Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

Tanzania hatuna wapinzani aiseee...
Binafsi sikipendi chama tawala, lakini kwa mwendo huu naona kukitoa chama tawala bado tuna safari ndefu sana.

Haya majitu makina freeman yanawahadaa waTz, yanaboa sana. Watu wamepoteza maisha yao, wamepata ulemavu, wametoweshwa halafu kumbe mijitu inalamba tu asali kwa watawala! shoe wine!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Ataondolewa na wanachama wapiga kura, chama sio mali yake
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Ukiiachia SACCOS yetu hii mujarabu, sisi wengine tukale wapi sasa kwa mfano ?
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Mbowe must go
 
Back
Top Bottom