Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

Mbowe usithubutu kuwakabidhi wahuni chama, watanzania watakulaani - maliza muda wako na kama itakupemdeza basi 2030 iache CDM kwa mtu anayefaa kuwa kiongozi thabiti ashike usukani - hawa waliondandia train kwa.mbele wasikutishe.

Lipumba ni mwenyekiti wa kudumu wa CUF ila wapo kimya hawasemi aondoke kwamba muda wake ushatosha.
Pumba.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

chadema siipendi lakini pia huwezi mwachia chama mtu amabaye hana busara .kikawaida uongozi unamwachia yule unayemwamini ambaye amejifunza kwako. sasa wewe unaona unayemwachia hakuamini unaweza kumkabidhi mikoba?

kwanza inatakiwa wabadili katiba kwamba mwenyekiti aliyeko atapendekeza jina kwa wazee wachama then kamati kuu impigie kura .siyo huu uchafu wa kuchafuana wanaoufanya.jifunzeni kwa CCM
 
Ndio wajua leo. Mimi tangu walivyomfurumusha Slaa ili aingie yule mgombea kutoka CCM na wapige pesa zake sina hamu nao. Mpaka hapo naamini hakuna chama kinaitwa cha upinzani bali ni matawi ya CCM ili nchi ionekane ina mfumo wa vyama vingi hivyo misaada ya EU, Commnwealth na USAID iendelee kuingia na kunenepesha matumbo yao. Shubhaaamit!
Bora miti, hawa ni SHUBAPORI kabisa.
 
Ni Uamuzi wake Kikatiba kama ilivyo uamuzi wa wapiga Kura kuona kama anafaa au amepwaya..., Hii notion ya kwamba Demokrasia ni miaka kadhaa ndio imetosha sijui ilitokea wapi

 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Ila wewe ni Mugabe sio, basi sawa. Yote maisha na siasa
 
Mb
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Mbowe kamuuzia chama mama Abdul. Mbowe atashindana lakini hatashinda. Mjinga sana Mbowe
 
chadema siipendi lakini pia huwezi mwachia chama mtu amabaye hana busara .kikawaida uongozi unamwachia yule unayemwamini ambaye amejifunza kwako. sasa wewe unaona unayemwachia hakuamini unaweza kumkabidhi mikoba?

kwanza inatakiwa wabadili katiba kwamba mwenyekiti aliyeko atapendekeza jina kwa wazee wachama then kamati kuu impigie kura .siyo huu uchafu wa kuchafuana wanaoufanya.jifunzeni kwa CCM
Yaani Freeman apendekeze jina...hahahaha...
Pamoja na figisu mfumo wa CCM bado ni bora sana
 
Back
Top Bottom