Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Hajaombwa lakini, angeweza kukaa kimya tu kama wenzake akina Zito, Tundu Lisu & Co. wakiendelea kula matunda ya kazi yao hamna haja ya kujifanya unajali matatizo ya watu wakati ni uongo, it’s just not right!
Yeye katoka kawasemea, wahusika wapo kimya. Labda useme ni muongo wahusika hawaumizwi na Tozo ni kiherehere chake.
 
Hajaombwa lakini, angeweza kukaa kimya tu kama wenzake akina Zito, Tundu Lisu & Co. wakiendelea kula matunda ya kazi yao hamna haja ya kujifanya unajali matatizo ya watu wakati ni uongo, it’s just not right!
Yeye katoka kawasemea, wahusika wapo kimya. Labda useme ni muongo wahusika hawaumizwi na Tozo ni kiherehere chake.
 

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kinachoendelea katika ajira ya Watumishi ni kukatwa kodi mara mbili.

Hizi hapa nukuu za Mbowe...

“Tunapowapa Watawala nafasi ya kuongoza maisha yetu na wanaamua bila kujali kinachotupata, hatupaswi kuwa waoga.

Kuna wakati nakwazika sana kwa kazi ninayofanya mnapokuwa waoga na hofu, halafu mnalalamika.

Hao wanaowatoza kodi hiyo wanakwenda kununua V8 ya Shilingi Milioni 450 au 500, mtu ambaye angekuwa nyumbani kwa mumewe au mkewe asingeweza kununua V8.

Lakini kwa kuwa kuna pesa ya Wajinga Watanzania wanaweza kununua gari la kumpa Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, Jaji kila mmoja.

Jiulizeni ni Wafanyabiashara wangapi ambao wana uwezo wa kuendesha magari mapya?

Magari mapya Nchi hii ni mali ya viongozi wa Serikali, na mnavyokaa kimya mambo haya ndiyo yanaendelea, mnatakiwa kuamka.

Kama mnataka kuibadilisa Nchi hii lazima tuache woga, lazima viongozi wa dini muongee.

Nilimwambia Rais Samia hii simulizi ya ‘amani’ ‘amani’ ‘amani’ ni kupoteza muda, simulizi sahihi ni haki haki haki.

Kuwepo na haki kwa watu wote litakuwa tafa bora la kuishi. Watanzania wameangalia uchaguzi wa Kenya kila mmoja ametamani, ulikuwa wa wazi hakuna mizengwe
He is right
 
Kuwatetea watanzania na utegemee wakuunge mkono ni sawa na kusubiri embe chini ya Mwarobaini au kupiga mbizi kwenye lami.
Watanzania ni wanafiki wa kutupwa
Namshauri Mbowe aendelee na Biashara zake na aipe muda familia yake kufurahia naye maisha,ametumia muda mwingi kutetea wanafiki.
CCM itaondoka siku JWTZ wakielewa wajibu wao wa kulinda katiba kwa kuelewa yaliyoandikwa ndani na siyo kusoma cover la nje tu
Kweli mkuu
JWTZ,POLISI ,WALIMU wanachelewesha maendeleo
Na wachungaji/viongozi wa dini
Ni kweli kuwa wananchi ni waoga ila siamini kama Chadema inaweza fanya jambo lolote la maana katika Taifa letu kwa sasa.

Chadema imeshindwa kufanya lolote ilipokuwa ya moto kwa sasa viongozi wake wakuu wamejichokea na kukata tamaa.
Ninachofikiria Mimi nikuwa wananchi tumeacha kuamini wanasiasa na siyo kwamba sisi ni waoga. Kumbuka kipindi cha Dr. Slaà Maandamano yalikuwa daily. Lakini baada ya Babu wa Monduli chama kikàpoteza mwelekeo

Mabadiriki yatakuja ßiku tukiamua wenyewe
 

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kinachoendelea katika ajira ya Watumishi ni kukatwa kodi mara mbili.

Hizi hapa nukuu za Mbowe...

“Tunapowapa Watawala nafasi ya kuongoza maisha yetu na wanaamua bila kujali kinachotupata, hatupaswi kuwa waoga.

Kuna wakati nakwazika sana kwa kazi ninayofanya mnapokuwa waoga na hofu, halafu mnalalamika.

Hao wanaowatoza kodi hiyo wanakwenda kununua V8 ya Shilingi Milioni 450 au 500, mtu ambaye angekuwa nyumbani kwa mumewe au mkewe asingeweza kununua V8.

Lakini kwa kuwa kuna pesa ya Wajinga Watanzania wanaweza kununua gari la kumpa Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, Jaji kila mmoja.

