ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #81
Suala si uchaga, suala ni kwamba ukitaka uongozi wa taasisi yoyote ile ambayo na wewe ni sehemu ya uongozi ni lazima uwe makini sana..
Sasa ni hivi CDM washamaliza uchaguzi sasa hivi wanapanga namna ya kupunguza dhoruba baada ya uchaguzi - hili nalo hulijui??
Afu na Katiba hatungi Mbowe!! Safi sana mzee wa ubwabwa!! Wapokee huko wanakujaaa.
Embu mbandue ๐๐๐Si ana hamu ya kubanduliwa nitambandua
Hakuna chamaUpepo umepuliza,nyeti za kuku zipo nje. Ndio mtegemee hiki chama kiataleta demokrasia na maendeleo la hasha!
Hamna kitu humo.Hakuna chama
Njaa mbaya sanaHamna kitu humo.
Hahaa๐Ukisikia U. T. I sugu ndo hii sasa ๐ค๐ค.
Wameruka sarakasi na taulo ukweni.Njaa mbaya sana
Wakishiba wataziokota tauloWameruka sarakasi na taulo ukweni.
Mwandiko wa inzi wa kijani.Tanzania hatuna wapinzani aiseee...
Binafsi sikipendi chama tawala, lakini kwa mwendo huu naona kukitoa chama tawala bado tuna safari ndefu sana.
SahihiNdio wajua leo. Mimi tangu walivyomfurumusha Slaa ili aingie yule mgombea kutoka CCM na wapige pesa zake sina hamu nao. Mpaka hapo naamini hakuna chama kinaitwa cha upinzani bali ni matawi ya CCM ili nchi ionekane ina mfumo wa vyama vingi hivyo misaada ya EU, Commnwealth na USAID iendelee kuingia na kunenepesha matumbo yao. Shubhaaamit!
Ataondolewa na wanachama wapiga kura, chama sio mali yake
KabisaMpaka hapo maamzi hayategemea kura ila uamzi wake
Naona mnakazana sana huku ๐ ๐Kanisani wamemtoa kwenye Kamati ya Fedha
Nimesikia Leo Ibadan Masifu ya Asubuhi ( Morning Glory)
Kumbe Siasa Zina madhara Sana ๐ผ
Wapumbavu Wacha Waendelee KufaHaya majitu makina freeman yanawahadaa waTz, yanaboa sana. Watu wamepoteza maisha yao, wamepata ulemavu, wametoweshwa halafu kumbe mijitu inalamba tu asali ya watawala! shoe wine!
JESUS IS LORD&SAVIOR
We choice-limited kwa uchawa tulia.Wapumbavu Wacha Waendelee Kufa