Mbowe: Tunanyimwa haki ya kupata mlo wa mchana na maji kwa miezi mitano sasa

Mbowe: Tunanyimwa haki ya kupata mlo wa mchana na maji kwa miezi mitano sasa

Ungekuwa wewe njaa kali ungeshapoteza rinda bladfaken
 
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Ungekuwa na akili ungetafakari huo mfumo wa hovyo wa Magereza kushindwa kuwapa chakula mahabusu wakiwa mahakamani na kuwalaza na njaa hao mahabusu kwa miezi mitano. Lakini kwa kuwa umejaza funza kichwani unswarukia Chadema.
 
Mhe. Mbowe amenyoosha MKONO na kumwaleza Mhe. Jaji kwamba Wana miezi mitano bila kula chakula cha Mchana kwa maana nyingine kauli Hii inaonyesha watuhumiwa hawa wamekuwa wakishinda na kulala bila kula Kwa siku zote wanazoletwa mahakani huku mahakama ikishindwa japo


" Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tkitoka hapa tunakutana Magereza
Serikali katili kupita kiasi
 
angekuwepo Jiwe angesukumiwa lawama, ukweli ni kwamba kijani wote ni makatili na hakuna mwenye unafuu ila tatizo watu wengi walimtupia ubaya mtu mmoja wakasahau kijani wote ni hovyo, Hangaya alikaribishwa kwa mbwembwe watu wakidhani ana afadhali
Tena huyu ni hatari kuliko hata jiwe
 
tatizo hilo liko kwa kina Mbowe pekee wanapokuja mahakamani au ni kwa wafungwa wote?.

Kama Bwana jela ametoa option yakubeba take away wanapokuja mahakamani, shida iko wapi?,

Kwa wazoefu, mtuhumiwa anapokuwa mahakamani wakati wa break haruhusiwi kupewa chakula kutoka nje?...

Kwanini imepita miezi mitano linasemwa leo?
nakipindi chote cha kesi huwa tunaona watu wanabreak kwenda kula, Jaji na mawakili pande zote...

Nimeuliza maswali hayo kwa nia njema, tujadili bila siasa kwenye jambo hili..
Mahakamani ni saa tatu asubuh means wanatoka magereza mapema zaidi. Ebu niambie huo ugali na maharage vitapikwa saa ngapi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ungekuwa na akili ungetafakari huo mfumo wa hovyo wa Magereza kushindwa kuwapa chakula mahabusu wakiwa mahakamani na kuwalaza na njaa hao mahabusu kwa miezi mitano. Lakini kwa kuwa umejaza funza kichwani unswarukia Chadema.
Mbowe anatetea mpaka wengine wasio na sauti wanaoteswa na huu mfumo mbovu nafuu ya mfumo wa kikoloni
 
Ila wengine wasio kula na kunywa wana afya nzuriiiii mmmh
 
Hasara anayopata yeye na nchi kwenye hili, serikali inapoteza zaidi kwenye hii kesi
Akili gani hizo ati serikali inapoteza zaidi .. yani Mwenyekiti wako ananyea debe unaongea mambo ya kupoteza ? wapi serikali inapoteza kwa mfano! halafu Mwenyekiti anazuga huwezi kusurvive mienzi mitano usile au mimi sijamuelewa hali kitu gani.
 
Maagizo ni wao kukomolewa

Kama Mbowe na umaarufu wake wote anafanyiwa hivyo, itakuwa hao watuhumiwa wengine? Kimsingi mifumo karibia yote ya kutoa haki inafanya kazi kikatili sana, na ni mambo yanafahamika kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu.
Kula kwa bimkubwa kwa pelato ni kuramba ramba tu nyie makamanda kulialia.
 
Weka hiyo marking scheme pembeni utayaona majibu tofauti na uyatakayo.

Umeongea utoto gani hapa!?
Ndio ivo Mwenyekiti shavu dodo lakini ananyima chakula cha mchana.
 
angekuwepo Jiwe angesukumiwa lawama, ukweli ni kwamba kijani wote ni makatili na hakuna mwenye unafuu ila tatizo watu wengi walimtupia ubaya mtu mmoja wakasahau kijani wote ni hovyo, Hangaya alikaribishwa kwa mbwembwe watu wakidhani ana afadhali
mama anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom