Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Hajaombwa lakini, angeweza kukaa kimya tu kama wenzake akina Zito, Tundu Lisu & Co. wakiendelea kula matunda ya kazi yao hamna haja ya kujifanya unajali matatizo ya watu wakati ni uongo, it’s just not right!
Yeye katoka kawasemea, wahusika wapo kimya. Labda useme ni muongo wahusika hawaumizwi na Tozo ni kiherehere chake.
 
Hajaombwa lakini, angeweza kukaa kimya tu kama wenzake akina Zito, Tundu Lisu & Co. wakiendelea kula matunda ya kazi yao hamna haja ya kujifanya unajali matatizo ya watu wakati ni uongo, it’s just not right!
Yeye katoka kawasemea, wahusika wapo kimya. Labda useme ni muongo wahusika hawaumizwi na Tozo ni kiherehere chake.
 
He is right
 
Kweli mkuu
JWTZ,POLISI ,WALIMU wanachelewesha maendeleo
Na wachungaji/viongozi wa dini
Ni kweli kuwa wananchi ni waoga ila siamini kama Chadema inaweza fanya jambo lolote la maana katika Taifa letu kwa sasa.

Chadema imeshindwa kufanya lolote ilipokuwa ya moto kwa sasa viongozi wake wakuu wamejichokea na kukata tamaa.
Ninachofikiria Mimi nikuwa wananchi tumeacha kuamini wanasiasa na siyo kwamba sisi ni waoga. Kumbuka kipindi cha Dr. Slaà Maandamano yalikuwa daily. Lakini baada ya Babu wa Monduli chama kikàpoteza mwelekeo

Mabadiriki yatakuja ßiku tukiamua wenyewe
 
Mwamba kama Mwamba mwenyewe yaani !!

USTAADH ABOUBAKAR
 
Ni kweli kuwa wananchi ni waoga ila siamini kama Chadema inaweza fanya jambo lolote la maana katika Taifa letu kwa sasa.

Chadema imeshindwa kufanya lolote ilipokuwa ya moto kwa sasa viongozi wake wakuu wamejichokea na kukata tamaa.

Nyie ndo mumewakatisha tamaa mnabebwa lakin hambebeki,mbeleko imechanika
 

Hapo kanena
 
wewe fuas la walamba asali unafikir mbowe ni masikin kama ulivyo wewe na uchawa wako.
Najua Mbowe ni TAJIRI.

Ninachopinga ni Mbowe huyo huyo aliekopeshwa V8 akiwa Waziri mkuu KIVULI Kambi ya upinzani na wabunge wote wa upinzani waliyapokea bila kukataa.

Leo wanapata wapi mamlaka ya kuhoji magari ya mawaziri ya kifahari.

Jambo hili mwenye Uhalali wa kuhoji ni MWANANCHI anaekamuliwa.

Katika Katiba mpya tusiwaachie wanasiasa watusemee sababu yapo yanayowanufaisha hawawezi yasimamia.

Naichukia sana CCM naiombea IFE, bt pia Nawakosoa Upinzani Ili wakae Kwa mstari wanapopotoka.

Ameeeen.
 
Bilionea Mbowe inasemekana ndio raia wa kwanza Tanzania kuomba Kibali ikulu ya Nyerere ili aagize gari kutoka Ulaya
Ni sawa, huo ni utajiri binafsi wa Mbowe.

Bt Mbowe kama taasisi, hawajawahi kupinga ununuzi wa mav8 Kwa Kodi za Wananchi, walikopeshwa na Mbowe kalitumia.

Tuliona pia POSHO za wabunge CDM waliungana na CCM wakitaka ziongezwe, bt wananchi tulitaka zishushwe.

Watuachie wananchi kuhoji bt wao walishindwa KUSIMAMIA.

KATIBA mpya ya Warioba ililiona Hilo ikatight maslah ya viongozi yaendane na kipato Cha wananchi.

Ameeeen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…