Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga

Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga

….. connected now, maana waja leo kulisemekana kuna kisambusi cha awamu 6, kupitia mga, sasa inawezekana mhusika alikuwa ana hujumu kambi, wanajuana na kuna kundi limetunishia misuri lingine. Maana kama kupotea wengi wamepotea uwaje huyu tu. Ila all in all Dkt Samia wala si Dkt Magufuli wakulaumu bali ni mifumo yetu inayoruhusu vikundi ndani ya mifumo kuwa na upper hand
Magufuli na Samia wasiwe na nguvu na hivyo vikundi vya watekaji? Au unataka kumtenga Magufuli na ule unyama aliokuwa anafanya? Au unadhani hatuna uelewa wowote?
 
Wanaccm ni kifo ambacho hakijawagusa maana ni sehemu ya mkakati wao kuelekea uchaguzi.
ama kweli nyani haoni kundule 🐒

Chama kipo kwenye uchaguzi halafu hakijui wala kuona kwamba kipo kwenye uchaguzi, ila watu wake wanaona uchaguzi ambao hata hauhusiki 🤣

na yanayotokea yanahusishwa mojakwamoja na uhasama wa kisiasa wa wao kwa wao kwenye uchaguzi wao wenyewe 🐒
 
Yani nachukia nikiona mtu anasema huyu mama samia hana shida ila ni watu tu wanamuharibia...

Mtu anaongea kama anakunya anasahau huyo samia ndio amiri jeshi mkuu mwenye power ya kutosha kwa katiba yetu ya ovyo ya kukomesha huu upuuzi.yahn uchawa tu wa kuonesha huyo mama yenu siyo miyayusho.

kmmke.
 
Yani nachukia nikiona mtu anasema huyu mama samia hana shida ila ni watu tu wanamuharibia...

Mtu anaongea kama anakunya anasahau huyo samia ndio amiri jeshi mkuu mwenye power ya kutosha kwa katiba yetu ya ovyo ya kukomesha huu upuuzi.yahn uchawa tu wa kuonesha huyo mama yenu siyo miyayusho.

kmmke.
yaani mshindwane wenyewe huko kisiasa na mviziane na kuumizana kwa siri...

au mtu amendee mke wa mtu, afumaniewe na kuparuruwe na huenda hata auawawe, kisha aje alaumiwe mtu ambae hahusiki na taamaa za siri za mtu mwingine, hilo si tatizo la afya ya kisaikolijia gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom