FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 1,916
- 3,850
Pumba.Mbowe usithubutu kuwakabidhi wahuni chama, watanzania watakulaani - maliza muda wako na kama itakupemdeza basi 2030 iache CDM kwa mtu anayefaa kuwa kiongozi thabiti ashike usukani - hawa waliondandia train kwa.mbele wasikutishe.
Lipumba ni mwenyekiti wa kudumu wa CUF ila wapo kimya hawasemi aondoke kwamba muda wake ushatosha.
chadema siipendi lakini pia huwezi mwachia chama mtu amabaye hana busara .kikawaida uongozi unamwachia yule unayemwamini ambaye amejifunza kwako. sasa wewe unaona unayemwachia hakuamini unaweza kumkabidhi mikoba?🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.
Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.
Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu
Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu
Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==
Bora miti, hawa ni SHUBAPORI kabisa.Ndio wajua leo. Mimi tangu walivyomfurumusha Slaa ili aingie yule mgombea kutoka CCM na wapige pesa zake sina hamu nao. Mpaka hapo naamini hakuna chama kinaitwa cha upinzani bali ni matawi ya CCM ili nchi ionekane ina mfumo wa vyama vingi hivyo misaada ya EU, Commnwealth na USAID iendelee kuingia na kunenepesha matumbo yao. Shubhaaamit!
Ila wewe ni Mugabe sio, basi sawa. Yote maisha na siasa🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.
Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.
Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu
Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu
Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==
Ni dhambi kwakweli,sisiem for life 🤣🤣Tanzania hatuna wapinzani aiseee...
Binafsi sikipendi chama tawala, lakini kwa mwendo huu naona kukitoa chama tawala bado tuna safari ndefu sana.
Mbowe kamuuzia chama mama Abdul. Mbowe atashindana lakini hatashinda. Mjinga sana Mbowe🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.
Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.
Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu
Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu
Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==
Yaani Freeman apendekeze jina...hahahaha...chadema siipendi lakini pia huwezi mwachia chama mtu amabaye hana busara .kikawaida uongozi unamwachia yule unayemwamini ambaye amejifunza kwako. sasa wewe unaona unayemwachia hakuamini unaweza kumkabidhi mikoba?
kwanza inatakiwa wabadili katiba kwamba mwenyekiti aliyeko atapendekeza jina kwa wazee wachama then kamati kuu impigie kura .siyo huu uchafu wa kuchafuana wanaoufanya.jifunzeni kwa CCM
Magogoni wamepita vichaa sembuse wanywa konyagi?Alafu huyu ndiyo akae magogoni na Konyagi yake.
Wapi kwenye Upinzani hakuna mambo binafsi?Tanzania hatuna upinzani ni mambo binafsi tu
Ni chama chako? Baba Yako alianzisha? Akitaka hata Kwa BAO la mkono atashindaMb
Mbowe kamuuzia chama mama Abdul. Mbowe atashindana lakini hatashinda. Mjinga sana Mbowe
Anaitwa Samia Profesa wa siasa na mama wa Uchumi 😂😂Mzee wa bapa kapagawa....
Chadema bye bye.....za mwizi arobaini....
CCM wameshinda mapemaaa....
Chama hakikabidhiwi Kwa kibarakaMachawa ya mbowe ndiyo yanayompoteza mbowe azidi kuzama kwenye kina cha maji marefu,kwa mtoto wa mkulima wa alizeti SINGIDA. TUNDU LISSU