Lissu ana damu ya usaliti ukiangalia wema aliofanyiwa na Mbowe huwezi kutegemea angemkgeuka na kumtusi namna hii kisa madaraka.
Lissu wakati unafundishwa siasa hao kina Maria Sarungi walikuwa wapi?
Wakati unapewa nauli za ndege naembowe ukuwe kisiasa hao diaspora walikuwa wapi?
Wakati umepigwa risasi nani alikuepusha kwenda muhimbili kama sio Mbowe?
Lissu ni msaliti na hafai kuongoza taifa kama Tanzania wala chama kama chadema.
Huo wema kumbe ilikuwa rushwa?Lissu ana damu ya usaliti ukiangalia wema aliofanyiwa na Mbowe huwezi kutegemea angemkgeuka na kumtusi namna hii kisa madaraka.
Lissu wakati unafundishwa siasa hao kina Maria Sarungi walikuwa wapi?
Wakati unapewa nauli za ndege naembowe ukuwe kisiasa hao diaspora walikuwa wapi?
Wakati umepigwa risasi nani alikuepusha kwenda muhimbili kama sio Mbowe?
Lissu ni msaliti na hafai kuongoza taifa kama Tanzania wala chama kama chadema.
Huna hoja dogo, subiri mgao wa pesa za mama abdul tuMatisi ya nini? Lissu kapotezwa na maria baada ya mchango wa gari
Maria kampoteza Lissu mzima mzima. Nilijua mchango wa gari utalipa fadhila. HizohapoHuna hoja dogo, subiri mgao wa pesa za mama abdul tu
Hizi Habari za kitotoMbowe kupitia Crown FM anasema kwenye uchaguzi wa kwanza Lissu akiwa CHADEMA Mbowe alimpa gari yake binafsi ili akafanyie kampeni. Pia anasema Nyumba aliyokuwa akiishi Lissu pale Dodoma ilikuwa yake aliyopewa na Serikali Ila akamuachia Lissu aishi yeye Mbowe akaenda kupanga.
View attachment 3194386
Tatizo MKWE.Inatosha, ni wakati wa kuondoka kwenye jukwaa, hata ucheze vizuri namna gani, ukifika wakati unamuachia na mwenzako aonyeshe mambo yake.
Inatosha, ni wakati wa kuondoka kwenye jukwaa, hata ucheze vizuri namna gani, ukifika wakati unamuachia na mwenzako aonyeshe mambo yake.
Ni sawa hayo yote, Lissu pia amechangia damu yake kukuza chadema, hadi sasa unalipwa pesa ndefu na ccm unakula na wanao
Kwa hiyo aliulizwa kama yuko tayari kupigwa risasi akakubali? Mbowe amewekwa mahabusu, amekaa rumande na amekaa jela. Yote hayo unaona madogo?Lissu nae alikubali kufa kwa ajili ya chama, lipo lubwa? Lissu ana risasi mwilini, hayo mbowe anaona ni kidogo?
Hayo yote lissu kapitia pia.Kwa hiyo aliulizwa kama yuko tayari kupigwa risasi akakubali? Mbowe amewekwa mahabusu, amekaa rumande na amekaa jela. Yote hayo unaona madogo?
Amandla...
Amekaa jela muda gani wakati ameshinda kesi zake zote? Na nyingine amefutiwa. Sana sana amekaa mahabusu. Angalau Heche, Lema, na viongozi wa Bawacha na Bavicha wamepitia huko.Hayo yote lissu kapitia pia.
Huna akiliMatisi ya nini? Lissu kapotezwa na maria baada ya mchango wa gari