Jiulizeni ni Wafanyabiashara wangapi ambao wana uwezo wa kuendesha magari mapya?

Magari mapya Nchi hii ni mali ya viongozi wa Serikali, na mnavyokaa kimya mambo haya ndiyo yanaendelea, mnatakiwa kuamka.

Kama mnataka kuibadilisa Nchi hii lazima tuache woga, lazima viongozi wa dini muongee.

Nilimwambia Rais Samia hii simulizi ya ‘amani’ ‘amani’ ‘amani’ ni kupoteza muda, simulizi sahihi ni haki haki haki.

Kuwepo na haki kwa watu wote litakuwa tafa bora la kuishi. Watanzania wameangalia uchaguzi wa Kenya kila mmoja ametamani, ulikuwa wa wazi hakuna mizengwe
Mwamba kama Mwamba mwenyewe yaani !!

USTAADH ABOUBAKAR
 
Ni kweli kuwa wananchi ni waoga ila siamini kama Chadema inaweza fanya jambo lolote la maana katika Taifa letu kwa sasa.

Chadema imeshindwa kufanya lolote ilipokuwa ya moto kwa sasa viongozi wake wakuu wamejichokea na kukata tamaa.

Nyie ndo mumewakatisha tamaa mnabebwa lakin hambebeki,mbeleko imechanika
 

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kinachoendelea katika ajira ya Watumishi ni kukatwa kodi mara mbili.

Hizi hapa nukuu za Mbowe...

“Tunapowapa Watawala nafasi ya kuongoza maisha yetu na wanaamua bila kujali kinachotupata, hatupaswi kuwa waoga.

Kuna wakati nakwazika sana kwa kazi ninayofanya mnapokuwa waoga na hofu, halafu mnalalamika.

Hao wanaowatoza kodi hiyo wanakwenda kununua V8 ya Shilingi Milioni 450 au 500, mtu ambaye angekuwa nyumbani kwa mumewe au mkewe asingeweza kununua V8.

Lakini kwa kuwa kuna pesa ya Wajinga Watanzania wanaweza kununua gari la kumpa Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, Jaji kila mmoja.

Jiulizeni ni Wafanyabiashara wangapi ambao wana uwezo wa kuendesha magari mapya?

Magari mapya Nchi hii ni mali ya viongozi wa Serikali, na mnavyokaa kimya mambo haya ndiyo yanaendelea, mnatakiwa kuamka.

Kama mnataka kuibadilisa Nchi hii lazima tuache woga, lazima viongozi wa dini muongee.

Nilimwambia Rais Samia hii simulizi ya ‘amani’ ‘amani’ ‘amani’ ni kupoteza muda, simulizi sahihi ni haki haki haki.

Kuwepo na haki kwa watu wote litakuwa tafa bora la kuishi. Watanzania wameangalia uchaguzi wa Kenya kila mmoja ametamani, ulikuwa wa wazi hakuna mizengwe

Hapo kanena
 
wewe fuas la walamba asali unafikir mbowe ni masikin kama ulivyo wewe na uchawa wako.
Najua Mbowe ni TAJIRI.

Ninachopinga ni Mbowe huyo huyo aliekopeshwa V8 akiwa Waziri mkuu KIVULI Kambi ya upinzani na wabunge wote wa upinzani waliyapokea bila kukataa.

Leo wanapata wapi mamlaka ya kuhoji magari ya mawaziri ya kifahari.

Jambo hili mwenye Uhalali wa kuhoji ni MWANANCHI anaekamuliwa.

Katika Katiba mpya tusiwaachie wanasiasa watusemee sababu yapo yanayowanufaisha hawawezi yasimamia.

Naichukia sana CCM naiombea IFE, bt pia Nawakosoa Upinzani Ili wakae Kwa mstari wanapopotoka.

Ameeeen.
 
Bilionea Mbowe inasemekana ndio raia wa kwanza Tanzania kuomba Kibali ikulu ya Nyerere ili aagize gari kutoka Ulaya
Ni sawa, huo ni utajiri binafsi wa Mbowe.

Bt Mbowe kama taasisi, hawajawahi kupinga ununuzi wa mav8 Kwa Kodi za Wananchi, walikopeshwa na Mbowe kalitumia.

Tuliona pia POSHO za wabunge CDM waliungana na CCM wakitaka ziongezwe, bt wananchi tulitaka zishushwe.

Watuachie wananchi kuhoji bt wao walishindwa KUSIMAMIA.

KATIBA mpya ya Warioba ililiona Hilo ikatight maslah ya viongozi yaendane na kipato Cha wananchi.

Ameeeen.
 
Back
Top Bottom