Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Kwa kweli wametuacha dilemma, halafu wafanya mambo kimya kimya sasa hivi nasikia wanataka kufungua mashule.

Hapo ndio unashindwa hata kuelewa.
 
Pole kamanda, umekurupuka kujibu bila kuelewa swali. Kuna baadhi ya watu wanatabia wa kujitungia maswali yao wanapoona maswali waliyopewa hawawezi kuyajibu, nafikiri wewe ni mmoja wapo?
 
Kukariri kubaya sana! Jifunzeni kujikubali,.....Kwani WaTanzania tumezuiwa kutumia Akili zetu kupambana na corona....kwani mpaka tutumie njia za mabeberu?? Hii ni vita...kila mtu na mbinu zake.
 
Mbowe ni wizara ya afya? Kwamba ana vipimo na utaalamu kuhusu Covid_19?
Ni sheria ipi inasema kwamba mwenye wajibu wa kukusanya takwimu za hili gonjwa ni mwananchi wa kawaida au mwanasiasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa unafikiri kwa kutumia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli hatupimwi,je Rais asinge sema mwanae aliugua ungejua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asiyejua thamani ya maisha yake, ama ni kichaa au amechanganyikiwa. Mbowe anawaona WaTz ni watu wa aina hiyo. Yawezekana ndicho kilichomsukums kutoa amri kwa Wabunge wa CHAMA CHAKE wajifungie kwa siku 14 ati kujiridhisha hawana maambukizi. Walipomaliza hicho kifungo wamerudi bungeni kuungana na wabunge ambao hawakujifungia na kama wana maambukizi, kifungo chao kitakuwa hakina maana. Mh. Spika amekuwa akirejea maamuzi ya hovyo hayo, kuwakumbusha. Mbowe, badala ya kujibu hoja za Spika, anatumia nguvu sana kuzungumzia badala ya kujikita na hoja zenye maslahi mapana ya kitaifa.

Tujiulize, Mitaani kuna ombaomba, ambao hawavai barakoa wala kutakasa mikono yao, je, wamekufa wangapi? Maeneo ya wakazi wengi maisha yaendelea, wamekufa wangapi?

Ni kweli COVID-19 ipo na ni gonjwa la hatari. Kupambana na gonjwa hili si jukumu la Serikali peke yake, kama ambavyo Mbowe anataka jamii iamini, ila ni la kila mmoja wetu:

Mkuu wa kaya aweke mazingira salama ya kujikinga dhidi ya maambukizi, kwa familia yake, kabla na baada ya maambukizi.

Mwajiri naye aweke mazingira ya kinga dhidi ya wafanyakazi na wateja wake.

Wanafamilia, wafanyakazi na wateja wazingatie kanuni na taratibu, za kujikinga dhidi ya maambukizi, zilizowekwa kwenye maeneo yao.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
 
Magufuli kusikia tu Mhe, Mbowe ataongea leo., Limekurupuka huko lilikojifisha ili mradi tu. linajiongeresha kanisani huko.
Tofauti ni kwamba Mbowe ameongea maneno yale yale ambayo hata mtoto wa drs la saba angeongea ila Magu babalao ameongea maneno mapya yanayohitajika hapa duniani.
 
Tukubali madereva wanapata maambukizi njiani, je, mna takwimu za maambukizi au vifo kwenye maeneo ya vituo vya magari hayo?

Mtasema ni wajibu wa Serikali kutoa takwimu wakati taarifa za vifo zinaweza kupatikana kwenye mashina ya chama, kama yapo maeneo hayo, maana kifo cha binadamu hakifichiki.

Kwa kuwa hamjui kama hamjui, kila asemalo Mbowe ni neno takatifu kama la Biblia au Korani.
 
Utaratibu gn ndugu saiv kariakoo hata barakoa watu hawavai wanajua corona imeisha lakini wakati huohuo katika mpk wa zambia na holili madereva wengi toka tanzania wanatest +ve huoni kuna kitu hakiko sawa ila kinafanywa kionekane ni normal
Dah.. Braza....unahakika hivyo vipimo havijachakachuliwa kwa sababu maalum... sometimes tutumie akili kidogo tu [emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Narudia mara kwa mara, tunapenda kusikia takwimu za maambukizi na vifo kutokana na COVID-19 kutoka Serikalini, lakini humu JF, kama wewe, husemi idadi ya walioambukizwa au vifo nyumbani kwako, jirani, mtaani, rafiki au ndugu zako? Hayo maambukizi na vifo viko wapi?
 
Huo uwongo wadanganye ufipa

Rais Magufuli ni nahodha bora ametuvusha salama kwenye corona
 
Kama sayansi ya instruments imemshinda ni yeye tu!!

Hivi unawezaje kusema kifaa kinatoa majibu positive tu, Je kifaa akiwezi kutoa jibu negative?

Kwangu kichwa sio mfuko wa kubebea meno, kwangu awe Mbowe,lissu,mnyika,n.k pia na Rais siwezi kuwa mjinga mbele yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…