Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana.
Hivi ushahidi wa kuwa alikopeshwa hilo gari unao au unaropoka tu???
 
Mimi naombea maisha yawe magumu Mara mbili ya Sasa ndio Watanzania wataamka. Tena siyo Watanzania ni Watanganyika maana Wazanzibar wanaeleweka Kwa msimamo.
 
Baadae atampigia mama simu amwambie asimuelewe vibaya, ameamua kujitokeza ili kuwazubaisha na kuwahadaa wadanganyika, baada ya malalamiko mengi juu ya ukimya wake.
Tatizo sisi wadanganyika hatujui nini tunataka,imetolewa bilioni 100 ya relief package kwa fuel na bado mafuta yanapanda,ukijiuliza mikopo na madeni ni ya nini,hatujui na bado wanavizia kuiondoa NHIF wakati pesa watu wanakatwa waziri analia utafikiri pesa inayokatwa hawaipati,this is insane,tozo zote na bado miradi ni ya mikopo,sasa kwanini hatuvumi natungalipo
 
I dont believe in my fellow human again.

Nilianza na Dr. slaa, akasaliti kambi!

Siasa hasa z kiafrika sio za kuamini kwa 100%.

wakiwekewa dau mezani wanabadilika
Kumbuka huyo mzee familia yake imeteseka mahakamani kwa kesi ya hovyo,je ingekuwa wewe Binti yako akupigie magoti na mkeo aseme vipi baba unataka pesa au Mateso just imagine ungesemaje.Ni kuacha watu wapambane na hali yao
 
Amn kitu kama hicho
 
Siamini tena CHADEMA kuanzia pale mulipomuuzia lowassa chama chenu, hadi kuwapoteza zitto na slaa, siasa za tz ni za ovyo sana. usimwamini mwanasiasa. amini nakuambia
Wanasiasa kawaida yao ni kutumia matatizo ya wananchi kama njia ya kuingia madarakani lakini wakishapata madaraka ndio wanaonesha rangi halisi
 
Anapiga siasa tuu za kijinga,nani anaenunulia V8 pesa ya tozo?
 
Mwenye shibe ni ngumu kujua kwamba kuna wenye njaa
 
I dont believe in my fellow human again.

Nilianza na Dr. slaa, akasaliti kambi!

Siasa hasa z kiafrika sio za kuamini kwa 100%.

wakiwekewa dau mezani wanabadilika
Unaongea theory gan wewe!.....Unataka Mbowe afanye nini ili umwamini.....Alichongew ni issue ya kwamba watu muamke mdai haki yenu....sasa kusema humwamini mpizani inatoka wapi!.
 
Alisha haribu baada ya kumshika mkono Lowasa, sasa haaminiki.
 
Wakiandamana wakapigwa virungu risasi na kuuawa huwa mnawatukana na kuwaita vibaraka WA mabeberu ,
Umbwa nyie Acha myooshwe Tu ,Mbowe akae atulie ,waTanzania ni umbwa Koko
Kila mtu apambane na Hali yake
 
..kuna taarifa zimetoka kwamba kila mwaka serikali hutumia billion 500 kununua magari mapya.

..billioni 500 ni gharama za ujenzi wa daraja kubwa kama la Kigongo-Busisi.
Ni ununuzi wa magari, matengenezo na mafuta Kwa pamoja..

Aliyekwambia kwamba hizo pesa zote hutumika kununua magari na Kwa muktadha huu V8 ni nani?

Huu ni uzushi wa kina Mbowe sawa tuu na waliosema sensa imetunika bil.600 wakati ni bil.400 sawa na sh.6200 kwa kila mtu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…