Mbowe siasa sio biashara. Siasa ni maisha ya watu acha uzandiki. Rudisha chama mikononi mwa Wapinzani wa kweli

Soma shule uelimike
 
Aaaa hebu tulia kidogo Njoo pole pole naona upo hatarini kukasirika!
 
Madikteta wote huwa wanaaminisha wa fuasi wao kuwa bila yeye mambo hayaendi. Na hata hali iwe mbaya namna gani, wanawaaminisha kuwa yanaenda vizuri mno. Vyama vyote vya upinzani nchi hii ni wababaishaji watupu.
 
Chama kirudi kwa akina mashinji eeeeh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…