Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge hao wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta mpasuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwenda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge, wangekwenda bungeni.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge. Ukubwa wa Chama inaonekana katika nyakati kama hizi.
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao. Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.
Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake. Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe. Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea. Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Watu wengine Vichaa toka lini Rais akasamehe Mtuhumiwa? Tukisema Vichaa mnasema mnatukana
Kina Halima watasamehewa na Chama sio Mbowe
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao. Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.
Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake. Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe. Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea. Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.

Unamaana kama wasingeibiwa uchaguzi? Kwa maana hawakushindwa ubunge!
 
Ulipoharibu kabisa ni kusema kuwa eti Rais Samia amemsamehe Mbowe. Amemsamehe, kwani Mbowe amekosa nini?

Katika Mbowe kutoka mahabusu, kuna mahali popote imetamkwa kuwa Mbowe amesamehewa?

Kinachofahamika ni kuwa yale maharamia yaliyombambikia kesi Mbowe, baada ya sauti za wapenda haki mbalimbali kuzidi, na kibano cha nchi za Ulaya, yaliona aibu na kuamua kuachana na kesi ya kutengeneza dhidi ya Mbowe.
 
Ulipoharibu kabisa ni kusema kuwa eti Rais Samia amemsamehe Mbowe. Amemsamehe, kwani Mbowe amekosa nini?

Katika Mbowe kutoka mahabusu, kuna mahali popote imetamkwa kuwa Mbowe amesamehewa?

Kinachofahamika ni kuwa yale maharamia yaliyombambikia kesi Mbowe, baada ya sauti za wapenda haki mbalimbali kuzidi, na kibano cha nchi za Ulaya, yaliona aibu na kuamua kuachana na kesi ya kutengeneza dhidi ya Mbowe.
Jana nilikuwa naangalia mahojiano ya Samia na Kikeke BBC, Samia kakiri binafsi yeye kwa kinywa chake kwamba kwenye sakata la Mbowe hakuna aliyemwomba mwenzake msamaha.
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao. Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.
Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake. Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe. Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea. Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Wameendaje bungeni? Utaratibu ulifatwa? Once void is always void
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao. Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.
Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake. Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe. Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea. Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Sijaelewa hii kauli ya kukataa matokeo ya uchaguzi kwasababu hayakuwa halali

Mbona yule mbunge mmoja anahudhuria kama kawaida bungeni na hajachukuliwa hatua

Au kulikuwa na chaguzi mbili tofauti.
 
Akina mdee wamekikosea chama na sio wamemkosea mbowe. Msamaha wao utatolewa na chama na sio mbowe
Kusema hivyo ni sawa na kusema sio Rais Samia aliyemsamehe mbowe bali ni Tanzania iliyomsamehe. Huna uelewa Moana. Mbona Mbowe alikwenda ikulu kuitikia wito wa Rais bila kupata idhini ya chadema?
 
Mama amemsamehe nini? Tusipotoshe
Aaaa bhana tuache ushamba, kwa mwendazake asingetoka. Kwa mama hata wale masheikh wa uamsho waliokaa miaka 8 mahabusu wametoka.
 
Ulipoharibu kabisa ni kusema kuwa eti Rais Samia amemsamehe Mbowe. Amemsamehe, kwani Mbowe amekosa nini?

Katika Mbowe kutoka mahabusu, kuna mahali popote imetamkwa kuwa Mbowe amesamehewa?

Kinachofahamika ni kuwa yale maharamia yaliyombambikia kesi Mbowe, baada ya sauti za wapenda haki mbalimbali kuzidi, na kibano cha nchi za Ulaya, yaliona aibu na kuamua kuachana na kesi ya kutengeneza dhidi ya Mbowe.
Kwani Lisu alikosa nini hadi amiminiwe risasi vile? Wacha ushamba.
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao. Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.
Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake. Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe. Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea. Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Amesamehewa na nani?
 
Ulipoharibu kabisa ni kusema kuwa eti Rais Samia amemsamehe Mbowe. Amemsamehe, kwani Mbowe amekosa nini?

Katika Mbowe kutoka mahabusu, kuna mahali popote imetamkwa kuwa Mbowe amesamehewa?

Kinachofahamika ni kuwa yale maharamia yaliyombambikia kesi Mbowe, baada ya sauti za wapenda haki mbalimbali kuzidi, na kibano cha nchi za Ulaya, yaliona aibu na kuamua kuachana na kesi ya kutengeneza dhidi ya Mbowe.
Ukiambiwa uthibitishe hayo utashindwa kesi
 
Kusema hivyo ni sawa na kusema sio Rais Samia aliyemsamehe mbowe bali ni Tanzania iliyomsamehe. Huna uelewa Moana. Mbona Mbowe alikwenda ikulu kuitikia wito wa Rais bila kupata idhini ya chadema?
Kwani kule mahabusu kiliwekwa ndani Chama au Mbowe??? Mbowe alikwenda Ikulu akitokea wapi? Nyumbani au Magereza??? Na je kuna ushahidi wowote unaonesha kwamba Mbowe aliomba msamaha kwa mama? Ukijibu hayo maswali hata wewe utajidharau kwa maandishi yako mwenyewe
 
Wameendaje bungeni? Utaratibu ulifatwa? Once void is always void
Mbowe alitokaje mahabusu? Utaratibu ulifuatwa? Kumbukwa siku chache TU zilizopita alikutwa na kesi ya kujibu lakini ghafla serikali ikaachana na kesi. Unapotaka kujenga umoja na amani kanuni na Sheria zinawekwa pembeni na kuanza upya kwa kutanguliza maslahi mapana.
 
Back
Top Bottom