Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga

Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga

Black Butterfly

Senior Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
130
Reaction score
368
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe amesema wanatarajia kupokea taarifa ya Uchunguzi kuhusu kifo cha aliyekuwa Mshauri wa chama hicho, Ali M. Kibao aliyeripotiwa kuuawa na watu wasiojulikana na kueleza ikiwa tofauti na walichoona wataipinga

Mbowe amesema hayo baada ya zoezi la uchunguzi (Autopsy) wa mwili wa Mzee Kibao kumalizika huku ukishuhudiwa na Wakili wa CHADEMA. Kibao amepatikana siku 1 baada ya kuripotiwa kuchukuliwa na Watu waliodaiwa kuwa ni Askari Polisi kutoka kwenye Basi la Tashrif na kutoweka naye

Aidha, Mbowe amesema Mamlaka za Kiserikali zitambue zina wajibika kutoa maelezo yanayoridhisha kwa Watanzania juu ya matukio ya Utekaji na Watu kupotea yanayoendelea nchini na waseme nani anapaswa kuwalinda

PIA SOMA:
 
Wanaotekwa kuuawa kila siku wengi wao ni wanachama au viongozi wa Chadema pekee, ni wazi sasa siasa zetu zimegeuzwa uwanja wa vita.

Haiwezekani wakati mwenzio anatumia mpaka tindikali kuumiza, wewe kila siku unamjibu kwa kulaani X, kuna hatua sasa ni LAZIMA ichukuliwe ili kujilinda na kukomesha huu ujinga wa kutekana.
 
Na je ikithibitika ni inside job CDM mpo tayari kupokea report
 
Hatupaswi kusubiri ripoti ya polisi ambao hawaaminiki. Inapaswa kusema nini mmekiona sasa.
 
Mh Rais amegiza wahalifu hao watafutwe naamini watapatikana haraka iwezekanavyo.
 
Hatupaswi kusubiri ripoti ya polisi ambao hawaaminiki. Inapaswa kusema nini mmekiona sasa.
Kabisa, waseme tu nini wamekiona. Hakuna ripoti yoyote ya polisi itakuwa na la maana zaidi ya upotoshaji.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe amesema wanatarajia kupokea taarifa ya Uchunguzi kuhusu kifo cha aliyekuwa Mshauri wa chama hicho, Ali M. Kibao aliyeripotiwa kuuawa na watu wasiojulikana na kueleza ikiwa tofauti na walichoona wataipinga

Mbowe amesema hayo baada ya zoezi la uchunguzi (Autopsy) wa mwili wa Mzee Kibao kumalizika huku ukishuhudiwa na Wakili wa CHADEMA. Kibao amepatikana siku 1 baada ya kuripotiwa kuchukuliwa na Watu waliodaiwa kuwa ni Askari Polisi kutoka kwenye Basi la Tashrif na kutoweka naye

Aidha, Mbowe amesema Mamlaka za Kiserikali zitambue zina wajibika kutoa maelezo yanayoridhisha kwa Watanzania juu ya matukio ya Utekaji na Watu kupotea yanayoendelea nchini na waseme nani anapaswa kuwalinda

PIA SOMA:
Inasikitisha kuona na kusikia Watzania wenzetu wanafanyiwa vitendo vya kikatili namna hii kila kukicha, ifikie mahali tuandamane na kupaaza sauti kupinga huu ukatili. Taasisi za Kimataifa zipo kimya kwa nini hazitoi tamko kwa Tanzania kuhusu huu uharamia unaofanywa dhidi ya Watanzania wasio na hatia?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe amesema wanatarajia kupokea taarifa ya Uchunguzi kuhusu kifo cha aliyekuwa Mshauri wa chama hicho, Ali M. Kibao aliyeripotiwa kuuawa na watu wasiojulikana na kueleza ikiwa tofauti na walichoona wataipinga

Mbowe amesema hayo baada ya zoezi la uchunguzi (Autopsy) wa mwili wa Mzee Kibao kumalizika huku ukishuhudiwa na Wakili wa CHADEMA. Kibao amepatikana siku 1 baada ya kuripotiwa kuchukuliwa na Watu waliodaiwa kuwa ni Askari Polisi kutoka kwenye Basi la Tashrif na kutoweka naye

Aidha, Mbowe amesema Mamlaka za Kiserikali zitambue zina wajibika kutoa maelezo yanayoridhisha kwa Watanzania juu ya matukio ya Utekaji na Watu kupotea yanayoendelea nchini na waseme nani anapaswa kuwalinda

PIA SOMA:
naanza kuamini kuwa Magufuli hakukosea alipomfungulia huyu mtu kesi ya ugaidi.

Naanza kuelewa kwanini Mvhungaji Msiigwa hataki kubaki chadema.

Naanza kuamini hata Tundu Lissu ameshajionea mengi sana.

Kutokumchunguza Mboowe kwenye watu kupotea liytakua ni kosa kubwa sana. kauli zake nzinaonesha kuna mengi anayafahamu kama wakala wa shetani.
 
Akihutubia Mkutano wa hadhara wa kuhamasisha ushiriki wa maandamo yaliyopangwa kufanyika September 23 mwaka huu, aliewahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amesema marehemu Ali Kibao ni mtoto wa Shekhe na pia Shekhe Muu mstaafu ni baba yake mdogo na ni ndugu wa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wa zamani, Bwana Othman na pia ni ndugu wa balozi wa Tanzania nchini Morocco.

Godbless Lema kaongea mengi ila amesema kutokana na msibu huu kugusa wakubwa, ndio maana mnaona watawala wanaonyresha kuguswa.

My take:
Kweli hakuna alie salama.
 
Akihutubia Mkutano wa hadhara wa kuhamasisha ushiriki wa maandamo yaliyopangwa kufanyika September 23 mwaka huu, aliewahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amesema marehemu Ali Kibao ni mtoto wa Shekhe na pia Shekhe Muu mstaafu ni baba yake mdogo na ni ndugu wa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wa zamani, Bwana Osmani na pia ni ndugu wa balozi wa Tanzania nchini Morocco.

Godbless Lema kaongea mengi ila amesema kutokana na msibu huu kugusa wakubwa, ndio maana mnaona watawala wanaonyresha kuguswa.

My take:
Kweli hakuna alie salama.
wewe binafsi hakijakugusa hata kama sio ndugu yako, ispokua mwanadamu mwenzago?🐒
 
Akihutubia Mkutano wa hadhara wa kuhamasisha ushiriki wa maandamo yaliyopangwa kufanyika September 23 mwaka huu, aliewahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amesema marehemu Ali Kibao ni mtoto wa Shekhe na pia Shekhe Muu mstaafu ni baba yake mdogo na ni ndugu wa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wa zamani, Bwana Osmani na pia ni ndugu wa balozi wa Tanzania nchini Morocco.

Godbless Lema kaongea mengi ila amesema kutokana na msibu huu kugusa wakubwa, ndio maana mnaona watawala wanaonyresha kuguswa.

My take:
Kweli hakuna alie salama.
….. connected now, maana waja leo kulisemekana kuna kisambusi cha awamu 6, kupitia mga, sasa inawezekana mhusika alikuwa ana hujumu kambi, wanajuana na kuna kundi limetunishia misuri lingine. Maana kama kupotea wengi wamepotea uwaje huyu tu. Ila all in all Dkt Samia wala si Dkt Magufuli wakulaumu bali ni mifumo yetu inayoruhusu vikundi ndani ya mifumo kuwa na upper hand
 
Back
Top Bottom