Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Ilitamkwa mhe KUB ataongea na Taifa leo ajabu na isivyo kawaida ya hapa jf kwakweli ni km hajafanya/kuongea leo!


Kwa kawaida MWAMBA akizungumza na Taifa huwa jf na kwingineko mijadala na maoni mbalimbali huibuliwa.


Kwa nini haipo hivyo leo!?
 
Ilitamkwa mhe KUB ataongea na Taifa leo ajabu na isivyo kawaida ya hapa jf kwakweli ni km hajafanya/kuongea leo!


Kwa kawaida MWAMBA akizungumza na Taifa huwa jf na kwingineko mijadala na maoni mbalimbali huibuliwa.


Kwa nini haipo hivyo leo!?
Hotuba ya Rais Magufuli leo asubuhi imemfilisi.....hana cha kuongea tena!
 
Kaongea pumba tupu najuta mb zangu zimepotea bure

Watu Tunakaribia kuishinda corona yeye analeta habari za classmates na spika
Mara ya mwisho lini kutolewa takwimu za corona
Ugonjwa hauishi kwa kucontrol information
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

Tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
 
Hivi Kama Jambo unalosema haliwi implemented na halina impact, why kupoteza muda kulifatilia?
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Wiki kesho tunaweza kufungua vyuo na shule, wewe unatuleta corona tena wakati INAISHIA! Kila mmoja ataguswa kwa wakati wake
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Nia ya huyu mtu kwa nchi yetu may be TISS na Majeshi yetu wanaijua Ila kwa akili ya kawaida tu,Kuna shida somewhere
 
Rais akiongea na taifa huwa tunasubilia kuona maagizo na amri na muelekeo. Je, MBowe anapozungumza na taifa anakuwa anategemea nini. Tumsikie au tufanye nini.

Baada ya kusikiliza hotuba yake, naona kilikuwa ni kilio cha kusemwa Bungeni, na kumuomba rais juu ya Corona. Hayo yalihitaji kusema anaongea na taifa? Nimemuona pia rangi ya nywele ilivyokolea vizuri.
dikiteita
 
Wiki kesho tunaweza kufungua vyuo na shule, wewe unatuleta corona tena wakati INAISHIA! Kila mmoja ataguswa kwa wakati wake
Kwani suala hili halikugusi ndugu kwa haya yanayoendelea.

Uliwahi kumuona waizir mkuu wa italia akilia hadharani huu ugpnjwa ni hatari siasa haipaswi kuwekwa mbele bali fact,truth na Science
 
Back
Top Bottom