eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Lissu ana damu ya usaliti ukiangalia wema aliofanyiwa na Mbowe huwezi kutegemea angemkgeuka na kumtusi namna hii kisa madaraka.
Lissu wakati unafundishwa siasa hao kina Maria Sarungi walikuwa wapi?
Wakati unapewa nauli za ndege naembowe ukuwe kisiasa hao diaspora walikuwa wapi?
Wakati umepigwa risasi nani alikuepusha kwenda muhimbili kama sio Mbowe?
Lissu ni msaliti na hafai kuongoza taifa kama Tanzania wala chama kama chadema.
Kwa akili yako, Lissu kugombea uenyekiti ni usaliti?