbowe anajitokeza kudai kwamba nchi inaenda kuangamia kwa sababu ya Corona huku kiking'ang'ania Lockdown kwa sababu chenyewe kina uhakika wa kula na kwenda chooni.
Kwani hujatosheka ulivyokaa karantini?

Nchi hii ina wanasiasa Uchwara wenye njaa tu ya madaraka wanaopigia debe matumbo yao kwa kivuli cha kujifanya wanapigania haki za wananchi, hao wananchi unaowapigania hujui maisha yao? unavyong'ang'ania Lockdown lengo lako ni nn? Tufe na njaa ama?... Kuna wanasiasa visambugile kweli 😁.
Yawezekana wewe ni kisambugile kuliko. Lockdown sio lazima iwe complete lockdown, kuna mambo yasiyo muhimu ya kulock kama vile ma-baa na vilabu vya pombe. Inashangaza watu bado wapo kwenye mataputapu mpaka sasa hatuwezi kuwa serious na corona namna hii. Namibia walifunga pombe zote hadi kwenye hotel miezi zaidi ya miwili sasa, waliishia kwenye kesi 16 tu na leo wamebaki wagonjwa 3 tu kuachana na corona. Na bado pombe na mikusanyiko ya dini imefungiwa, watu wapo serious and scientific.
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Kwa wasiomjua huyu jamaa alikua ccm kindakindaki Bia yetu atasubiri
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Naunga mkono hoja
 
Waliongea WHO,ambao dunia nzima inawasikiliza na wakagonga mwamba jiwe imara.
Itakuwa ww,hata mwenye kitongoji chake Hakujui!!!
 
Mbowe unaweza kuta tayari alikuwa kapiga kitu ya arusha, kwa jiyo alikuwa anaona tatu tatu
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Aiseee!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana wewe ni kisambugile kuliko. Lockdown sio lazima iwe complete lockdown, kuna mambo yasiyo muhimu ya kulock kama vile ma-baa na vilabu vya pombe. Inashangaza watu bado wapo kwenye mataputapu mpaka sasa hatuwezi kuwa serious na corona namna hii. Namibia walifunga pombe zote hadi kwenye hotel miezi zaidi ya miwili sasa, waliishia kwenye kesi 16 tu na leo wamebaki wagonjwa 3 tu kuachana na corona. Na bado pombe na mikusanyiko ya dini imefungiwa, watu wapo serious and scientific.

Kwa hiyo watabaki na hiyo hali mpaka lini maana corona ipo ipo bado mpaka mwakani, hvyo hawata join na nchi zingine mpaka mwaka kesho?
Kwa corona mtu mmoja anaweza sambaza nchi nzima muda mfupi
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Rais kwenye hotuba yake amesema waziri wa afya atatoa taarifa ya kamati aliyounda. Hoja zako zitajibiwa au la kama yafuatayo hayatakuwa kwenye taarifa hiyo:
1. Mashine za kupima corona zilikuwa na kasoro na kupata zingine
2. Mashine hazikuwa na kasoro bali wataalamu hawakuwa na weledi wa kuzitumia lakini walipata mafunzo ya kunitumia
3. Idadi ya wagonjwa iliongezeka kutoka 509 na vifo kutoka 21 baada ya tangazo la mwisho (29/04/2020)
 
Mkuu ni mpumbavu peeke anaweza kukupinga! Upimaji unaofanyika mipakani na nchi jirani ni kiashiria kikubwa kuwa koona imeshika kasi. Imagine kila siku madereva kutoka tz wakipima wanakutwa na koona je huko wanakotoka hao madereva hali ikoje???
Duh!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe is being more presidential than the president himself!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe mbona hatupi takwimu za Corona za ukoo wake wa Mbowe za idadi ya waliopimwa,waliougua,waliopona, waliofariki na rate ya maambukizi imepungua au imeongezeka kwa kiasi gani ? Hizo hazihitaji serikali ni yeye tu kuzitoa
Tunaziomba ili tuone jinsi hili janga lilivyo kubwa kwenye ukoo wake

Ukoo wake unaficha? mbona hatupi hizo takwimu hata siku moja tunaomba awe anatupa takwimu za kila siku
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
We unadhani Serikali ni kama mji wako nyumbani ambao hata majirani wanaweza kujua unakula nini leo?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Kwa hilo la Covid 19 mheshimiwa Mbowe angekubali tu matokeo kwamba kazidiwa.Upamoja wa wananchi na raisi Magufuli katika hili ni ushahidi tosha kwamba Raia wapo pamoja na raisi wao.
Upamoja upi unaouandika, unaweza kuufafanua hapa sote tuuelewe?
 
Back
Top Bottom