Ni aibu sana Chama kinachotafuta dola kuongozwa na Disco Joker, tena mlevi, aliefeli form four? These people are not serious!.
Wakati ni ukuta, demokrasia ya ukweli ni kuachiana viti sio kulazimisha kuwa kiongozi, the big boss must go aache kulia lia, aje kijana alete changamoto mpya japo ana ulemavu!!
However, DJ akiweza kung'oka tafadhali mnitag!! Ni ngumu mno. Ni rahisi kijana kupita kwenye tundu la sindano kuliko kushinda hicho kiti cha m/kiti wa maisha wa ukoo. The boss can't let it go kirahisi itakuwa Vita kubwa na figisu kama zote nje na ndani ya uwanja!!